blueprint.
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 220
- 62
Kwahiyo unamaanisha miaka ya 70 kushuka chini kande hailiwi?Ni kweli uyasemayo, ila kula hiki chakula ni kuwanyima wanyama haki yao. Nakumbuka tulipokuwa shuleni miaka hiyo ya 70 mtu akila makande tunamkimbia kuwa amekula kinyesi (mavi ya kuharisha), na hata wenzetu wakila walikuwa hawasemi kuogopa kukimbiwa na marafiki zao.
Mkuu ugali nadhani ni kila kabila sasa hivi,labda ambao hawawezi ni wale watoto wazazi wao mawaziri na wanakula hoteli...ila sema ukweli bhana raha ya msosi uwe na appetite,mfano mi naweza kula ugali na mboga yoyote[Ni msosi gani ushawahi kula?msosi labda wa kabila lingine au taifa lingine?au msosi gani hutaweza kula?]
ME msukuma napenda sana ugari na mrenda + mtindi bla hvo kwa kweli ni napata shida kula ugali bila mtindi. tofauti na hiko cha kwetu napenda ugali wa mhogo na samaki mantura analiwa sana n'ghambo ya ziwa nyasa huko matema nk
ugali
Tena uwe wa dona na mhogo kwa mbali, na kyuku na mtindi, jamani
Inaonekana huna access na bongo,acha hizo unga unauzwa bhana hata mi mwenyewe najipikia we unatafuta kwenye mahoteli ya huko nje?
Najuwa watu wanapenda hiki chakula ila si cha kula mtu, hiki ni chakula cha ng'ombe na sungura.
Tuliza munkari mkuu,au unazigonga mpaka krisimasi
Kwahiyo unamaanisha miaka ya 70 kushuka chini kande hailiwi?
Hapana ila habari ndiyo hiyo.Una utani na wapare kaka .. ??
Kisamvu ukipika kwa kukatakata hakiivi hata utie magadi lol. Kama uvivu weka kwenye blender low power. Kinatoka mwake. Usisahau kuweka karanga (mie natumia peanut butter tu kabisa)Dah mkuu ila kisamvu kura process mpaka utwangwe au kusagwa,ila sijui kikwenu mnapika mazima mazima?
Huyu Mkereketwa_Huyu anasema eti miaka ya 1970 ilikuwa inaliwa na watu maskini tena kwa usiri halafu ni chakula cha ng'ombe na sungura....unaamini hicho?sasa kwenye blender ndo unatoka uji kabisa??