What has Halima Mdee done for Kawe (2010-2015)?

What has Halima Mdee done for Kawe (2010-2015)?

Topic ni uwezeshwaji wa vijana na akina mama! Ishu ni mikopo ya fedha na vitendea kazi.

Mkuu kama topic ndiyo hizo mbona mwitikio wa watu ni mdogo sasa?vijana na kina dada wa dar mbona wako kushoto sana na siasa wakati ndo wanapaswa kuwa chachu ya mabadiliko kinyume na mikoa mingine kama mby,arsh,shy na mza?Hapa kwetu kama mkutano unakuwa na ajenda kama hizi ukiitishwa vijana na akina dada ambao ni waendesha pikipiki,machinga,mama ntilie huhudhuria kwa wingi na hasa akiwepo kamanda toka chadema kama ilivyotokea kwa mdee kuwapo mkutanoni basi mahudhurio huwa ni kufuru so why dar mko nyuma sana na kiukweli vijana dar ndo wanaonekana kupigika kuliko???!!!
 
anasemaje kuhusu kuboresha maisha, makazi na miundombinu ya eneo la Mikocheni kwa Esta ambako in case of fire jhata gari ya zimamoto haiwezi kuingia?
 
Mkuu kama topic ndiyo hizo mbona mwitikio wa watu ni mdogo sasa?vijana na kina dada wa dar mbona wako kushoto sana na siasa wakati ndo wanapaswa kuwa chachu ya mabadiliko kinyume na mikoa mingine kama mby,arsh,shy na mza?Hapa kwetu kama mkutano unakuwa na ajenda kama hizi ukiitishwa vijana na akina dada ambao ni waendesha pikipiki,machinga,mama ntilie huhudhuria kwa wingi na hasa akiwepo kamanda toka chadema kama ilivyotokea kwa mdee kuwapo mkutanoni basi mahudhurio huwa ni kufuru so why dar mko nyuma sana na kiukweli vijana dar ndo wanaonekana kupigika kuliko???!!!

mi mwenyewe ni mkazi wa mikocheni lakini sikuwa na taarifa za mkutano, laiti ningejua ningehudhuria.
 
Mpango wa makazi. Anasema ataibana serikali ihakikishe watu wanapewa makazi kwenye kupata hayo makazi mapya!
 
Hongera mdee na chadema kwa ujumla kwakutumia muda wenu kujua matatizo yanayowakabili wananchi wenu. Cjui ccm na ccm B kama mnajifunza kitu hapa
 
anasemaje kuhusu kuboresha maisha, makazi na miundombinu ya eneo la Mikocheni kwa Esta ambako in case of fire jhata gari ya zimamoto haiwezi kuingia?

nadhani yote inaingia kwenye mpango wa makazi unaosimamiwa na NHC na Wizara ya Makazi.
 
Mkuu kama topic ndiyo hizo mbona mwitikio wa watu ni mdogo sasa?vijana na kina dada wa dar mbona wako kushoto sana na siasa wakati ndo wanapaswa kuwa chachu ya mabadiliko kinyume na mikoa mingine kama mby,arsh,shy na mza?Hapa kwetu kama mkutano unakuwa na ajenda kama hizi ukiitishwa vijana na akina dada ambao ni waendesha pikipiki,machinga,mama ntilie huhudhuria kwa wingi na hasa akiwepo kamanda toka chadema kama ilivyotokea kwa mdee kuwapo mkutanoni basi mahudhurio huwa ni kufuru so why dar mko nyuma sana na kiukweli vijana dar ndo wanaonekana kupigika kuliko???!!!

Usiwasumbue, wako bize,

Wanasikiliza Clouds FM.
 
mi mwenyewe ni mkazi wa mikocheni lakini sikuwa na taarifa za mkutano, laiti ningejua ningehudhuria.

hata mimi nimepata tangazo xaxa hv. Ndo nikaja bila kupoteza muda, hata game ya Arse8 nimeikacha fo huu mkutano's sake!
 
Kuhusu DECI amesema ni swala tete sana. Pesa iliyokutwa haitoshi kulipa wadau wote, kesi imekwisha mahakamani!
 
Kuhusu katiba amesema si muda wake, atakuja rasmi kwa hilo!
 
Kikao kimekwisha, katibu ametoa namba za mbunge!
 
Usiwasumbue, wako bize,

Wanasikiliza Clouds FM.

Uko sahihi ongezea na kuuza vile vinanihii vyao vya pweza na kuchoma vile vcd feki na kuviuza kwa buku na havina wateja ngoja sugu akomae na ile sheria ya hati miliki kwa wasanii ikae sawa tuone watafanya nini make nasikia hata pikipiki dar marufuku kuingia kati ya jiji, ila mkuu wasidie kimawazo au wachache waje mwanza tuwape darasa la mabadiliko
 
Vipi wakazi wa Mandazi road hawajazungumziwa?
 
Uko sahihi ongezea na kuuza vile vinanihii vyao vya pweza na kuchoma vile vcd feki na kuviuza kwa buku na havina wateja ngoja sugu akomae na ile sheria ya hati miliki kwa wasanii ikae sawa tuone watafanya nini make nasikia hata pikipiki dar marufuku kuingia kati ya jiji, ila mkuu wasidie kimawazo au wachache waje mwanza tuwape darasa la mabadiliko

vijana wengi hudhani siasa ni juqmu la wazee. Inapokuja maamuzi mazembe wanaaki kulalamika.
Nimebarikiwa sana na vijana wa Mikocheni, sumhow bhanajielewa!
 
Uko sahihi ongezea na kuuza vile vinanihii vyao vya pweza na kuchoma vile vcd feki na kuviuza kwa buku na havina wateja ngoja sugu akomae na ile sheria ya hati miliki kwa wasanii ikae sawa tuone watafanya nini make nasikia hata pikipiki dar marufuku kuingia kati ya jiji, ila mkuu wasidie kimawazo au wachache waje mwanza tuwape darasa la mabadiliko

vijana wengi hudhani siasa ni juqmu la wazee. Inapokuja maamuzi mazembe wanaaki kulalamika.
Nimebarikiwa sana na vijana wa Mikocheni, sumhow bhanajielewa na bhametoaga hoja za msingi sana!
 
huko nadhani ni kata nyingine, kwa leo ilikuwa ni Mikocheni...
Sawasawa?

Mkuu usijibu kitu usichokijua labda nikuulize unajua mandazi road ipo sehemu gani mikocheni?
 
Back
Top Bottom