Wezi wa ng'ombe wapatao 100 wauwa huko madagascar

Wezi wa ng'ombe wapatao 100 wauwa huko madagascar

TUJITEGEMEE

Platinum Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
27,502
Reaction score
28,433
Wezi hao waliuwa na wananchi/wanavijiji kuanzia Ijumaa, ambapo wezi 67 waliuliwa siku hiyo huku wengine 23 wakiuwa usiku kwa kutumia zana za jadi.

Wezi wa ng'ombe wamekuwa wakiwasumbua mara kadhaa wanavijiji hao , huku wakipewa kiburi na maofisa mafisadi nchini humo.

Polisi limepelekwa maeneo hayo ili kuepusha mauaji ya kulipiza kisasi.

Chanzo>>>AFP: 100 killed in Madagascar cattle rustling unrest
 
Back
Top Bottom