Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,345
Na Shopers Plaza ipo kata gani!
Lets go this way ritz...
Mpaka kati ya Mikocheni na Msasani ni Barabara ya zamani ya Bagamoyo,
sawasawa?
Figures maarufu za Mikocheni ni Shoppers' Plaza, Shule ya FEZA Praimari na Restaurant PIZZERIA bila kusahau vituo vya mafuta vya Engen na BP jees to mention the few,
sawasawa?
Eneo ulilolitaja la Maandazi Road linaangukia Msasani katika muktadha huu, features zingine ni pamoja na MayFAIR Plaza, ofisi za TANESCO Kinondoni North, Heinneken The Arcade, Kawe Beach, Msasani Club, Msasani Beach Club(do not comfuse with the first one), Dar Villas, US Embassy na nyumba ya the African Legend, The one and only, the man himself, THE LATE MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE!
Zamani nikiwa mdogo, eneo la Mikocheni 'A' lilikuwa sehemu ya kata ya Msasani, na diwani by that time was someone Mwaimu wa Msasani, mchanganuo niliouonesha hapo juu ndio hali halisi ya sasa!
Swali?