What is great thinking? Who are the great thinkers?

What is great thinking? Who are the great thinkers?

Mshana Jr

Mbona JF ni jamii kama jamii ya mtaani kwako? Ina watu wa kila kaliba, wendawazimu, vichaa, wahuni, wastaarabu, waungwana, wazee wa busara, heshima, wenye adili na maadili. Yaani ni Mchafukoge, ukiwaendekeza, watapasua Meddula Oblangata pamoja na Primitive Cortex.

Kubwa: Kuwa na Moyo Mkuu na Kuwapuuza Tu. Yote ili maisha yaendelee maana bila hivyo dunia haitajizungusha wala kuzunguka.

Jioni Njema na endelea kuangalia mpira wa Lipuli V's Simba
 
Mshana Jr

Mbona JF ni jamii kama jamii ya mtaani kwako? Ina watu wa kila kaliba, wendawazimu, vichaa, wahuni, wastaarabu, waungwana, wazee wa busara, heshima, wenye adili na maadili. Yaani ni Mchafukoge, ukiwaendekeza, watapasua Meddula Oblangata pamoja na Primitive Cortex.

Kubwa: Kuwa na Moyo Mkuu na Kuwapuuza Tu. Yote ili maisha yaendelee maana bila hivyo dunia haitajizungusha wala kuzunguka.

Jioni Njema na endelea kuangalia mpira wa Lipuli V's Simba
Niko mnadani pwani nakuya nyama ya mee ile ya kubanikwa
 
Ujumbe uwafikie ma "Sinkers" wote popote walipo na popote watakaposoma ujumbe huu maridhawa
 
Huwa wanachosha sana hawa akina Sinkers!
Unakuta eti Matharani watu wanapo jaribu kuhoji kuhusu miundombinu mibovu inayopelekea Mafuriko na barabara kufungwa kabisa wakati wa mvua unakuta eti Mtu anasema kwani viongozi wa Serikali Ndiyo walioleta mvua?
Huwa najiuliza watu Kama hawa wanakiwango gani cha ufahamu?
Leo nimewapatia jina Kumbe ni Sinkers
Tumeshudia barabara ngapi zikijengwa chini ya viwango, Hivi inaingia akilini barabara kujengwa bila kuwekwa mifareji ya kupitishia Maji ? Hebu Wahandisi tusaidieni hapa!
Barabara na miundombinu Kwa ujumla zinapaswa kuendana na ongezeko la idadi ya watu n.k
 
kuna members wengine wanamaudhi hasa wale wajitiao wajuaji kwamba wanajua kila kitu.
 
Mkuu hongera, umepunguza sumu..

ila napata shida kuelewa how..wanaotofautiana na thread wawe..
~ni watu wasiojitambua
~ni watu wasiojua dhima ya jf
~waliopigika kimaisha full stressed
~ni wale wenye roho ya kwanini
~wale wenye mitazamo finyu ya majukwaa mengine..n.k

mmhh..Mkuu hata wewe mawazo kinzani yamekuchosha? unataka kusifiwa...na kunyenyekewa hata na hizi fake I'd...

naona DNA za Mzee Baba zina match na zako

Kunywa MAJI


Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Umeeleweka ipasavyo mkuu! Mwanzoni nilipata sana tabu nilipoingia hapa kwa mara ya kwanza na kukuta utoto mwingi kama kule kwa mwafulani, lakini akili yangu ikaniambia huna budi kuwazoea! Thanks Mshana
 
Mkuu hongera, umepunguza sumu..

ila napata shida kuelewa how..wanaotofautiana na thread wawe..
~ni watu wasiojitambua
~ni watu wasiojua dhima ya jf
~waliopigika kimaisha full stressed
~ni wale wenye roho ya kwanini
~wale wenye mitazamo finyu ya majukwaa mengine..n.k

mmhh..Mkuu hata wewe mawazo kinzani yamekuchosha? unataka kusifiwa...na kunyenyekewa hata na hizi fake I'd...

naona DNA za Mzee Baba zina match na zako

Kunywa MAJI


Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Hakuna niliposema nisifiwe... Tunapingana kwa hoja sio matusi wala kejeli... Nitasifiwa kwa kila hoja kwani mimi malaika!? Au mimi sikosei?
 
Mkuu hongera, umepunguza sumu..

ila napata shida kuelewa how..wanaotofautiana na thread wawe..
~ni watu wasiojitambua
~ni watu wasiojua dhima ya jf
~waliopigika kimaisha full stressed
~ni wale wenye roho ya kwanini
~wale wenye mitazamo finyu ya majukwaa mengine..n.k

mmhh..Mkuu hata wewe mawazo kinzani yamekuchosha? unataka kusifiwa...na kunyenyekewa hata na hizi fake I'd...

naona DNA za Mzee Baba zina match na zako

Kunywa MAJI


Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Hakuna niliposema nisifiwe... Tunapingana kwa hoja sio matusi wala kejeli... Nitasifiwa kwa kila hoja kwani mimi malaika!? Au mimi sikosei? Ni wapi nimelazimisha unyenyekevu? Hiyo ni hiari ya mtu...
Hoja inajibiwa na hoja sio nje ya hapo.. Hii ndio maana ya kuwa GT! Nje ya hapo ni GS
 
Back
Top Bottom