Wewe ni nani?

Wewe ni nani?

Huku duniani tuko watu waaina nyingi sana ,
Mimi shitaji kujua kwenye sayari anaishi nani mda huo ntautumia kuongeza bidii kuzalisha bidhaa na kuziuza jioni nabeba mchuchu wangu bia kiasi game la maana ,Napambana nipunguze kutokuwa sehemu ya kuumiza wengine ikiwemo wasio wanadamu ,siwezi uwa panzi kama simli wala hanidhuru ,dini kidogo sana ,naamini who ever created us main purpose ni tufanyekazi tuzalishe kisha tufurahiye kazi ya mikono yetu ,naelewa nikijiingiza kuwaza naweza jua purpose zisizonihusu za kwake ambazo ovious sio zangu then let me enjoy may time ,and die.
 
Its simple, find out your purpose(reason as to why God created you) and thats where your will find your potential(your gift of doin thing) i myself as a christian i would recomend one to read the book of ephesians chapters 1-3 tells you who you are, chapters 3-6 tells you who you are as a KINGDOM OF GOD CITIZEN, problem with many people just listen to what others say abaut them, and copy other peoples lifestlyes and mindset, hence or thereby becaming MERE PHOTOCOPIES INSTEAD OF BECAMING THE ORIGINALS THAT GOD CREATED THEM TO BE, shalom
 
Huku duniani tuko watu waaina nyingi sana ,
Mimi shitaji kujua kwenye sayari anaishi nani mda huo ntautumia kuongeza bidii kuzalisha bidhaa na kuziuza jioni nabeba mchuchu wangu bia kiasi game la maana ,Napambana nipunguze kutokuwa sehemu ya kuumiza wengine ikiwemo wasio wanadamu ,siwezi uwa panzi kama simli wala hanidhuru ,dini kidogo sana ,naamini who ever created us main purpose ni tufanyekazi tuzalishe kisha tufurahiye kazi ya mikono yetu ,naelewa nikijiingiza kuwaza naweza jua purpose zisizonihusu za kwake ambazo ovious sio zangu then let me enjoy may time ,and die.
Maisha ni kuchagua.
 
Ivi siku zoote hizi hujui wewe ni nani?
Unapoitwa na kuitika
"Naam"
Ivi unajuaje kama umeitwa wewe ?
Au mtu akikuambia wewe ni "KOBE"
Utakubali ?

Kama utakataa basi unajijua kuwa wewe siyo kobe bali ni ......
na unatambua

Tena wewe ni wa jinsia
ya .....
na unajua

Na tufanye "MTU" kwa mfano wetu akatawale nchi na kila kilichomo.

Nina
Mwili....umbo

Nina
Nafsi....mimi

Nina
Roho...uzima

Jumla
Mtu...Binadamu.

Mwili...
-fomula ya kuniwezesha kuishi duniani hapa nilipo.
-mtendaji mkuu wa hapa duniani
-mf. Kupiga, kulima
-Huzaliwa, hukua,hufa

Nafsi...
-Utambulisho wangu unaonitofautisha na wewe, yeye,
-mwamuzi wa mambo hapa nilipo
-mf. Nakupenda, nitakuoa.
-Ukifa mwili anabaki na Roho

Roho...
-Uhai, uliopulizwa na pumzi ya Mungu,
-kiongozi mwenye mahusiano ya karibu na Mungu.
-Hafi, hauwawi na ki-adui chochote isipokuwa Mungu pekee ndiye anayeweza kumtowesha pamoja na utambulisho wake, Nafsi.

