Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Nilikuwa napitia pitia makabrasha fulani nikakutana na mpango wa maendeleo wa 2008/2009 wa serikali ya CCM na programu mbalimbali ambazo zimetengewa fedha. Just "by accident" nikaona hili nikabakia kusema!