What the hell was that for?

What the hell was that for?

Mkuu uko sawa kabisa na ndiyo sababu hata Marehemu Mkapa miezi michache iliyopita alionyesha kutokuwa na Imani na tumeccm. Kama tungekuwa na tume HURU yesu fake ANGEENGULIWA bila matatizo kwani alikiuka taratibu husika katika kuwasilisha fomu zake za kugombea Urais.

2499060_EJTWRAzWsAAlue5.jpg
Wapuuzi sana Hawa Jamaa
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Seriously??
Hahahaaaa Lissu bana!

Sijui kwa nini anapenda kuwa drama queen kiasi hicho!!
Kuna kosa gani kwa Lisu kuainisha mapungufu yaliyokuwepo kwenye fomu za Magufuli?

Unadhani mapungufu hayo angekuwa nayo Lisu asingekatwa?

Wengi mpaka sasa hamjamuelewa Lisu anachokifanya ni kuonesha mambo hadharani hata msio na macho muone.

Lisu mwenyewe anaelewa wazi hawezi kitangazwa mshindi hata kama atashinda lakini kuna clear msg anaituma kupitia uchaguzi huu na ataacha legacy iliyotukuka.

Labda nikuulize wewe miska ya 90"s ilikuwa ukiomba viza ubalozi wa Marekani walikuwa wanataka upeleke passport size inayoonesha sikio moja tu, sasa wewe ukipeleka passport size inayoonesha msdikio yote mawili wangekuelewa?

Tusijitie uwendawazimu wapinzani ndio wahanga wa hizi pingamizi sasa Lisu ametumia weledi wake kuwaonesha dhahiri shayiri kwsmba kams haya mambo yangekuwa yanafanyika kwa haki basi hata wagombea wa ccm huwa wanakosea, tusiwakate watu, waelekezwe kurekebisha dosari mpira uwekwe kati wananchi waachiwe waamuwe.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Achana na hawa they are blinded by the truth wacha wapige kelele........wee jiandae kwa visingizio october
 
Was it yesterday or the day before when Tundu Lissu, with somewhat much fanfare, submitted his objections of the candidacies of President Magufuli and Ibrahim Lipumba to the National Electoral Commission?

Welp! The commission didn’t take long to act. It rejected the submission.

But before that though, Lissu had whipped his supporters into a frenzy. Perhaps he made them think there was a good chance the CCM candidate was going to get disqualified.

His supporters, online and offline, are so rabid. Their rabidness makes it almost impossible to reason with them. To them, they put their emotions first over their intellect [that is if they even have any].

To them, Lissu is god-like. The dauntless fighter who rose from the ashes like the Phoenix 🤣. He does no wrong. Says no wrong.

So one has to ask: what was that all about? The answer is very simple.

He was just grandstanding. Playing petty party politics. I believe he knew full well that his objection was going to bite the dust but proceeded with it anyway.

It’s kinda hard for me to say this but thus far, in this election cycle, President Magufuli is the one who is acting more presidential than his main rival.

Tundu Lissu is all over the place throwing everything but the kitchen sink at Magufuli.

Makes me wonder if he is serious with his candidacy or if he is there just to kick up some dust.

Anyhow, most of us know the macabre ordeal that he went through. Personally I can only grok what if feels like to go through the hell that he went through.

He needs to pick his battles wisely, now that he is a presidential candidate.

At the moment it seems like he is doing too much. And in doing too much, he runs the risk of overplaying his hand.

He should eschew pettiness, frivolity, and stay above the fray if he wants to be taken seriously.

Kwa imani yangu najua kinachosababisha uandike huu utopolo wako ni suala la ukabila tu.

Kisa Jiwe ni kabila lako ndio sababu unabwabwaja.

Fungua ubongo wako ndio ujue Tundu Lissu ana degree 2 za sheria na hao unaowatetea wote kanda ya ziwa mmoja ana degree ya uchumi na mwingine ana degree ya kemia so kama walikosea kisheria alipaswa kuwawekea pingamizi ingaww tume walichofanya ni kupuuza bila kupitia kiundani.
 
The combersom ridicuriosity of impeachatable dranatise the bizzare of dullibess of ccm after totally or partially ripivroheras appendicular sabotage of lissu,this simbolise the affectionism of embramence at large
Haaaaa haaaa haaa! Mpaka kichwa kinauma. Tusameheni bure jamani..haaa
 
Was it yesterday or the day before when Tundu Lissu, with somewhat much fanfare, submitted his objections of the candidacies of President Magufuli and Ibrahim Lipumba to the National Electoral Commission?

