AhaaaaaaaahKoh koh koh koh
Nijibu bhana sitak kufa mie kwa BP au ShellNaam
Yes babeAhaaaaaaaah
Twenzetu Paradise baeNijibu bhana sitak kufa mie kwa BP au Shell
Am like that sometime,na huwa najiulizaga swali moja tu nilizaliwa kimakosa nn? And feel like i don't deserve anything in this worldHi JF.....idk what is wrong with me jaman....yani i get angry with no reason....hata sijui kwanini....and i just hate everyone who is around me....i hate every person i see....yani nna hasira za ovyo ovyo tu....
Naona kila mtu ni fake...idk...sielewi....ni kama i wanna be alone...yet ni kama i wanna be around people and have some fun....
Kama vile ni exit all the whatsapp groups....ni kama vile i wanna block everyone...
Sijui nifanye nini...
Very true ina impact kubwa sana hiiJitoe na humu JF.(Jokin)
Well its cz hujapata soul mate. Lakn keep calm, the best is yet to come. Love is a beautiful thing, when you pick the right one.
AiseeeTatizo hujapata wa kukukojoza!.....una matatizo ya kisaikolojia yanayotokana na kutokukojozwa lol!!
Huo ndo ukweli madam,na tatizo hili huwapata sana wanafunzi wa vioni kwa sababu vioni kuna mazingira yenye mvuto wa kuingia kwenye mapenzi hasa ukizingatia mda mwingi unakutana na watu wa kila aina wenye mvuto tofauti tofauti kuanzia uzuri wa sura,mwili,uvaaji na kadhalika!.....Mimi nilipokuwa chuo kikuu GPA yangu iliyumba kutokana na hiyo hali kwani mwili wangu ulikuwa unavutiwa sana na wadada ila akili yangu ikawa inaniambia NO,kwa hiyo kukawa na vita kali sana kati ya akili na mwili matokeo yake nikaishia kudhoofika kimwili na kiakili na hatimae GPA ikayumba!!.....i won't forget!Aiseee
Ulitatuaje tatizoHuo ndo ukweli madam,na tatizo hili huwapata sana wanafunzi wa vioni kwa sababu vioni kuna mazingira yenye mvuto wa kuingia kwenye mapenzi hasa ukizingatia mda mwingi unakutana na watu wa kila aina wenye mvuto tofauti tofauti kuanzia uzuri wa sura,mwili,uvaaji na kadhalika!.....Mimi nilipokuwa chuo kikuu GPA yangu iliyumba kutokana na hiyo hali kwani mwili wangu ulikuwa unavutiwa sana na wadada ila akili yangu ikawa inaniambia NO,kwa hiyo kukawa na vita kali sana kati ya akili na mwili matokeo yake nikaishia kudhoofika kimwili na kiakili na hatimae GPA ikayumba!!.....i won't forget!
Kuna dada nilikuwa nampenda sana na yeye pia alikuwa ananipenda sana pia,nilipoona nazidiwa ilibidi nimwambie hali halisi na yeye akanijibu kuwa hata yeye hali yake ni mbaya sana,kwa hiyo akahamia kwangu hatimae afya ikarudi tukaanza kupendeza kama zamani,akili zetu zikatulia na tukaanza kufaulu masomo vizuri!!Ulitatuaje tatizo
Oh jaman pole msweety....the best is yet to come mwaya....time heals,they say.....be patient and sali sana!!!!Am like that sometime,na huwa najiulizaga swali moja tu nilizaliwa kimakosa nn? And feel like i don't deserve anything in this world
Kama mpaka leo hujui nini maana ya kutiwa heri umkabidhi STUNTER kwa scorpion me ambae ukame unamuua kwa sababu unambania sana STUNTER!Bora uulize nam nijue
Nimeshakuambia tuache mbona husikiiiKama mpaka leo hujui nini maana ya kutiwa heri umkabidhi STUNTER kwa huyu dada mleta uzi ambae ukame unamuua kwa sababu unambania sana STUNTER!