What the hell was that for?

What the hell was that for?

Lisu anapenda Sana attention kwao wote wako hivyo.

Ni Mr. Misifa flani hivi. Ila Nachopendea ni kuwa Magu hata hamjibu utoto wake anamuacha tu apige makelele, na asivyojibiwa ndio anapanic na kuzidi kuropoka, na kujichoresha Kama wale kina mama wa ngoma za baikoko.
 
Ndio wafuasi wake wanavyopenda mkuu,,

Unajua kuishi na mwanamke ndani unahitaji kitu kimoja tu,

Mjengee matumaini na mpe ujasiri wa kiuongo kwamba hakuna kama yeye.

Yani ukishagundua tamaa yake ni muwe na gari, wewe mpe mipango lukuki kwamba mwakani muda kama huu gari tayari,
Nakwambia kesho yake utaona anazurura kwa majirani akiringishia tunampango wa kununua gari.

Ndio afanyavyo Lisu kwa wafuasi wake.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Lissu ni mtu wa matukio tu .

Leo nasikia eti kaenda kulichukua gari lake!
Kwa MTU mjinga kama wewe utamuona wa matukio.
Kitendo cha kumuwekea pingamizi magu umeelewa kimeleta msaada gani katika zoezi zima linaloendelea LA kuwaengua wapinzani?
Ni kwamba kama tume hiyo hiyo imetupa mbali maombi ya Lissu (ambayo hata yeye alijua hayawezi kupita) kwa nini maombi kama hayo ya wagombea ubunge wa ccm yanakubaliwa?
Ndio maana Tume ikaja juu kuhusu wanaotangazwa kupita bila kupingwa.
Kwa hiyo move ya Lissu ilikuwa smart calculated na imeleta manufaa makubwa
 
Keshamaliza kulipa mkopo wake?
Kwa akili yako Lissu ni masikini kama wewe mtawaza wazungu?
Sasa sijui ukiwatawaza unawaita mabeberu au waajiri?
Mkopo wa gari umeona jambo LA ajabu we fala?
 
Zile tambo zake kwamba yeye ni mwanasheria nguli, then anaweka pingamizi za kiwango cha mgombea wa uenyekiti wa kitongoji, ame-prove kichwani kwake ni mwepesi sana huyu jamaa. Amejaa ubishiubishi badala ya ku-strategize issues kulingana na wakati. Timu yake inayomshauri haina maono. Hata akipata urais, serikali atakayounda itakuwa kituko
 
Mjinga ni wewe unayeona ujinga kwa Lissu kutumia haki yake kama mgombea.

We unadhani kila Haki hutumiwa. Mbona hatumii muda na haki yake kama mshtakiwa. Ameonyesha Utoto mkubwa sana. Na nyie mnaonekana watoto sana kushabikia mambo ya kitoto yasiyo na mantiki except with the aim of attracting attention and cheap popularity. So sad.
 
Seriously??
Hahahaaaa Lissu bana!

Sijui kwa nini anapenda kuwa drama queen kiasi hicho!!
Nyie wenye akili ndogo hamtaelewa kamwe..... mtu anaetumia misuli kupambana nae inahitaji akili nyingi mno na lisu anatumia akili(ukiacha swala la kushinda ama kutokushinda uchaguzi....)

Kwa kuwa umetoka kapa ktk kuelewa trick/manuva ya lisu ndo hapo na wewe umekuja kujiexpose namna ulivyo empty head.

Na wajinga kama wewe ndo watakuona umeandika la maana kumbe umeficha ujinga wako kwa lugha.
 
Was it yesterday or the day before when Tundu Lissu, with somewhat much fanfare, submitted his objections of the candidacies of President Magufuli and Ibrahim Lipumba to the National Electoral Commission?

Welp! The commission didn’t take long to act. It rejected the submission.

But before that though, Lissu had whipped his supporters into a frenzy. Perhaps he made them think there was a good chance the CCM candidate was going to get disqualified.

His supporters, online and offline, are so rabid. Their rabidness makes it almost impossible to reason with them. To them, they put their emotions first over their intellect [that is if they even have any].

To them, Lissu is god-like. The dauntless fighter who rose from the ashes like the Phoenix . He does no wrong. Says no wrong.

So one has to ask: what was that all about? The answer is very simple.

He was just grandstanding. Playing petty party politics. I believe he knew full well that his objection was going to bite the dust but proceeded with it anyway.

