What is school for? (Shule ni kwa ajili ya nini?)

zagarinojo,
Unaona ulivyo andika post yako vizuri? Ndio umuhimu wa shule sasa huo. Hivi ulishawahi ona wale wanaoandika kitu kama "Nimetumia miaka kama 13 nikiwa shule lakini mpaka leo sijui shule ipi kwa ajili gani".

Yaani huo uwezo wako wa kukaa na kupanga point kwamba shule haina matumizi, basi ndio matumizi yenyewe hayo!
Nimesoma kidogo tu mpaka form 3 Ila nashukuru walimu coz nimepata understanding kubwa kidogo kuzidi level ya elimu niliyonayo
 
Tunasoma history Kama somo lakini historia hiyo ya kina Mkwawa yote imeandikwa na wazungu..

Mwalimu anamchapa mwanafunzi kisa ameongea kingereza kwenye shule ya English medium mwalimu huyo huyo anamchapa mwanafunzi kwa kufeli somo la kiswahili dah!

Tunaambiwa tuwe wazalendo kwa kukiendeleza kiswahili wakati mfumo wetu wa elimu umebase kwenye kingereza.

Watu wanasoma kupata madegree ya electrical engineering wanajiita wasomi hata kuunda kifaa chochote cha umeme hawawezi
Watu wameishia la saba wanatengenza vitu mbalimbali kwa kubuni Ila wanaonekana hawajafanya chochote..

Unaajiriwa kwa kuonesha cheti wakati wapo wenye uzoefu kwenye tasnia kama yako Ila hawaajiriwi
Mkuu dunia nzima inahitaji cheti .Cheti ni uthibitisho wa kusoma.Tatizo ni kwamba washika dau hawataki kubadilii content iendane na mfumo wa sasa.Mfano sasa hivi kuna magari ya umeme je wizaraa imebadili mtaala uendane na dunia ya sasa?
 
Huu mfumo wa elimu Tz

1.Ukiwa wa kwanza darasani una akili kuliko wote.

2.Ni bora uwe na notsi lakini usimsikilize Mwalimu kuliko kumsikiliza mwalimu bila notsi.

3.ukiwa wa kwanza walimu wanaamimi you're perfect hakuna utakachokosea ukikosea wanashangaa.
 
Mkuu dunia nzima inahitaji cheti .Cheti ni uthibitisho wa kusoma.Tatizo ni kwamba washika dau hawataki kubadilii content iendane na mfumo wa sasa.Mfano sasa hivi kuna magari ya umeme je wizaraa imebadili mtaala uendane na dunia ya sasa?
Sasa kwa mfano mimi kwa utundu wangu mtaani nimekaa nikajifunza kuhusu umeme wa magari karibu kila kitu kwanini nisiajiriwe kwa kisingizio cha kutokuwa na cheti...
 
Mkuu umeandika pumba kweli kwli.? Wew shuleni hukukariri? Unataka kutuambia shuleni kwenu kulikuwa kuna machine, blast furnance,kuna x-ray machine nk.!!!!! Wewe ni muongo sana.
Kama ndio tupe ushahidi wa innovation uliyofanya.
Elon musk amesotea elimu yake kivyake na amelazimika kusoma madigrii tofauti tofauti ili asuit to his innovation,hii innaonesha Ombwe la mfumo wa elimu wa dunia ulivyo wa hovyo.If you want to innovate you have to design your own pass of education otherwise you will be a container of useless materials.
Elimu ya Tanzania na Afrika ni ' bogus bogus bogus'.Mtu anasoma mambo shule ya msingi kisha anakuja kuyarudia tena sekondari,high school na hata chuo kikuu yaleyale, huu upotevu wa muda wa bure( we don't even know the value of time in relation to life span !!).
Wewe ni kati ya watu wanaoendelea kuidumaza Afrika kwa kuipongeza mifumo ya hovyo.
Afrika haina cha maana inachofanya ambacho ni mfano kwa dunia, hivi hapa mijitu inatoa macho inasubiri kinga ya korona iletwe kutoka kwa watu wanaojitambua huko.
Kama umebahatika kuwa bosi kitambi meneja basi usihalalishe kuwa mifumo ni bora kwa kila anaepitia.Kazi ya elimu ni kuwafanya watu wajitambue na kama hio elimu haifanyi hivyo hio n takataka tu(There must be alternative education or path).
Usiendeshwe na hisia, Jifunze kuandika, na ujifunze kukosoa kwa hoja na si matusi, still niko sahihi.
Alafu soma nilichokiandika kwa usahihi.
 
