nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,398
Cheating is not a goal, and hence it has no purpose. cheating is the consequence of our inability to respect our promises to our partners. that is why it is a failure and nobody should be proud f doing it (or providing any type of support to them, other than how to get out of it)
Kwanza napenda kusema kuwa,wakati najihusisha na masuala ya mahusiano sijawahi kucheat,so sikuwahi kujua sababu ya kufanya hivyo,kiumri nina miaka 3....So that nimeona mengi mpaka mimeamua kuuliza hapa jamvini leo,nimeshashuhudia na watu wakilalamika wengine mpaka wamejiua wengine wapo gerezani wengine maisha yakipata dhroruba(mimi pia nipo kwenye kundi hili thats why sitaki ndoa wala mahusiano ya kimapenzi)wengine wana vilema n.k kwa sababu ya cheating!Hivi wakati unafanya hayo unakuwa unawaza nini?Je ni kisasi,au ni kutokuridhishwa kimapenzi,fedha au ni nini?Nauliza coz malalamiko ya jambo hili na athari zake ni kubwa katika jamii yetu,hebu mnaocheat au mliofanya jambo hili mtuambie sababu japokua mpaka leo sijaona sababu ya msingi ya kufanya jambo hilo,pia mtakua mmewasaidia wale walioko kwenye uhusiano au wanaotaka kuanzisha mahusiano!Maana kama unataka kuondoa tatizo tafuta chanzo cha tatizo!
kama mwanaume hujitumi kuliko sita kwa sita unategemeaje! nilishakutana na mwanadada akaniambia nampena sana mpenzi wangu ila hapendi kutumia utundu mpya, hivyo haenjoy kusex nae inabidi apate mtaalamu wa mambo amliwaze apate raha zote then akitoka kuchit naye akamliwaze mpenzi wake kwa mazoea.
jino kwa jino...ni kweli hii pia ni among the reasons zinazotolewa lakini nawezasema ni sababu za kitoto kwa sababu hapo kwenye Blue ina maana tangu anakutana na kuwa naye alikuwa hajui kuwa hajitumi? Na pili hapo hapo (jumlisha na hiyo red) kwa nini asizungumze na mwenzi wake ili wa'rekebishe' palipo'pelea'?
Hivyo ulivyomalizia sentensi yako ni kama vile huyo mdada kapikiwa chakula kibovu, anapita kwanza kwa jirani anakula kizuri kisha anakuja kujaza tumbo tena kwa hicho kibovu. Kwa nini asiseme kuwa chakula si kizuri ni kibovu na siku nyingine ajaribu kuingia jikoni na kuonyesha jinsi chakula kizuri kinavyotakiwa kupikwa??
.........Mimi nafikiri some people wanapenda tu varieties!
one of my friends said: I cheated when I was in the process of quitting the past relation for a new one. Basically it was a transition period where I was testing the ground of the new relation and when i felt I could give it a serious try, I left the first for the second one.
Cheating ni kama ukiwa restaurant umeagizia pilau jirani yako akiletewa biriani unaitamani. Iko akilini zaidi. Ni mapungufu ya watu wazioweza kujizuia.
Loh hivi ile midomo sita ilomchanganya Klorokwini iilikuwa ni kuturingishia lips tu au kuna ujumbe ulitaka tuupate Mbu?
...khaaa?!....hahahahhahahaaa......! hivi ee?
Hii ni sababu nyepesi sana,huwezi kuwa mwizi coz umeibiwa sana!
MJ1 nimekukubali hapo 45%tu!
Sababu za kucheat zinatofautiana (hasa kwa wanawake) ambapo wapo wanaocheat for love (kuwa amejikuta amempenda wa pembeni akashindwa kuushinda moyo wake) some need a boost in their self-esteem especially wale ambao kwa namna moja au nyingine wanajihisi hawana confidence/ self esteem ni ndogo mf. wale wanaojihisi they are not attractive, feel no longer attractive sexually e.t.c. kwa kuwa pengine mwenzi wake anamfanya ajisikie hivyo- hamthamini, hamsifii, hamjali yaani hana time naye. Akitokea mwanaume mwingine akamsifia na kumfanya ajisikie anathaminika, mwanaume akaonyesha interest in her emotions atamuwin....they say a woman with low-esteem is a sitting duck for a man anayesifia na kuthamini (Sasa sijui nasi tuanze kublame wanaume kuwa nao ni chanzo cha wake zao kucheat?
Hata hivyo wapo wale ambao they are just wired to be unfaithful.
Loh hivi ile midomo sita ilomchanganya Klorokwini iilikuwa ni kuturingishia lips tu au kuna ujumbe ulitaka tuupate Mbu?
Upendo wa aina gani huo?