Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,550
- 1,166
- Thread starter
- #201
Nipitie niko hapa darajani karibu na 7 Up......Halafu usipite uone
darajani unafanya nini weewe?njo impala basi
Nipitie niko hapa darajani karibu na 7 Up......Halafu usipite uone
Huko siji.....kwanza mbali toka huku niliko....darajani unafanya nini weewe?njo impala basi
Huyu hupaswi kumwombea msamaha kwa kuwa mi nimemwombea mara nyingi ila kesi zake bado haziishi tuHoney nimesha mjua, forgive him please. basi, namuombea msamaha...
Honey nimesha mjua, forgive him please. basi, namuombea msamaha...
Huyu hupaswi kumwombea msamaha kwa kuwa mi nimemwombea mara nyingi ila kesi zake bado haziishi tu
yan kila siku anakuja na jipya....utasikia kapora mpenzi wa mtu mara kaachwa..lol
Huko siji.....kwanza mbali toka huku niliko....
Nini tena kulikoni bibie? ??
kuna mtu kanichefua kweli mpaka nimekesha galfriend
Ahhhh pole nwaya.
Kakufanya nini tu?
Mmbakishe kiporo mpaka weekend kwa sasa
usimpe muda wako ...
anataka kuamsha vilivyolala, na ni bora nimempa vidonge vyake chaaa w'end na appointment sitaki kuongelea huyu mchafuko.
Hahahahahaha
Hopefully anauwezo wa kuvimeza.
Nimepitia phone book yangu bado natafuta hilo jina lake ..lolz
lipo hilo hapo la tano dear!ukimuona niambie maana bado kuna kiporo chake kinatakiwa kimalizike leo.
Dahhh. Yaonekana atajuta kuzaliwa baada
Ya we kumali zana naye .. aaahhhh well mi
Niwaachie uwanja.
Hahahahahaha lolsawa mamie ngoja nijiandae nikafanye shoping ya marungu na mapanga incase he shows up at my door.
Hahahahahaha lol
Unaangaliaga. Crime Investigation nini?
Maana hiyo plan yako Duhhhh namuonea huruma.
hehe me mwenyewe FFU,and dont be sorry for him,atajuta kuzaliwa nakwambia.
Duhhhh
Yake ngumu.
Mambo ya kichachuka ntakupa lawyer wangu.
huyo lawyer ni klorokwini ama?maana kazi itazidi kuwa ngumu