Akili kila mtu anazo lakini kigezo tunachotumia kusema mtu Ana akili kwa hapa Tz ni kiwango chake cha elimu na ufaulu
Kwa mfano nilipokuwa shule nimewahi kutop 1 position kwenye mitihani
Rafiki walikuwa wakiniambia una akili Sana
Kipimo cha akili dunia nzima ni jaribio(IQ test) wamarekani wana taasisi ya Mensa, hii hupima geneus kisha huwapa mafunzo yanayoendana na geneus na sio kuhesabu madarasa( 1- 7). LA 1-7 ni mfumo mbovu wa Kielimu aliorithishwa mwafrika na mzungu na mwafrika haamini kama kuna mbadala wakati mzuungu Alisha achana nao.
Wataalamu wa hesabu waligundua statistical distribution curve.Hilo grafu linakupa uwezo wa kumtambua mwenye akili kwa kigezo cha ufaulu na aside na akili za kitaaluma(uwezo wa kili za kitaaluma si uwezo was akili za kiafya na hupimwa kwa njia tofauti) .
Njia pekee ya kugundua uwezo wowote ni test, iwe mpira,,muziki, taaluma, ubunifu nk. kwa hio kugundua uwezo lazima utumie zana ya kupima uwezo ambayo ni mtihani au jaribio ambavyo vinaweza kufanywa kwa njia mbalimbali.
 
Shule (kutoka Kijerumani: Schule; nchini Tanzania na Kenya, huko Zanzibar huitwa skuli kutoka Kiingereza "school") ni taasisiinayoongozwa na mfumo maalumu ambayo watu hufunzwa habari za elimu. Pia ni jina la majengo yake. (Lifted from Wikipedia)

Shule Ni seheumu, au mfumo unaotumika kukufikishia taarifa(information)/habari za kukuelimisha.

Akili hupimwa kwa namna unavyotumia taarifa hizo kufanya maamuzi mbalimbali kwenye harakati za kuyakabili maisha.

Kwann unaenda shule!? Well, Ni kupokea taarifa au habari za kielimu in a well tested and proven manner.

Lengo la kwenda shule linatofautiana Kati ya mtu na mtu na lengo la kufundisha au kutoa elimu linatofautiana toka Taasisi moja mpaka Taasisi nyingine.

Toka maisha ya awali kabisa mfumo maalumu wa kurithishana maarifa kutoka kizazi mpaka kizazi ulitumika kutunza jitihada zilizopatikana na kusaidia jamii kukua na kuendelea mbele.

Kuna Taasisi zinatoa elimu kuinfluence choice..kwa mtindo ambao unawapa maslahi. Kuna zinatoa elimu kupigia chapuo mrengo fulani!

Kuna watu wanatafuta elimu ili kuelimika (enlightened) Kuna wale wanataka status..kunawanaotaka mfumo uwatambue ili wapate vyeo au kazi.. Kuna wanaotaka mambo chungu mbovu.

Kwa kifupi elimu lengo lake ni kukupa taarifa tu na kukupa uwezo wa kuzichakata. Na akili ni matumizi ya huo mchakato maishani na hiyo ni changamoto for everyone to figure it out on their own.

Sasa tupate kusikia kutoka kwako nasi tujifunze.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Haya alipaswa kujibu mleta mada, still haya ni majibu yako.
 
Akili kila mtu anazo lakini kigezo tunachotumia kusema mtu Ana akili kwa hapa Tz ni kiwango chake cha elimu na ufaulu
Kwa mfano nilipokuwa shule nimewahi kutop 1 position kwenye mitihani
Rafiki walikuwa wakiniambia una akili Sana
Hujajibu akili ni nini bali umetoa maelezo kuhusu akili.
 
