Wezi wa simu TAZARA

lazima atakuwa mwanaume wa mkoani huyo wa dar hawawezi ni waoga hadi sisimizi.....big it wa mkoani
 
huyu ni wa mkoani mtoto wa darawezi kuyafanya
Hahaha,ni kweli
Wao wa Dar waachiwe tu Hamorapa,yaani wanaishi kwa vitu vya ajabu ajabu sana.
Wizi wa Dar ni wa Kijinga sana,watu wakikaza tu basi watashika adabu.
Kama huyo Aliekamatwa,atataja mpaka wanaowauzia na bodaboda zote.
Tatizo ni Polisi kama wataendelea kufuatilia,maana ndio janga jingine.
 
Kuna jamaa walikuwa wanaiba kwa style hiyo hiyo..siku moja nikamnasa na kumkwida pale dirishani akiwa anataka kuniibia...nilimpiga vichwa huku nahesabu...watu wakanikuta Niko kichwa cha 52, 53, 54, 55,56.......!
Hicho kichwa chako ni kichwa jiwe umebobea kwa uongo nakutunuku rasmi digrii ya uongo uliokolea
 
Umecheza sana vizuri,maeneo yale pamoja na Buguruni kituo cha daladala,kuna wizi sana wa simu.Umetusaidia sana,tunakupa hongera.
 
POLISI WOTE HAPO WANAJUA MACHIMBO YA KAKAA.. NDUGUYANGU KAENDA MAJUZI MBEZI POLISI KAIBIWA PIKPIK NA DUKA ZIMA JAMAA WAPALE WAKAMPA NAMBA JAMAA ALIESHIRIKI KUFIKA PALE AKAWAPA NAMBA POLIS MMOJA IKASOMA JAMBAZI KMR NAMBA ILEILE.. YULE JAMAA WAMEMKAMATA KESI TULIPOONA USANII TUKAENDA MAMLAKA ZA JUU MABATINI WAKACHIWA SHOW. BADAE JAMAA WAMEENDAKUMSACHI WAMEKUTA HADI NA LAPTOP ZA BR AJAONDOA LOH
 
Hii thread imenichekesha sana. Yaani mpaka Jirani ananiuliza kulikoni. Ukweli vibaka ni machukizo mno na siku hizi wako wakali mno maana ukwasi imepungua mtaani. Wakipata upenyo tu wafa.
 
Kama shilawaduuuu piga haooo kweli ww s wamchezomchezoo so dogo yupo likizo atajiju na ukwajuuu
 
me walinipokonyaga bahati nzuri ikatelezea kwene gari asee palepale ka htc kangu mwaka 2012
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…