Welp! The commission didn’t take long to act. It rejected the submission.

But before that though, Lissu had whipped his supporters into a frenzy. Perhaps he made them think there was a good chance the CCM candidate was going to get disqualified.

His supporters, online and offline, are so rabid. Their rabidness makes it almost impossible to reason with them. To them, they put their emotions first over their intellect [that is if they even have any].

To them, Lissu is god-like. The dauntless fighter who rose from the ashes like the Phoenix 🤣. He does no wrong. Says no wrong.

So one has to ask: what was that all about? The answer is very simple.

He was just grandstanding. Playing petty party politics. I believe he knew full well that his objection was going to bite the dust but proceeded with it anyway.

It’s kinda hard for me to say this but thus far, in this election cycle, President Magufuli is the one who is acting more presidential than his main rival.

Tundu Lissu is all over the place throwing everything but the kitchen sink at Magufuli.

Makes me wonder if he is serious with his candidacy or if he is there just to kick up some dust.

Anyhow, most of us know the macabre ordeal that he went through. Personally I can only grok what if feels like to go through the hell that he went through.

He needs to pick his battles wisely, now that he is a presidential candidate.

At the moment it seems like he is doing huutoo much. And in doing too much, he runs the risk of overplaying his hand.

He should eschew pettiness, frivolity, and stay above the fray if he wants to be taken seriously.
Mbona umetumia lugha ya mabeberu, si ungetumika lugha yenu ya kusukuma tu
 
Was it yesterday or the day before when Tundu Lissu, with somewhat much fanfare, submitted his objections of the candidacies of President Magufuli and Ibrahim Lipumba to the National Electoral Commission?

Welp! The commission didn’t take long to act. It rejected the submission.

But before that though, Lissu had whipped his supporters into a frenzy. Perhaps he made them think there was a good chance the CCM candidate was going to get disqualified.

His supporters, online and offline, are so rabid. Their rabidness makes it almost impossible to reason with them. To them, they put their emotions first over their intellect [that is if they even have any].

To them, Lissu is god-like. The dauntless fighter who rose from the ashes like the Phoenix . He does no wrong. Says no wrong.

So one has to ask: what was that all about? The answer is very simple.

He was just grandstanding. Playing petty party politics. I believe he knew full well that his objection was going to bite the dust but proceeded with it anyway.

It’s kinda hard for me to say this but thus far, in this election cycle, President Magufuli is the one who is acting more presidential than his main rival.

Tundu Lissu is all over the place throwing everything but the kitchen sink at Magufuli.

Makes me wonder if he is serious with his candidacy or if he is there just to kick up some dust.

Anyhow, most of us know the macabre ordeal that he went through. Personally I can only grok what if feels like to go through the hell that he went through.

He needs to pick his battles wisely, now that he is a presidential candidate.

At the moment it seems like he is doing too much. And in doing too much, he runs the risk of overplaying his hand.

He should eschew pettiness, frivolity, and stay above the fray if he wants to be taken seriously.
Better shut your mouth bro bcz u don't know anything about laws.
 
Tundu alitaka tu kupata 'attention'.
Binafsi nimemsikiliza Lisu kwa makini, jana ndio mara yangu ya kwanza kukaa YouTube na kurudia rudia video ya mtu mmoja akiongea, ninachoweza kusema Lisu atakapofariki kwa ahadi ya Mungu ndio wanafki Watanzania watazisema waziwazi sifa za mtu huyu hasa kwenye upande wa sheria.

Sina uwezo wa kuandika ukanielewa kama emesikiliza mtu akitowa fact za kisheria na bado wapo wasiomuelewa.

Watanzania ni watu wa hovyo sana.
 
When you can’t argue the facts, you resort to your tired little tactic of playing the tribalism card.

FOH.
Mbona Wasimamizi wa uchaguzi wanapofunga ofisi kukwepa kupokea form za Wagombea ambayo siyo CCM hukemei???. Ni ukabila tu unakusumbua. Hakuna facts hapo...
 
Jamaa unakuwaga kajinga kwelikweli!Badilika mbwa weye?Kwa hiyo ukajiaminisha JF ni ya kwako?Ng'ombbe kweli weye!Be updated
Mbona una hasira hivyo wewe?

Kwani nimecutombea demu wako?

Kama una ubavu njoo unitukane mbele yangu halafu uone kitachotokea....
 
Tundu wanted to know whether or not other aspirants files any objections against his candidacy. So he just created reasons to visit the Commission office s
 
Back
Top Bottom