What is the most attractive Feature of your partner

are u searching?
I was!!

I did search,
I found one (or he found me toka kwenye lundo la warembo na more gifted)
he is blessed with some wallet (not enough), hansome, inteligent, respectable, loving and caring, enough for me!!

nawaonea huruma wadogo zangu
 
I was!!

I did search,
I found one (or he found me toka kwenye lundo la warembo na more gifted)
he is blessed with some wallet (not enough), hansome, inteligent, respectable, loving and caring, enough for me!!

nawaonea huruma wadogo zangu


not enough? lol....
unataka kidumu?
 
una so many dirty imaginations lol

anatambaa na wewe umelala kitandani..humuoni lol

ahahahhahhah ah wapi sitakubali namfata na mi nitambae mbele yake tuone kama hatasimama,chezeya mtambao wa wife af awe anajua kuwa unamwangali!
we The Boss !haya mambo gani ya imagination kuhusu watu wanavopenda inye za waume zao,mie akhu!mie napenda macho yake na mikono plus ah sisemi !pana cheyzeya vitendea kazi bana!
 
Last edited by a moderator:
not enough? lol....
unataka kidumu?

oooh no!!
mie sio wa style hio,
pesa zake hazitoshi, ila nimekubali matokeo, kuliko ningesacrifice qualities zingine, bora hio ya pesa kwani mie sio kilema, naweza na mie kufurukuta kimatumizi.
Muhimu kuliko yote, ni malezi aliyoyapata kuweza kuwa stable akiwa na mimi na mambo yangu, ni wachache wanaoweza.
Nakumbuka walikuwa wanamshangaa sana mwanzoni eti amethubutuje kunifuata hadi kunipata.

He is the STRENGHT in my family.

du!!
siwezi kutafuta kidumu hehehehe!!! hata kuwaza sitaki.
(I am lucky to have such a strong man in my life) nikiangalia wanaume wa siku hizi hata hicho kidumu ehehhheeeee, yani umenichekesha, nadhani ninadharau sana (not healthy at all)
lakini, mhhh
kidumu hapana,
Sitaki kumsifia huyu kaka, ila jamani mwenzenu alilelewa, namake kukaa na mtu kama mimi inataka suruali ikutoshe
 
ahahahhahhah ah wapi sitakubali namfata na mi nitambae mbele yake tuone kama hatasimama,chezeya mtambao wa wife af awe anajua kuwa unamwangali!
we The Boss !haya mambo gani ya imagination kuhusu watu wanavopenda inye za waume zao,mie akhu!mie napenda macho yake na mikono plus ah sisemi !pana cheyzeya vitendea kazi bana!


kwa nini women wanapenda mno good eyes kwa wanaume?
 
oooh no!!
mie sio wa style hio,
pesa zake hazitoshi, ila nimekubali matokeo, kuliko ningesacrifice qualities zingine, bora hio ya pesa kwani mie sio kilema, naweza na mie kufurukuta kimatumizi.
Muhimu kuliko yote, ni malezi aliyoyapata kuweza kuwa stable akiwa na mimi na mambo yangu, ni wachache wanaoweza.
Nakumbuka walikuwa wanamshangaa sana mwanzoni eti amethubutuje kunifuata hadi kunipata.

He is the STRENGHT in my family.

du!!
siwezi kutafuta kidumu hehehehe!!! hata kuwaza sitaki.
(I am lucky to have such a strong man in my life) nikiangalia wanaume wa siku hizi hata hicho kidumu ehehhheeeee, yani umenichekesha, nadhani ninadharau sana (not healthy at all)
lakini, mhhh
kidumu hapana,
Sitaki kumsifia huyu kaka, ila jamani mwenzenu alilelewa, namake kukaa na mtu kama mimi inataka suruali ikutoshe

suruali ikutoshe ?? lol
 
suruali ikutoshe ?? lol

ndiooo,

lakini kwa sasa back to the topic

tunapenda sana brains tena za ku handle watu (hasa mpenzio) kuhandle issues
attitude yake kwa yanayomzunguka

ni muhimu sana

then muhimu kama hayo muonekano, yani unaoonekana na watu wote, na vile visivyoonekana hadharani, offcourse pesa ni muhimu sana. Ni kama oil kwenye mashine, inafanya kazi ngumu iwe rahisi au nyepesi zaidi

Hakuna jipya
 
Mi nilikuwaga najishauwaga ooh nataka mrefu mwenye tabasabu zuri, rangi ya chungwa sijui nini.............some wise shangingi woman told me "unamtaka mzuri umpike na kumla?" Hadi leo nimebaki na mshangao
 
Back
Top Bottom