Yummy
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,796
- 1,337
hatukukukaa kimya kama unavyodhania. Tumepeleka malalamiko yetu kwa viongozi wote tuliowachagua yaani diwani, mbunge, wizara et al.
Kama ulikuwa hujui sasa ujue pia kuwa mbunge ni moja ya chombo husika. Moja ya tatizo kubwa la jimbo la kawe ni uvamizi wa maeneo ya wazi na ni moja ya pledge zake mdee kwenye kampeni ya ubunge.
Usijaribu kutetea kutokuwajibika kisa ni mbunge wa CDM.
Kwenye hii thread kuna madai ya ukweli kama unafahamu halima mdee mwambie.
Awe anaonekana jimboni na awe anapatikana.
So far performance yake jimboni kama ya rita mlaki
Naipenda sana CDM lakini kwa hapo nakupa 100% ni kweli kabisa sijaona tofauti yoyote ya Rita na Halima......niliwahi kupost kwenye uzi wa Mnyika nikasema ingekua vyema kama Mdee angekuja hapa nakusema aliyofanya kwenye jimbo lake toka ameingia mjengoni.