What has Halima Mdee done for Kawe (2010-2015)?

What has Halima Mdee done for Kawe (2010-2015)?

Mbunge wetu Halima Mdee, kumbuka maneno yako matamu kama asali uliyotoa kipindi cha uchaguzi hatimaye wana Kawe wakakupa UBUNGE. Umepita mwaka mmoja na miezi kadhaa tangu umekabidhiwa dhamana ya kutuwakilisha MJENGONI Dodoma.
Twakushangaa sana unakuwa mkimya kipindi ambacho wananchi twahitaji utetezi wako. Nachukua fursa hii kukukumbusha wapiga kura wako wa Kunduchi Machimboni twapata shida, kuanzia wachimba kokoto, mama nitilie, wauza kokoto na wenye nyumba katika eneo husika twanyanyaswa na uongozi wa wilaya na mkoa. WEWE UPO KIMYA tukuelewaje??
Tulitegemea mara baada ya Mkuu wa Mkoa kutoa tamko la kufunga machimbo, wewe ungetoa msimamo wa kuunga wapiga kura. Mbaya zaidi ofisini haupatikani KULIKONI Mheshimiwa, ama kweli sikio la kufa halisikii dawa, tulifikiri wewe utakuwa Mbunge bora kumbe AFADHALI wakati wa RITA MLAKI alikuwa karibu na wapiga kura.
Tafadhali njoo utusikilize na kutuunga mkono ili tusihamishwe na nguvu na FFU.

Toa unafiki hapa
 
Toa unafiki hapa

Kwa nini hamtaki kusikia ubovu wa wabunge wenu, unafikiri anawakilisha chama badala ya wananchi. Ni haki kwa wapiga kura kuomba ushiriki wake kutatua kero husika
 
Mlijaribu ujinga! na mtakoma maana 1 mistake inawacost kwa 5 years, in short mbunge wenu anaendelea kula posho za maandamano. Wabunge wa chadema wengi si waelewa, walikubaliana na katibu wao kufanya maandamano serikali sisitawalike, wakasahau kwamba yeye SLAA hana ahadi kwa wapiga kura maana kakosa urais , ila wao wana ahadi za kutekeleza kwa kuwa wamechaguliwa kuwa wabunge, sasa yanawatokea puani maana wametumia muda mwingi kwenye maandamano na sasa ahadi zao kwa wapiga kura zinaota mbawa.
 
Hivi inayotaka kuwahamisha hapo ni CDM/Halima Mdee?

Kama ni serikali ya CCM kwanini basi umulaumu Halima Mdee? Maana
serikali inatekeleza ILANI ya CCM. Funguka akili zako kama Halima
Mdee angekuwa na AMRI na hao FFU wasingempiga virungu kule Arusha.
 
Mbunge wetu Halima Mdee, kumbuka maneno yako matamu kama asali uliyotoa kipindi cha uchaguzi hatimaye wana Kawe wakakupa UBUNGE. Umepita mwaka mmoja na miezi kadhaa tangu umekabidhiwa dhamana ya kutuwakilisha MJENGONI Dodoma.
Twakushangaa sana unakuwa mkimya kipindi ambacho wananchi twahitaji utetezi wako. Nachukua fursa hii kukukumbusha wapiga kura wako wa Kunduchi Machimboni twapata shida, kuanzia wachimba kokoto, mama nitilie, wauza kokoto na wenye nyumba katika eneo husika twanyanyaswa na uongozi wa wilaya na mkoa. WEWE UPO KIMYA tukuelewaje??
Tulitegemea mara baada ya Mkuu wa Mkoa kutoa tamko la kufunga machimbo, wewe ungetoa msimamo wa kuunga wapiga kura. Mbaya zaidi ofisini haupatikani KULIKONI Mheshimiwa, ama kweli sikio la kufa halisikii dawa, tulifikiri wewe utakuwa Mbunge bora kumbe AFADHALI wakati wa RITA MLAKI alikuwa karibu na wapiga kura.
Tafadhali njoo utusikilize na kutuunga mkono ili tusihamishwe kwa nguvu na FFU.
Nitamshangaa sana Mdee kama atawatetea watu wanaoishi kwenye maeneo ambayo yako condemned
 
Unapoteza muda wako..

Huyu mbunge anapatikana wapi? jimboni hapatikani na ofisini hayupo, twaogopa kumfuata Kinondoni ofisi ya chadema makao makuu, kwani walinzi wa kimasai watatutoa mkuku.