Samahanini ni mtazamo wangu tu.
Mmetofautiana na mtoa mada na huyo unaemjibu kwenye context.
Mtoa mada anazungumzia spiritual realm and path nawe unazungumzia physical realm.
Safari ya kiroho kila mwanadamu ameumbwa kwa aina ya peke yake, hivyo ili kupata ufahamu Wa ulichoumbwa unapaswa kuwa na wakati Wa peke yako usiosababishwa na mazingira( ndio huo Uhuru anaousema na sio Uhuru Wa kutomtii Mungu kama ulivoeleza)
Mwanadamu akikosa ufahamu anapoteza asili yake na hivyo anajitambulisha uasili wake kwa yanayomzunguka ndio yanamdefine kama vile dini yake na matakwa yake, kabila lake, elimu yake, n.k lakini ule uhalisia wake au tuseme spiritual driven purpose aliyoumbiwa nayo inampotea.
Umeumbwa kutimiza kusudi ambalo ni unique haijalishi mazingira yako, kabila lako, ukoo wako n.k vinakutaka au kukutengeneza uwe nani.
Wasome hao mitume na manabii na wagunduzi mbalimbali Wa vitu kiundani utaelewa anachosema mtoa mada.
Hao watu walikuwa na muda Wa kukaa wenyewe wakitafakari na kuyafikia maono waloumbiwa nayo na kutimiza kusudi je wafanya hivyo?
 
Eti Uhuru kuwa huru
Uhuru gani mnauzungumzia haswa naona hamjawa wazi.

Aliyetengeneza gari alitoa masharti ya kuliendesha
Linahitaji mafuta, maji nk.

Wenzetu mnaodai uhuru, hebu mgundue chakula chenu tofauti na kile aliyewaumba amewaagiza mle.
Undeni hewa yenu ya kupumua
Tengenezeni maji yenu ya kunywa kwa kutafakari na kumediteti

Muwakae wanawake wasiwe wasaidizi wenu, mtengeneze aina yenu ya wasaidizi kama mnawataka

Kumbukeni mmejikuta mmezaliwa bila kuingia mkataba na mtu yeyote.

Nani mlikubaliana naye muwe wanawake au wanaume ?

Semeni wazee wa kutafakari
Leteni majibu.

Kama mmejigundua mmezaliwa bila hiyari yenu inabidi muingiwe na woga kwanza wa kuona kwanini mpo bila kuhusika katika makubaliano ya kuwepo kwenu.

Pia kwanini mlipoambiwa ,samaki, wanyama, majani ya miche na matunda, kitakuwa chakula chenu mlikubali bila kubisha.

Kwani hamuwezi kubuni chakula chenu kwa kutahajudi jadidi ?

Si mnahekima nyie, muwakatae na mama zenu kwani mnapenda eti kujipangia mambo kwa kutafakari, nani aliwachagulieni mama zenu wakuzaeni nyie, kwanini hamkushiriki kuwachagua mama zenu badala ya hao walio wazaa.

Nataka kuwaelimisha tu kuwa iko asili na ndiyo inayopanga mwanzo na hatima zetu.

Sisi tuna uhuru wa kufanya tunayo amrishwa na mu asili wetu
Kumbuka hata sasa ukitaka kufa huwezi ukafa hadi uchukue ki adui cha kukuwezesha kujiua.
Kwanini usife tu kwa kutafakari kijadidi ?

Yako mambo na kanuni umewekewa na aliye ku plani uwe, na inabidi uyafuate utake usitake kama unabisha anza leo kula mchanga badala ya chakula ulichoamliwa ule halafu subiri mwisho wake.

Mtoto mdogo akitakari kutaka kuendesha lori la mchanga litamshinda tu hataweza.

Wewe una mambo ya makamu yako ya kuyawaza na kuyafanya yameandikwa kwenye vitabu yanafundishwa mashuleni.

Wengine mnataka eti mutafakari hadi muache kiwiliwili chenu na kusafiri na roho au nafsi mtakuja kufa bule, sio mambo ya makamu yenu,

Huyo aliyewaumba atawapa uwezo huo wakati atakapo ona inafaa, kama wewe unavyo amua kumpeleka mtoto shule wakati wewe mzazi unapoona sasa amekomaa kuweza kusoma.

Mumsikilize huyo aliyewaleta duniani kuwa anataka mfanye nini cha makamu yenu.

Eti mnajidanganya tunaka kuwa huru...!

Mlijiumba ? au nyinyi ni mali yenu hata mutake kujiamulia mambo.

Mnajua jicho lenu moja tu lina thamani kuliko madini ya dunia yote ikiyauza na huwezi kulinunua.

Ivi watoto wenu hamuwafundishi lolote ? kwani hamutaki kuwapa uhuru wajitafakari na kujiamulia mambo yao wenyewe bila bugdha yenu.

