Wezi wamenitenda vibaya, Msaada


Hao ni vibaka wa hapo hapo Tabata tu chunguza pale balakuda au magengeni
 
pole sana mkuu kwa matatzo bt jarbu kufanya utafiti kwa watu na majirani zako wa karbu ujue nani kakuchomeshA maana hao jamaa hawabahatishi wakijA lazma wakuparasite vya kutoshA.
 
Kwa ushaur SHUKA pale barakuda bondeni mtafute jamaa anaitwa Selaa yuko pale uwanjani ongea naye VIZURI atakutajia vijana wezi.. AU pale pale tanesco Kwa nje Kuna jamaa dalali mchunguze kimya kimya yeye Ana jua genge LA waizi WA huo mtindo mitaa Yao ni hapa chini msimbazi. Nshasikia kisanga cha hivo hivo aliibiwa hivo mdada WA kenya nyuma kidogo ya Benki ya crdb.. Ila fanya uchunguz kwanza usiwafuate direct chimbo Lao lingine waizi WA hivyo ni hapo viwanja vya sigara wajinga Sana watoto WA tabata pole Sana
Hao ni vibaka wa hapo hapo Tabata tu chunguza pale balakuda au magengeni
 
Wakati mwingine wezi wanafaidi sana! Kumpembua mtu aliyelala uchi yataka moyo! Waweza sahau kuiba.
 
Huku kwetu mbezi luis ndio mtindo kwa sasa...tarehe 6 na 20 ya mwezi huu walivamia kwa majirani zangu wawili wakaiba tv,ving'amuzi,deck,mitungi ya gesi,mchele,sukari nk...sasa usiku wa kuamkia jana wamekuja kwangu wakavunja mlango wa stoo ila hawakuchukua kitu chochote maana huwa tunahifadhi mkaa na kuni tu..sasa najiuliza nitawadhibiti vp kabla hawajaja kuvunja ndani kwangu kbs???maana najua watarudi na siku hizi wanavunja hata madirisha.
 
daah huyu mwizi ana dharau sana aisee unakunywa heinken tena ya baridiii dah hata mm nikimuona mwizi napiga sana
 
Huko nako unaenda kupigwa tena. bora ufanye mengine achana na ushirikina mkuu.
 
Upo sahihi Kabisa na km na house girl au boy aanze nao... Pole sana Kaka
 
Anzisheni sungu-sungu haraka iwezekanavyo
 
Km unafahamu IMEI ya simu yako hiyo, ripoti polish, pia wasiliana na TCRA fasta
 
Bongo DarSlum.

Pole sana Mkuu. Tafuta 'fundi' wa ukweli uwaroge hao washenzi.

-Kaveli-
 
Mkuu naomba kuuliza,milango yako unafunga na ufunguo wa aina gani? Kama ni zile vitasa vya kunyonga,huwa ukifunga unachomoa ufunguo kwa ndani?

Kama jibu ni kwamba huchomoi,basi vile vitasa havikubali kuingiza ufunguo mwingine wakati kuna ufunguo kwa ndani!

Au labda walikupumbaza ukalala bila kufunga mlango!
 
Hivi Wewe sio lucas urasa? maana miandiko na na eneo la tukio ni mulemule.

Anza upelelezi na honey wako..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…