mambo..?Ewaaaaaaaaaaaaah my dear
Yaani kuna watu humu ni wajinga hawakubali challenge yaani ukimzidi kwa hoja ni matusi anahisi matusi ndo yatakuumiza ila hawajui kua ni ujinga tu wanaoufanyaAsante Gen
Poahmambo..?
Wnazan matusi yatakurudisha nyuma hiyo ni kuonyesha dhahiri kushindwaaaaYaani kuna watu humu ni wajinga hawakubali challenge yaani ukimzidi kwa hoja ni matusi anahisi matusi ndo yatakuumiza ila hawajui kua ni ujinga tu wanaoufanya
Na Mimi hua nawacheka tu kwa ujuha waoWnazan matusi yatakurudisha nyuma hiyo ni kuonyesha dhahiri kushindwaaaa
Kuna watu wanaumiaaa sana wee kuanzisha thread kila siku wanajiuliza unapata wapi uwezo huoNa Mimi hua nawacheka tu kwa ujuha wao
Ni matumizi mabaya ya uhuru wa kuwa na utambulisho bandia! Kwakuwa tu hawezi kujulikana kwa urahisi basi hapo ndio tabia zake za kishenzi huzionesha kwa uwazi kabisa....Yaani kuna watu humu ni wajinga hawakubali challenge yaani ukimzidi kwa hoja ni matusi anahisi matusi ndo yatakuumiza ila hawajui kua ni ujinga tu wanaoufanya
Hahaa!mtu anaumia kwa mambo ya kipuuzi si uchawi wenyewe huo then wala humjui na hauna athari yoyote katika maisha yake!! Yaani jf kuna watu wana roho nyeusi ingekua uwezo wao au km IG tungejutaKuna watu wanaumiaaa sana wee kuanzisha thread kila siku wanajiuliza unapata wapi uwezo huo
Kuna watu wanaumia kwann fulan anapendwa na wengi
Najiuliza kwann uumie alafu hiyo roho inatoka wapi etiii?
Tatizo lako kubwa unaonekana unataka ukiweka mada hapa basi kila mtu akubaliane nawe na asikupinge,ndio maana unajiaminisha kua mtu akikupinga au hata kutumia lugha ya kuudhi eti anakua amekuja na ID nyingine! sidhani kama una ushahidi na hilo bali umeamua tu kujiaminisha ili kujifariji,huwezi kukubalika na kila member na kwa kila mada tambua hilo kwanza,
Halafu inaonekana kuna sehemu umepewa ukweli na dawa imekuingia kisawa sawa ndio maana umeamua kuja na kuanzisha hii thd kama utetezi wako,kujisafisha na kutafuta huruma za watu "sympathy" huwezi kukubalika kwa kila thd na kila member tambua hilo!
Halafu mtu akipingana na wewe siku zote hua nakuona unakimbilia kuleta screen shot ya page ya huyo member anayepingana nawe na hua unamdhihaki kua eti ni member mgeni na kajiunga jf hivi karibuni tu! ni nani aliyekuaminisha kua akili ya mtu hua inapimwa kwa kuangaliwa ni lini kajiunga na jf? vipi kuhusu wale ambao sio member wa jf kabisa?