Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,480
Na huwa wanaumia zaid pale mtu anakusema maneno mabayaaa alaf unamfungiaa vioo anabaki kila akiingia Jf kiroho kinampwita pwitaaa kuangalia id ya fulan imefanya nn ?Ni matumizi mabaya ya uhuru wa kuwa na utambulisho bandia! Kwakuwa tu hawezi kujulikana kwa urahisi basi hapo ndio tabia zake za kishenzi huzionesha kwa uwazi kabisa....
Always nasisitiza KUBISHANA kwa hoja
Wengine kwakuwa tu alikuomba msaada fulani na ukashindwa kumsaidia huku akijua fika ulishamsaidia mwingine basi kile kinyongo atakujia kwa ID nyingine ajipoze kwa kukukashifu kila unakopita... Lakini watu wana akili na wanaona
Kuna watu wanapenda kujitafutia vidonda vya tumbo wenyewe kwa mambo yasiyokuwa na mantiki.

