Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,528
- 66,002
Hellow africans,
Leo afrajiri saa kumi na moja simu yangu inaita kuangalia ni mama anapiga nilistuka kidogo kupokea na msikiliza na sikia sauti ya kilio analia moyo wangu ukapasuka kujaribu kuuliza vizuri anasema ameibiwa mzigo wake wote wa dukani ambao alikuwa ameuleta juzi tu dukani akili ikazidi kuchanganyikiwa.
Nikakata simu kumpigia jirani ndio ananiambia kuwa wezi wamefungua duka bila kuvunja wakaiba na hawaja vunja popote pale.
Kwanini watu wasifanye kazi nao wapate mali zao kukicha kuiinda mali za watu watu wanarudishana nyuma sana mtu unakosa ata huruma unaenda dukani kwa mtu unavunja ndio nini?
Leo afrajiri saa kumi na moja simu yangu inaita kuangalia ni mama anapiga nilistuka kidogo kupokea na msikiliza na sikia sauti ya kilio analia moyo wangu ukapasuka kujaribu kuuliza vizuri anasema ameibiwa mzigo wake wote wa dukani ambao alikuwa ameuleta juzi tu dukani akili ikazidi kuchanganyikiwa.
Nikakata simu kumpigia jirani ndio ananiambia kuwa wezi wamefungua duka bila kuvunja wakaiba na hawaja vunja popote pale.
Kwanini watu wasifanye kazi nao wapate mali zao kukicha kuiinda mali za watu watu wanarudishana nyuma sana mtu unakosa ata huruma unaenda dukani kwa mtu unavunja ndio nini?