Tupo serious mkuu wa mkoa anatishia maisha yetu, tafadhali mkimuona Halima Mdee mfikishieni ujumbe
 
Mafilili pale hapaitwi Kunduchi Machimboni panaitwa Kunduchi Meko. Hii inadhihiri wewe si mkazi wa hapo
 
Kwa mujibu wa twitter account yake leo kaanza ziara jimboni kuanzia atatembelea shule zote kwa kuwa umelileta hili jambo nitamfikisha akinipa majibu nitakuletea hapa mkuu
 
Kwa mujibu wa twitter account yake leo kaanza ziara jimboni kuanzia atatembelea shule zote kwa kuwa umelileta hili jambo nitamfikisha akinipa majibu nitakuletea hapa mkuu

Wewe umenena, shukurani, natumaini atapita katika eneo husika
 
Kwa mujibu wa twitter acc yake ameanza ziara jimboni kutembelea shule zote za kata kutokana na hili jambo kuwa na uzito nitamuuliza mm leo na nitaleta majibu yake hapa
 
ila kama kweli wanaishi maeneo hatarishi lazima waondoke within 24hrs kuokoa maisha yao.
 
Sawa, kama mnataka Halima awatetee wanaoishi maeneo hatarishi atawatetea kwa kuunga Mkono mwondoke. Atakachokifanya ni kuwasaidia msiondolewe kinguvu
 
Kwa nini hamtaki kusikia ubovu wa wabunge wenu, unafikiri anawakilisha chama badala ya wananchi. Ni haki kwa wapiga kura kuomba ushiriki wake kutatua kero husika

Kwa sababu umeleta hii habari kiumbeya
 
Mbunge wetu Halima Mdee, kumbuka maneno yako matamu kama asali uliyotoa kipindi cha uchaguzi hatimaye wana Kawe wakakupa UBUNGE. Umepita mwaka mmoja na miezi kadhaa tangu umekabidhiwa dhamana ya kutuwakilisha MJENGONI Dodoma.

Twakushangaa sana unakuwa mkimya kipindi ambacho wananchi twahitaji utetezi wako. Nachukua fursa hii kukukumbusha wapiga kura wako wa Kunduchi Machimboni twapata shida, kuanzia wachimba kokoto, mama nitilie, wauza kokoto na wenye nyumba katika eneo husika twanyanyaswa na uongozi wa wilaya na mkoa. WEWE UPO KIMYA tukuelewaje??

Tulitegemea mara baada ya Mkuu wa Mkoa kutoa tamko la kufunga machimbo, wewe ungetoa msimamo wa kuunga wapiga kura. Mbaya zaidi ofisini haupatikani KULIKONI Mheshimiwa, ama kweli sikio la kufa halisikii dawa, tulifikiri wewe utakuwa Mbunge bora kumbe AFADHALI wakati wa RITA MLAKI alikuwa karibu na wapiga kura.

Tafadhali njoo utusikilize na kutuunga mkono ili tusihamishwe kwa nguvu na FFU.

Wewe ni Mbunge wako ni wa Kawe au Ubungo Mbona sikuelewi
 
Magamba yanahangaika vijana wadogo wa CDM toka Kigoma - Dar, Mbeya -Arusha, Mbozi- Musoma, wanawatoa wazee wa Magamba Toka Rais to Mtendaji wa nyumba kumi... Tulieni mnyolewe,
 
Huyu mbunge anapatikana wapi? jimboni hapatikani na ofisini hayupo, twaogopa kumfuata Kinondoni ofisi ya chadema makao makuu, kwani walinzi wa kimasai watatutoa mkuku.

Tupo serious mkuu wa mkoa anatishia maisha yetu, tafadhali mkimuona Halima Mdee mfikishieni ujumbe
Wewe ni mpumbavu kwelikweli, na huo unafiki wako utakuaibisha siku si nyingi. Wewe si mjumbe wa nyumbakumi(shina) la ccm, nenda kwa mwenyekiti wako ccm taifa ukamweleze ujinga wako huo.
 
Halima Mdee (waziri kivuli wa ardhi nyumba na makazi), huwa namsilikiza sana anapochangia hoja zake bungeni, huongelea sera bora za ardhi na makazi kama miundombinu sahihi, umiliki ardhi halali, maeneo maalum kutumika kama yalivyopangwa n.k. kiongozi bora ni yule anayekuwa na sera na kuzisimamia na kuhakikisha sera zake zinafanikiwa... sasa nakushangaa ndugu unamtaka mbunge aje kwenye machimbo hatarishi sehemu ambayo shughuli za kijamii hazipaswi kufanyika awatetee halafu siku hizo baruti mnazotumiga kufumua vifusi zikiwafumukia nani alaumiwe?Halima ni msomi tena wa miaka ya karibuni, mimi na WTz wenzangu wengi tunataka tuishi maeneo salama na yenye miundombinu iliyokamika na ambayo itahudumiwa Serikali kwa kodi zetu. Siku nisikia Halima kaja huko na kuwashauri mwendelee kuishi huko mashimoni kama mapanya buku nitashangaa sana. Hapa wakulaumiwa sio Halima wala Chadema, bali ni serikali ya CCM kwa kushindwa kuandaa sera madhubuti na na usimamizi bora juu ya matumizi ya ardhi, imeshindwa kabisa hata waziri wake sasa anameza matapishi yake mwenyewe.
 
Back
Top Bottom