Whatsapp calling activation

Whatsapp calling activation

yes au labda kwasababu ya server labda ila mtu akinipigia napokea kabisa

Wamwanzo ndo walifaidika kwa sasa wamesitisha hadi waiachie kwa wote, sio wewe tu nina marafiki zangu nao hawajaipata ila nikiwapigia naongea nao kama kawaida
 
Mkuu vipi kama nilikuwa activated halafu ni updates kupata version mpya option ya call itaendelea kuwepo au hadi niwe activated upya
 
Mkuu vipi kama nilikuwa activated halafu ni updates kupata version mpya option ya call itaendelea kuwepo au hadi niwe activated upya
Uki-update haina shida,,call option itaendlea kuwepo mkuu.
 
farijiel;12185588]Uki-update haina shida,,call option itaendlea kuwepo mkuu.

Shukran mkuu
 
Nina whatsapp toleo na. 2.12.10 vipi hizo sever bado hazijakaa sawa tu waungwana?
 
Whatsapp calling Activation is not working NOW [Server Down]
>*whatsapp wamefunga tena server zao za ku-activate whatsapp voice call,so huwezi kua activated kutumia whatsapp call kwa sasa.
>**kwa ambao tayr walishakua activated wataendelea kupiga na kupokea simu kwa whatsapp bila shida yoyote,,
>***kwa ambao hawajawa activated wataweza kupokea simu tu.

NOTE:>
usitume msg yyte kuomba niku-activate kwa sasa mpaka pale server zitakapokua open.
>kama unatatizo lolote concerning whatsapp voice call,,post tatizo lako ndani ya huu uzi utapata msaada.


**** please continue to visit this thread for any updates****



,.........UPDATES......,.
A) whatsapp messenger got an update now its on version 2.12.12,,,idownload hapa

B) kwa sasa official whatsapp version inayopatikana playstore ni v 2.12.5

FAQ ((frequently asked questions))
1.Ni lini na mda gani server zitakua open au nitajuaje kua server ziko open ili nimwombe mtu ani-activate.??
Ans,:there is no definitely day & time,,endelea kutembelea huu uzi kupata updates zozote.

2. je ni kwann cjawa activated baada ya kupokea cm.??
Ans,;ni kwasababu hujainstall latest version ya whatsapp kweny simu yako,,pia server kwaajili ya ku-activate whatsapp call zimefungwa kwa sasa,

3. ntajuaje kama tayr nashakua activated kutumia whatsapp voice call.??
Ans,:ni baad ya kuona call icon kweny whatsapp yako na kujarbu kumpgia mtu.

4. kwann siwezi kuwapigia baadhi ya watu walioko kweny contact list yangu,
Ans,:ni kwasabab wanatumia old version za whatsapp,,waambie wa-update version zao za whatsapp.

5.Hii whatsapp call ntaitumia kwa mda gan,??
Ans,: whatsapp call ni ya kudumu,

6. Nawez wapgia simu wat wangp kwa siku na je inafanya kaz had nje ya nchi na kuna ghram zzte za ziada,??
Ans,:YES,,inafany kaz had nje ya nchi bila gharam zzte za ziada na pia hakuna limit uwapgie watu wangp kwa cku,,,ni MB zako 2.

7.Je,naweza kuwa-activate wengine baada ya kua-activated.??
Ans,:YES,,baad ya kua activated unaweza kuwa-activate wengine ila lazma awe na latest version ya whatsapp kweny cm yake.


Kama hii post imekusaidia plz LIKE na utoe feedback,.

mkuu hii mambo ishfungwa nn?
 
Naisubiri kwa hamu na version 2. 12. 12

note 3 haitokei option ya call natakiwa nifanyeje msaada mweutatuzi jamani......!

Wamwanzo ndo walifaidika kwa sasa wamesitisha hadi waiachie kwa wote, sio wewe tu nina marafiki zangu nao hawajaipata ila nikiwapigia naongea nao kama kawaida

Nina whatsapp toleo na. 2.12.10 vipi hizo sever bado hazijakaa sawa tu waungwana?

mkuu hii mambo ishfungwa nn?
Whatsapp activation is working ...
Fuata maelekez kweny post #1
sijajua server zitakua wazi kwa mda gan...
 
Back
Top Bottom