What has Halima Mdee done for Kawe (2010-2015)?

What has Halima Mdee done for Kawe (2010-2015)?

Ni masikitiko kwa wana Kawe, Mbunge Halima Mdee umekuwa huonekani jimboni mwako hasa majira ya mchana. Umekuwa ni mtu wa kutoka alfajiri ili ukimbie kuonana na wapiga kura, unarudi usiku wa manane.
Kwa kweli waliokushauri uchukue ubunge wa jimbo walifanya makosa makubwa, uwezo wako ni kuwa MBUNGE wa Viti Maalum. Tunakushangaa zimebaki siku chache kwenda kikao cha BAJETI, Dodoma, HAUJATHUBUTU kupita kwa wapiga kura kukusanya maoni ili uyawakilishe BUNGENI. Kwa taarifa yako TUMEKUCHOKA SANA pamoja na chama chako!!
 
kama mbunge wenu anawakimbia hatatui matatizo yenu 2015 inakuja huyo halima kama hafanyi kazi zake vizuri yeye kila kukicha yuko nchi za nje basi chadem wamweke mgombea mwingine 2015 lasivo ccm wanarudisha jimbo lao
 
Halima Mdee ni mbunge wa Jimbo langu la Kawe.
 
Mafili huna kazi ya kufanya? Au ndiyo unahalalisha zile posho mnazomegewa na Nape?
 
Wewe si CCM tu huna jipya la kuongea kaa kimiya jk hametufanyia nini leo yuko kaharikwa kwenye kikao cha g8 hatangea nini? Mbona hamsemi.
 
Ni masikitiko kwa wana Kawe, Mbunge Halima Mdee umekuwa huonekani jimboni mwako hasa majira ya mchana. Umekuwa ni mtu wa kutoka alfajiri ili ukimbie kuonana na wapiga kura, unarudi usiku wa manane.
Kwa kweli waliokushauri uchukue ubunge wa jimbo walifanya makosa makubwa, uwezo wako ni kuwa MBUNGE wa Viti Maalum. Tunakushangaa zimebaki siku chache kwenda kikao cha BAJETI, Dodoma, HAUJATHUBUTU kupita kwa wapiga kura kukusanya maoni ili uyawakilishe BUNGENI. Kwa taarifa yako TUMEKUCHOKA SANA pamoja na chama chako!!
umemchoka wewe na nani,,,,mwambie aliyekutuma kuloga hatujalaa///msavi uuu
 
Ni masikitiko kwa wana Kawe, Mbunge Halima Mdee umekuwa huonekani jimboni mwako hasa majira ya mchana. Umekuwa ni mtu wa kutoka alfajiri ili ukimbie kuonana na wapiga kura, unarudi usiku wa manane.
Kwa kweli waliokushauri uchukue ubunge wa jimbo walifanya makosa makubwa, uwezo wako ni kuwa MBUNGE wa Viti Maalum. Tunakushangaa zimebaki siku chache kwenda kikao cha BAJETI, Dodoma, HAUJATHUBUTU kupita kwa wapiga kura kukusanya maoni ili uyawakilishe BUNGENI. Kwa taarifa yako TUMEKUCHOKA SANA pamoja na chama chako!!
Acha ushakunaku mbona sisi huwa tunaonana naye mara kwa mara? na majuzi tulikuwa na tatizo kuna watu wamepewa kinyemela eneo la wazi kufanyia biashara tukaonana naye? Au haonekani jimboni kwenu?
 
halima mdee na cheni lake lile nasikia ni la imani fulani


Simtetei sana Mheshimiwa ila ningependa kufahamu wanakawe wanataka akachukue mawazo yao kuhusu bajeti,mawazo yapi hayo? wakati hata wao hawapeleki mawazo yoyote zaidi ya kupitisha na kutopitisha kilichowasilishwa na serikali. nakushauri kama una mawazo mtafute waziri husika.
 
Ni masikitiko kwa wana Kawe, Mbunge Halima Mdee umekuwa huonekani jimboni mwako hasa majira ya mchana. Umekuwa ni mtu wa kutoka alfajiri ili ukimbie kuonana na wapiga kura, unarudi usiku wa manane.
Kwa kweli waliokushauri uchukue ubunge wa jimbo walifanya makosa makubwa, uwezo wako ni kuwa MBUNGE wa Viti Maalum. Tunakushangaa zimebaki siku chache kwenda kikao cha BAJETI, Dodoma, HAUJATHUBUTU kupita kwa wapiga kura kukusanya maoni ili uyawakilishe BUNGENI. Kwa taarifa yako TUMEKUCHOKA SANA pamoja na chama chako!!
Magamba MafiMfilwazi at work...nyie mmeitawala Kawe kwa miaka 50, je mmefanya nini cha maana? Halima Mdee
ndiyo kwanza ana miaka 2 tu tokea alichukue hilo jimbo...na bado Chadema itawateseni sana kisaikolojia.
 
Siku moja nilitembelea maeneo ya madale nikapita kijiwe kimoja nikaweka kijiwe na mie kujua nini kinaendela vijana wanalalamika kuwa tangu Halima apate Ubunge hajaonekana huko ,Na mmoja akakazia wewe mwache tu tunasubiri 2015
Halima please fanya fanya ziara kwa wapiga kura wako
 
mmmh!! wewe mleta huu uzi umekaa kinafiki nafiki zaidi. Hivi Mdee na JK nani ambaye anasafiri safiri sana hadi umchoke Mdee kuliko JK?. Labda mtakuwa mna matatizo binafsi na huyo Mdee, kama wewe ni mdada basi mtakuwa mnagombea bwana au kama mwanaume sijui mtakuwa mnagombea ba**a
 
Ni masikitiko kwa wana Kawe, Mbunge Halima Mdee umekuwa huonekani jimboni mwako hasa majira ya mchana. Umekuwa ni mtu wa kutoka alfajiri ili ukimbie kuonana na wapiga kura, unarudi usiku wa manane.
Kwa kweli waliokushauri uchukue ubunge wa jimbo walifanya makosa makubwa, uwezo wako ni kuwa MBUNGE wa Viti Maalum. Tunakushangaa zimebaki siku chache kwenda kikao cha BAJETI, Dodoma, HAUJATHUBUTU kupita kwa wapiga kura kukusanya maoni ili uyawakilishe BUNGENI. Kwa taarifa yako TUMEKUCHOKA SANA pamoja na chama chako!!


Hoja za utumbo utumbo ondoa. Umemcvhoka wewe peke yako. CCM mkubwa wee
 
Siku moja nilitembelea maeneo ya madale nikapita kijiwe kimoja nikaweka kijiwe na mie kujua nini kinaendela vijana wanalalamika kuwa tangu Halima apate Ubunge hajaonekana huko ,Na mmoja akakazia wewe mwache tu tunasubiri 2015
Halima please fanya fanya ziara kwa wapiga kura wako
Hata sisi kwetu Boko hatujawahi kumwona mbunge wetu. Inatuuma sana aisee! Diwani wa Bunju ndo amegeuka kuwa diwani na mbunge wetu..... Nasikitika sana jembe langu limetutelekeza namna hii....
 
Back
Top Bottom