klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
wizi mtupu.
Ladies wanataka handsome men, ila "the most handsome man in the world is he who has money" so kama unawataka fanya kazi, kwa bidiii, iba, kaba, ili upate hela, utakua handsome sana. ha ha haha ha, every gel will love you. hata hao wanaosema wanataka appreciation and attention, wana maana wanataka presents, gifts and care, ambavyo vyote vinahitaji hela. HAKUNA JINSI KIJANA, JARIBU NJIA ZOTE UTAFAIL, unaweza ukashind scrubbing kila siku na bado ukawa huwapati, TAFUTA HELA, WATAKUA WANAKUJA WENYEWE, UNACHAGUA TU.
Wanajamii,hivi galz hupenda nini kwa wanaume? Hupenda wanaume/mwanaume mwenye sifa gani? Ufanye nini ili u-capture attention yake kwako? Lets help each other!
duu inategemea jamani kila msichana ni tofauti....??
we watak kujua nini sana sana??
hapo umenena...ni kama madume wanavyopenda wasichana! wengine miguu, mapaja, wowowo, nywele, sauti, nk...
we huja lala tu jamani.
mmmhhh.
haya ngoja nije :car:
haha...hujui kwangu! na sijahamia bado...ntakushtua nikihama! lakini sio pazuri pa kuja kutembelea sana maana weusi wengi...
acheni uwongo wanawake, PESA ndiyo kila kitu kwa wanawake almost wote! hakuna cha care wala malavi davi!
Kila mwanamke ana kitu anachopenda kwa mwanaume,hela haimfanyi mwanamke akupende,inamfanya awe na wewe kwakuwa unatimiza mahitaji yake huo si upendo.......Wanawake wengi tunapenda maisha mazuri,kwa tafsiri ya kileo,yanatokana na hela kama gari zuri,nyumba nzuri,watoto wasome shule nzuri,nk
Ukiwa unatafuta attention ya mwanamke yeyote,chukua muda kumfahamu kidogo,hata kabla ya kuwa nae,utajua tu....Ila vitu basic kama elimu nzuri,kazi nzuri,kujipenda na kujiheshimu na kheshimu wengine,upendo na ofcoz m-treat kama mwanamke,with time utajua ufanye nini ku-capture attention yake.