Mbona hamkatai kuwa na macho, eti mna tegemea jicho la tatu, ng'oeni basi hayo mawili mtumie hilo la tatu.

Wacheni ujinga someni biblia takatifu mtapata maaria ya huyo aliyewaumba anataka nini mfanye.

Hapa hakuna uhuru, yaani mtu akuumbe halafu useme una uhuru wa kumtukana, we unakubali mtoto wako akutukane hadharani kwakuwa yuko huru kuchagua cha kusema ?

Unaweza kujitegemea hadi uwe huru? yani ujitengeneze mwenyewe na ujiishi mwenyewe.

Kama unategemea mwili uliobuniwa na kutengenezwa na mtengenezaji wako na unakula chakula chake na kunywa maji yake na kuvuta hewa yake halafu unasema uko huru unajidanganya.

Utatafakari hadi uchanike nyongo, lazima umsikilize na kufuata maagizo ya anayekulisha chakula, la sivyo utakiona cha mtema kuni kama anavyosema
na kibaya zaidi uwezo wa kumkimbia huna, ha....ha....ha....loh...

Someni biblia takatifu kwani hekima yenu ipo humo.
Ufahamu wenu umeelezwa,
Muumbaji wenu amejidhihilisha humo.
Nani unapaswa ufanye utasoma humo

Hayo mengine yanatoka kwa Ibilisi anayetaka kuwapoteza kama yeye alivyo potea.

Samahanini sina nia ya kuwaudhi bali kuwaonyesha Njia, Kweli na Uzima wenu ulipo

Uku huru kuchagua, Kifo au Maisha.
Mmetofautiana kuelewana.
Sio Uhuru huo unaosema wewe, huo hauko katika physical laws.
Spiritual real na utambuzi ambavyo ni unique kwa kila mtu ndivyo vyahitaji kujitambua na kujiweka huru kwa kutofungwa na sheria za mazingira( sio kivunja sheria uelewe bali kutofungwa na sheria) ili kutimiza kusudi uloumbiwa nalo.
Ukishatambua kusudi lako na spiritual path unayopita nayo sheria za maumbile hazina kazi tena kwako hata biblia inaeleza hivyo.
Unawezaje kuiba kwa mfano wakati wewe umekombolewa toka kwenye wizi na kuiba sio sehemu ya safari yako ya kiroho?...nimekupa mfano
 
Katika maisha haya kuna mambo mengi sana ya ajabu ajabu kabisaa... Sisi binafsi tuna uwezo wa kumudu kitu chochote au jambo lolote bila usaidizi wowote, sasa shida ni kuwa tunajizoesha mno kuwa tegemezi, wa kila kitu. Mfano kuna mtu anaweza kuua Simba kwa mikono yake na kuna mtu anaweza kuua Simba kwa mkuki na kuna mtu anaweza kuua Simba kwa bunduki na mwingine kwa kutoa order tu nae ataesabika kuwa kamanda fulani alisababisha yule Simba hatari kuuwawa.
Sasa mambo hayo yote yatakinzana na ukweli halisi iliyopo ndani yetu, ambao tunaupoteza kwa kuendelea kuwa wategemezi mno. Wajuzi wa masuala ya wanyama wamesema ukimwangalia Simba bila kupepesa macho wala kuogopa utakuwa unampa wakati mgumu sana kukudhuru, lakini je? Unaweza kufanya hivyo hii leo katika ulimwengu huu tegemezi tuliojiwekea? Kweli hatujijui sisi ni nani kabisaaaaa. Kwa kumalizia tu, maana nahisi nimetoka nje ya mada, siku moja nilikuwa nataka kufanya mahesabu na mkaka mmoja hivi.. sasa si ndo nikatoa ki simu changu ili kitusaidie kufanya mahesabu!!!! Mkaka alinishangaa sana kisha akasema yeye atafanya kwa kichwa tu bila utegemezi wa kikokotoleo, na kwa kweli mahesabu yalikuwa mengi sana na alifanya vyema na kwa haraka zaidi huku mimi mtegemezi nikibaki natumbua mimacho tu, NOTE "siku hizi hata wafanyakazi wa serikalini ukiwauliza leo ni tarehe ngapi? hawajui hadi waangalie kalenda kwenye simu zao"
 