It’s kinda hard for me to say this but thus far, in this election cycle, President Magufuli is the one who is acting more presidential than his main rival.

Tundu Lissu is all over the place throwing everything but the kitchen sink at Magufuli.

Makes me wonder if he is serious with his candidacy or if he is there just to kick up some dust.

Anyhow, most of us know the macabre ordeal that he went through. Personally I can only grok what if feels like to go through the hell that he went through.

He needs to pick his battles wisely, now that he is a presidential candidate.

At the moment it seems like he is doing too much. And in doing too much, he runs the risk of overplaying his hand.

He should eschew pettiness, frivolity, and stay above the fray if he wants to be taken seriously.
Mkuu
Najiuliza mwanasheria nguli anaweza kweli kuelewa hizi vocabularies ulizotandaza hapo?
 
Was it yesterday or the day before when Tundu Lissu, with somewhat much fanfare, submitted his objections of the candidacies of President Magufuli and Ibrahim Lipumba to the National Electoral Commission?

Welp! The commission didn’t take long to act. It rejected the submission.

But before that though, Lissu had whipped his supporters into a frenzy. Perhaps he made them think there was a good chance the CCM candidate was going to get disqualified.

His supporters, online and offline, are so rabid. Their rabidness makes it almost impossible to reason with them. To them, they put their emotions first over their intellect [that is if they even have any].

To them, Lissu is god-like. The dauntless fighter who rose from the ashes like the Phoenix 🤣. He does no wrong. Says no wrong.

So one has to ask: what was that all about? The answer is very simple.

He was just grandstanding. Playing petty party politics. I believe he knew full well that his objection was going to bite the dust but proceeded with it anyway.

It’s kinda hard for me to say this but thus far, in this election cycle, President Magufuli is the one who is acting more presidential than his main rival.

Tundu Lissu is all over the place throwing everything but the kitchen sink at Magufuli.

Makes me wonder if he is serious with his candidacy or if he is there just to kick up some dust.

Anyhow, most of us know the macabre ordeal that he went through. Personally I can only grok what if feels like to go through the hell that he went through.

He needs to pick his battles wisely, now that he is a presidential candidate.

At the moment it seems like he is doing too much. And in doing too much, he runs the risk of overplaying his hand.

He should eschew pettiness, frivolity, and stay above the fray if he wants to be taken seriously.
Tatizo ni kwamba kila anayeji-associate na Magufuli anakuwa brainwashed. Nyani Ngabu hukuwa hivi zamani. Sorry but to say the least Nyani Ngabu. You have lately turned into a brainwashed character!
 
Was it yesterday or the day before when Tundu Lissu, with somewhat much fanfare, submitted his objections of the candidacies of President Magufuli and Ibrahim Lipumba to the National Electoral Commission?

Welp! The commission didn’t take long to act. It rejected the submission.

But before that though, Lissu had whipped his supporters into a frenzy. Perhaps he made them think there was a good chance the CCM candidate was going to get disqualified.

His supporters, online and offline, are so rabid. Their rabidness makes it almost impossible to reason with them. To them, they put their emotions first over their intellect [that is if they even have any].

To them, Lissu is god-like. The dauntless fighter who rose from the ashes like the Phoenix 🤣. He does no wrong. Says no wrong.

So one has to ask: what was that all about? The answer is very simple.

He was just grandstanding. Playing petty party politics. I believe he knew full well that his objection was going to bite the dust but proceeded with it anyway.

It’s kinda hard for me to say this but thus far, in this election cycle, President Magufuli is the one who is acting more presidential than his main rival.

Tundu Lissu is all over the place throwing everything but the kitchen sink at Magufuli.

Makes me wonder if he is serious with his candidacy or if he is there just to kick up some dust.

Anyhow, most of us know the macabre ordeal that he went through. Personally I can only grok what if feels like to go through the hell that he went through.

He needs to pick his battles wisely, now that he is a presidential candidate.

At the moment it seems like he is doing too much. And in doing too much, he runs the risk of overplaying his hand.

He should eschew pettiness, frivolity, and stay above the fray if he wants to be taken seriously.
Hapa kuna ukweli fulani.
Ingawa hii haiondoi dhana kwamba hujawahi kumkubali Lissu. Kwa hivyo, umetia pia chumvi kwenye kizungu chako hiki.
Hivi ukimwandikia hivi yule sheitwani wako unayemuabudu ataelewa chochote? 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom