Wadau naombeni msaada kidogo hapa ..nmechukua huawei ascend y530 mpya dukan lkn nkitumia line ya airtel inafanya kazi vizuri internet na vingine lkn inakataa watsapp haifungui..msaada pliz
Mkuu Fareal katika post #1 katika swali #2 ukihusisha na jibu lake. Ikitokea server zimezimwa na ulikuwa activated kisha zikawashwa halafu kukawa na latest version (saa hizi nimeiona v 2.12.19) unahitaji ku-update version yako au utaendelea kutumia ile ile?
Mkuu Fareal katika post #1 katika swali #2 ukihusisha na jibu lake. Ikitokea server zimezimwa na ulikuwa activated kisha zikawashwa halafu kukawa na latest version (saa hizi nimeiona v 2.12.19) unahitaji ku-update version yako au utaendelea kutumia ile ile?
Sio lazma..kuna watu walkua activated kweny ile version ya 2.11.561..na mpka leo bado znafanya kaz. but ni vizuri ku update kila version mpya inapotoka...mana wanadai wame improve quality ya call katk hz version mpya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.