BIN NUN
JF-Expert Member
- May 23, 2014
- 3,234
- 6,376
Utamchanganya na hizo hesabu.alishakariri kuhesabu moja mpaka 13 hajui hata 13 kuna tarakimu mbili tu.
Utamchanganya na hizo hesabu.alishakariri kuhesabu moja mpaka 13 hajui hata 13 kuna tarakimu mbili tu.
Sasa kama carson aliweza zile operation kwa kusoma alieandika aliyoyasoma carson si angekuwa ndo bingwa ilikuwaje carson akawa ndo mtu wa kwanza kutenganisha kama ni zao la kusoma si alietangulia kuandika yale alosoma carson si ndo angekuwa wa kwanza!Dakitari bingwa wa upasuaji,Ben Carson,bila kwenda shule,huo ujuzi wake angeupata wapi?kwa ndoto,au kupiga ramli?
Ni dakitari wa Kwanza kutenganisha mapacha walioungana!bila shule,huo ujuzi angeupata?
Kabla ya kugunduliwa shule,watu walikuwa na akili,ufahamu,wakazalisha utaaalamu,wakaandika machapisho,wengine wakasoma,wakaboresha,mpaka tumefika leo,
Akina Galileo,Isaack newton,Michael faraday,Herrtz,
Waandishi wa biblia wao nao walikuwa manabii sijui nani aliwafundisha kusoma na kuandikaSasa kama carson aliweza zile operation kwa kusoma alieandika aliyoyasoma carson si angekuwa ndo bingwa ilikuwaje carson akawa ndo mtu wa kwanza kutenganisha kama ni zao la kusoma si alietangulia kuandika yale alosoma carson si ndo angekuwa wa kwanza!
Kama hapo ndio mwisho wako wa kufikiriDah!ETC(End of Thinking Capacity)
Unakubali kwamba wewe sio smart genuine na hauna tofauti na wale wanao score vizuri kwenye mitihani?Some people are good at scoring better and some are smart genuine
Yeye ameboresha tu. Soma vizuri hiyo post.Sasa kama carson aliweza zile operation kwa kusoma alieandika aliyoyasoma carson si angekuwa ndo bingwa ilikuwaje carson akawa ndo mtu wa kwanza kutenganisha kama ni zao la kusoma si alietangulia kuandika yale alosoma carson si ndo angekuwa wa kwanza!
Itanibidi nikubaliKama hapo ndio mwisho wako wa kufikiri
Unamaanisha umekubali
Kwamba swali lako na hoja zako hazina mashiko?
Unakubali kwamba wewe sio smart genuine na hauna tofauti na wale wanao score vizuri kwenye mitihani?
Unakubali Kama shule inaongeza akili?
Unakubali kwamba yote uliyoandika hayana mashiko?
Kazi rahisi natumia akili ndogoHivi we jamaa unawezaje kuanzisha thread kila siku?
Basi mimi itakua nafikiria sana ndomana nashindwa.Kazi rahisi natumia akili ndogo
Sifikirii sana.
Simple things are complicated but complicated things are simple
Ila huwezi kuwa sawa muda wote nafungua Mara kwa mara mpka wakati mwingine napata inayowagusa watuBasi mimi itakua nafikiria sana ndomana nashindwa.
Naweza kufungua threads nane kwa siku Ila itayogusa watu mojaIla huwezi kuwa sawa muda wote nafungua Mara kwa mara mpka wakati mwingine napata inayowagusa watu
Threads nane kwa siku!!!! So mission yako ni kugusa watu tu that's allNaweza kufungua threads nane kwa siku Ila itayogusa watu moja
Yeah napenda kujifunzaThreads nane kwa siku!!!! So mission yako ni kugusa watu tu that's all
Sawa now nimekusoma.Yeah napenda kujifunza
But inahitaji moyo kuna ukosoaji usio na mafunzo wakati mwingineSawa now nimekusoma.
Kumbuka Umeshindwa kujibu maswali yangu kwa hoja.Naweza kupanga hoja na kuelezea mawazo yangu
Ina maana huna uhakika na kauli zako?Nashindwa kupata definition ya akili mkuu!naweza ku imagine akili ni nini but kuielezea ni ngumu
Sasa kwanini uliuliza "SHULE NI KWA AJIRI YA NINI?Itanibidi nikubali
Kwasababu hata japokuwa nimeishia form 3 najua kuongea kingereza na kuandika pia credit to school.
Uwezo wangu wa kufikiri nilizaliwa nao
Ila shule imeongezea uwezo wa Ku memorize na kuclaim credit to school
Nilivyokwambia utetee hoja zako ukasemaUwezo wangu wa kufikiri nilizaliwa nao
Ina maana uwezo wako wa kufikiri hautoshi?Dah!ETC(End of Thinking Capacity)
Umeshindwa kudadavua hoja zangu sababu alafu ukasemaAkili ni uwezo wa mtu kutafakari,kuelewa na kudadavua mambo kufanya maamuzi sahihi lakini pia kuendana na maisha katika kutatua matatizo yanayomkabili
Ina maana wewe akili zako hazitoshi?Dah!ETC(End of Thinking Capacity)
Ila nilifungua thread nilitegemea kuona mijadala ya watu wengi Ila ni kama vile wameshindwaKumbuka Umeshindwa kujibu maswali yangu kwa hoja.
Pia mara ya kwanza nilipokuuliza akili ni nini ukasema
Ina maana huna uhakika na kauli zako?
Sasa kwanini uliuliza "SHULE NI KWA AJIRI YA NINI?
Ina maana huna uhakika na ulichouliza kama unakijua ama hukijui. Kama jambo dogo tu huna uhakika
Sasa unajuaje kama unao uhakika kwamba kuacha shule uko sahihi?
Nilivyokwambia utetee hoja zako ukasema
Ina maana uwezo wako wa kufikiri hautoshi?
Kama uwezo wako wa kufikiri hautoshi kuchanganua hoja nyepesi una uhakika gani wa kuweza kutatua changamoto ngumu za mazingira?
Kwa definition yako ya akili
Umeshindwa kudadavua hoja zangu sababu alafu ukasema
Ina maana wewe akili zako hazitoshi?
Am old enough to know what's right and wrongBut inahitaji moyo kuna ukosoaji usio na mafunzo wakati mwingine
YeahAm old enough to know what's right and wrong