Nashindwa kupata definition ya akili mkuu!naweza ku imagine akili ni nini but kuielezea ni ngumu
Ngoja nijaribu
Akili ni uwezo wa mtu kutafakari,kuelewa na kudadavua mambo kufanya maamuzi sahihi lakini pia kuendana na maisha katika kutatua matatizo yanayomkabili
 
Sasa kwa mfano mimi kwa utundu wangu mtaani nimekaa nikajifunza kuhusu umeme wa magari karibu kila kitu kwanini nisiajiriwe kwa kisingizio cha kutokuwa na cheti..i.
Lazima ujaribiwe.Kampuni za marekani ktk sekta ya Software engineering huwaajiri wasio na vyeti ila husailiwa ipasavyo.Google,Microsoft nk hawajali sana vyeti,japokuwa kuna nafasi huwezi ziongoza bila kuwa na vyeti, pengine inatokana na hata jinsi kampuni hizo zilivyozaliwa.
 
Lazima ujaribiwe.Kampuni marekani ktk sekta ya Software engineering huwaajiri wasio na vyeti ila husailiwa ipasavyo.Google,Microsoft nk hawajali sana vyetieti, pengine inatokana na hata jinsi kampuni hizo zilivyozaliwa.
True innovation huwezi kuipata kwenye mfumo unaopima uwezo wa mtu kukariri kmna kurecite information. Mifumo yetu inapima uwezo wa kukumbuka tu.. sio crity analysis ndio maana kutwa na madesa na past papers.. hata dissertations zimekuwa ilimradi tu.

Kwa kesi vyeti vs kazi.. nadhani any smart man ataajiri uwezo over vyeti. Unless Ni huduma au kazi ambayo iko heavily regulated Kama udaktari. Kwenye engineering mafundi kibao wasio na vyeti wanaaminiwa na Mainjinia. So people can be trained to do anything na wakafanya kwa ustadi.

Kikubwa uwe na process clear na anbayo unaweza kuibreack down into manageable activities... Basi.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Habari ndugu zangu wa JF. I'm Zagarino.

Nimetumia zaidi ya miaka 13 nikiwa shule lakini mpaka leo sijawahi kujua shule ipo kwa ajili gani.

Hii ni jinsi mfumo wa elimu ya Tanzania ulivyo.

Mwalimu: Students, can anyone tell me the definition of a machine?

Student 1: Yes, sir a machine is any device that simplifies work.

Mwalimu: Oooh! You're not correct that's not the right definition

Student 2: I can define it sir worry not machine is any combination of bodies so connected that their relative motions are constraint and by which means force and motion can be transmitted and modified as a screw in its nut or a lever range turns about a fulcrum or a pulley by its pivot.

Mwalimu: You're absolutely right congratulations other students if you wanna score better make sure you define like student 2, otherwise you'll keep on failing.

Sometimes wapo waliomaliza chuo but they just have their certificates to sit at home with.

Wanafunzi wanafundishwa ways and self employment concepts but hawawezi kuzitumia kujiajiri. Shule imekuwa sehemu ya kukusanya A tu wala sio tena sehemu ya wanafunzi kupata maarifa na uelewa. Mwanafunzi anapimwa uelewa kupitia mitihani tu.
Mtihani ambao umetungwa kwenye basis ya baadhi ya topics. Je? hiyo inatosha kupima uelewa?

Shule haziwapi wanafunzi nafasi ya kuwa free in decision making lakini inawatrain kufuata maelekezo.

Kwa mfano kunyoosha mkono unapotaka kujibu swali na kuomba ruhusa pale wanapohitaji kwenda chooni.

Lakini Shule ni mfumo usiobadilika tofauti na ukuaji wa Teknolojia katika mifumo mengine. Kuna tofauti kati ya gari ya miaka 50 iliyopita na gari ya sasa. Simu ya miaka 50 Iliyopita na ya sasa.

