mwakatojofu
Senior Member
- Dec 17, 2008
- 199
- 3
foreign funds ndo ya kutumiwa vibaya sio?
tunaanza kutetea wizi/ubadhirifu bila haya. tumetafuta sisi wenyewe au ni kodi ya wajapani zote hazistahili kutumiwa vibaya
tunaanza kutetea wizi/ubadhirifu bila haya. tumetafuta sisi wenyewe au ni kodi ya wajapani zote hazistahili kutumiwa vibaya