Katika maisha haya kuna mambo mengi sana ya ajabu ajabu kabisaa... Sisi binafsi tuna uwezo wa kumudu kitu chochote au jambo lolote bila usaidizi wowote, sasa shida ni kuwa tunajizoesha mno kuwa tegemezi, wa kila kitu. Mfano kuna mtu anaweza kuua Simba kwa mikono yake na kuna mtu anaweza kuua Simba kwa mkuki na kuna mtu anaweza kuua Simba kwa bunduki na mwingine kwa kutoa order tu nae ataesabika kuwa kamanda fulani alisababisha yule Simba hatari kuuwawa.
Sasa mambo hayo yote yatakinzana na ukweli halisi iliyopo ndani yetu, ambao tunaupoteza kwa kuendelea kuwa wategemezi mno. Wajuzi wa masuala ya wanyama wamesema ukimwangalia Simba bila kupepesa macho wala kuogopa utakuwa unampa wakati mgumu sana kukudhuru, lakini je? Unaweza kufanya hivyo hii leo katika ulimwengu huu tegemezi tuliojiwekea? Kweli hatujijui sisi ni nani kabisaaaaa. Kwa kumalizia tu, maana nahisi nimetoka nje ya mada, siku moja nilikuwa nataka kufanya mahesabu na mkaka mmoja hivi.. sasa si ndo nikatoa ki simu changu ili kitusaidie kufanya mahesabu!!!! Mkaka alinishangaa sana kisha akasema yeye atafanya kwa kichwa tu bila utegemezi wa kikokotoleo, na kwa kweli mahesabu yalikuwa mengi sana na alifanya vyema na kwa haraka zaidi huku mimi mtegemezi nikibaki natumbua mimacho tu, NOTE "siku hizi hata wafanyakazi wa serikalini ukiwauliza leo ni tarehe ngapi? hawajui hadi waangalie kalenda kwenye simu zao"
Hata hujacheza nje ya mada, ila umesema jambo, ambalo watu wengi wana lisahau.

Shukran, Dada silaha
 
Katika maisha haya kuna mambo mengi sana ya ajabu ajabu kabisaa... Sisi binafsi tuna uwezo wa kumudu kitu chochote au jambo lolote bila usaidizi wowote, sasa shida ni kuwa tunajizoesha mno kuwa tegemezi, wa kila kitu. Mfano kuna mtu anaweza kuua Simba kwa mikono yake na kuna mtu anaweza kuua Simba kwa mkuki na kuna mtu anaweza kuua Simba kwa bunduki na mwingine kwa kutoa order tu nae ataesabika kuwa kamanda fulani alisababisha yule Simba hatari kuuwawa.
Sasa mambo hayo yote yatakinzana na ukweli halisi iliyopo ndani yetu, ambao tunaupoteza kwa kuendelea kuwa wategemezi mno. Wajuzi wa masuala ya wanyama wamesema ukimwangalia Simba bila kupepesa macho wala kuogopa utakuwa unampa wakati mgumu sana kukudhuru, lakini je? Unaweza kufanya hivyo hii leo katika ulimwengu huu tegemezi tuliojiwekea? Kweli hatujijui sisi ni nani kabisaaaaa. Kwa kumalizia tu, maana nahisi nimetoka nje ya mada, siku moja nilikuwa nataka kufanya mahesabu na mkaka mmoja hivi.. sasa si ndo nikatoa ki simu changu ili kitusaidie kufanya mahesabu!!!! Mkaka alinishangaa sana kisha akasema yeye atafanya kwa kichwa tu bila utegemezi wa kikokotoleo, na kwa kweli mahesabu yalikuwa mengi sana na alifanya vyema na kwa haraka zaidi huku mimi mtegemezi nikibaki natumbua mimacho tu, NOTE "siku hizi hata wafanyakazi wa serikalini ukiwauliza leo ni tarehe ngapi? hawajui hadi waangalie kalenda kwenye simu zao"
I second you...
 
Back
Top Bottom