Wezi bwana

Wezi bwana

ina maana kuna mtu hajui kuwa maji ya baharini ni ya chumvi chumvi na hivo hayawezi kata kiu??
 
Ahahahaa wewe hukuwa unaogelea ulikuwa unatembea kwenye maji yalipokuzidi yakaingia mdomoni bila ya idhini yaani shukuru Muumba kulikuwa na watu wakatoa msaada la sivyo saa hizi kungekuwa na turubai nyumbani usirudie tena mkuu hiyo kazi ina wenyewe

mimi nuksi kwa kuogelea hutaki unaacha niliogelea kutoka zanzibar hadi Tanga
 
HARUFU.jpeg
 
Back
Top Bottom