Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
- Thread starter
- #41
Mkate wa mofa na wa kingazija sijui (maybe under different names)
Marhem bibi yangu alinifunza mikate na mikate
Kuna mkate mngine unaitwa wa mawele, etc.
sikumbuki jina. but ukinipa ingredients nitakumbuka.
Ugali wa muhogo najua sana. Nakupikia na dagaa wa mawese.
hongera Mwali........ww unafaa sana kuwa mke mwema..