Lakini kwa shule na elimu mfumo wake haujabadilika miaka Yote.

"Some people are good at scoring better and some are smart genuine"

I'm allowing intellectuals to criticize in their own way of understanding..
But its for the betterment of me and other members indeed.!

(Nawaruhusu wasomi na wadadisi kukosoa kwa hoja kwa manufaa yang u na wengine Kama Mimi)
I was a genous before school ruined my head.
Binadamu ni kama computer tunakuwa programmed kwa kila toka tunazaliwa, tunaprogramiwa kipi kibaya, kipi kizuri, kipi dhambi, kipi chema.
Kila kitu tunachofanya na kujua ni information ambazo tumelishwa. Ni kama vile movie ya Matrix
 
Usiendeshwe na hisia, Jifunze kuandika, na ujifunze kukosoa kwa hoja na si matusi, still niko sahihi.
Alafu soma nilichokiandika kwa usahihi.
Kwa hio haujaona hoja.Kuandika wanatumie pen humu tunachapa maneno kisha tuna edit,hivyo sema jifunze kuedit.
I was a genous before school ruined my head.
Binadamu ni kama computer tunakuwa programmed kwa kila toka tunazaliwa, tunaprogramiwa kipi kibaya, kipi kizuri, kipi dhambi, kipi chema.
Kila kitu tunachofanya na kujua ni information ambazo tumelishwa. Ni kama vile movie ya Matrix
But we have a room to think beyond the credible information n this led to some people to make change'Escape the matrix'
 
Kwa hio haujaona hoja.Kuandika wanatumie pen humu tunachapa maneno kisha tuna edit,hivyo sema jifunze kuedit.

But we have a room to think beyond the credible information n this led to some people to make change'Escape the matrix'
Yes, that means there is a glitch in the code of instructions
 
Mada nzuri sana, ila binafsi naprnda kuchangia kwa kusema suala sio elimu ila ni namna unavyoitumia elimu uliyoipata shuleni kuwezesha mafanikio yako. Nimetumia miaka 13 kusoma na ninachojivunia ni vitu vichache kama kusoma, kuandika na lugha. Mambo mengine niliyosomea yana (impact) ndogo kwenye ninachofanya kwa sasa.
 
Nashindwa kupata definition ya akili mkuu!naweza ku imagine akili ni nini but kuielezea ni ngumu
Sasa kwanini unatumia neno ambalo hujui definition yake, kama tusi je.
Ngoja nijaribu
Akili ni uwezo wa mtu kutafakari,kuelewa na kudadavua mambo kufanya maamuzi sahihi lakini pia kuendana na
That's good.
Shule haiongezi akili na kama akili unayo unakwenda shule kufanya nini
.

Mf hisabati;
Ukiwa umepewa swali la kukokotoa utafanyaje ili upate jibu au unakaa jibu linakuja lenyewe?
Lazima kwanza
1:UELEWE SWALI LINATAKA NINI.
2:kabla ya KUELEWA itabidi kwanza UTAFAKARI.
3:UTADADAVUA ili upate jibu.
4:itabidi ufanye MAAMUZI SAHIHI kabla ya kujaza jibu.
5:na hiyo ni CHANGAMOTO umeshatatua ili kuendana na swali(MAZINGIRA).

Na hapo kwa definition yako ya akili tayari utakuwa umeongeza huo uwezo wako wa akili.

Na bado unauliza shule tunafuata nini. Wakati ulishasema
akili ni uwezo wa kudadavua, kutafakari na kuelewa mambo kufanya maamuzi sahihi lakini pia kuendana na changamoto za mazingira.

Sasa niambie kwanini baadhi ya watu wanaongea kiswahili lakini hawajui kuandika kiswahili...?

Na uniambie wewe kwanini kabla ya hujaanza shule ulikuwa HUWEZI kuongea wala kuandika English na wakati akili ulikuwa nazo kabla ya shule.

Usisahau kujibu maswali yangu ambayo nimekuuliza mara ya kwanza.
 
Back
Top Bottom