Wewe Mwanamke, Wewe Mama na Wewe Mke wa mtu, jiheshimu

Satirical Yet Awesome

JF-Expert Member
Oct 11, 2023
338
652
Namshukuru sana mungu nimezaliwa kweny kipindi ambacho wanawake walikuwa wanajitambua na wanajiheshimu sana.

Namshukuru sana mungu kwasababu nimezaliwa na mwanamke anayejiheshimu, anayejitambua na anayejua thamani ya utu wake.

Video hapo chini inaonesha mtoto akienda kumuondoa mama ake aliyekuwa anabambiwa na kushikwa matako kweny party.


View: https://twitter.com/NoCapFights/status/1733616568838627580?t=GvSDcxJAihi3kk1me-Rztw&s=19

Inakuaje mtoto anamheshimu mama yake kuliko hata mama anavojiheshimu??

Mzazi ndo anajukumu la kumlinda mtoto asijiingize kweny mambo ya kumfachulia heshima, na sio mtoto ndo amlinde mzazi.

Eti mtoto ndo analinda heshima ya mama ake, stupidity!
 
Namshukuru sana mungu nimezaliwa kweny kipindi ambacho wanawake walikuwa wanajitambua na wanajiheshimu sana.

Namshukuru sana mungu kwasababu nimezaliwa na mwanamke anayejiheshimu, anayejitambua na anayejua thamani ya utu wake.

Video hapo chini inaonesha mtoto akienda kumuondoa mama ake aliyekuwa anabambiwa na kushikwa matako kweny party.


View: https://twitter.com/NoCapFights/status/1733616568838627580?t=GvSDcxJAihi3kk1me-Rztw&s=19

Inakuaje mtoto anamheshimu mama yake kuliko hata mama anavojiheshimu??

Mzazi ndo anajukumu la kumlinda mtoto asijiingize kweny mambo ya kumfachulia heshima, na sio mtoto ndo amlinde mzazi.

Eti mtoto ndo analinda heshima ya mama ake, stupidity!

Inasikitisha
 
Namshukuru sana mungu nimezaliwa kweny kipindi ambacho wanawake walikuwa wanajitambua na wanajiheshimu sana.

Namshukuru sana mungu kwasababu nimezaliwa na mwanamke anayejiheshimu, anayejitambua na anayejua thamani ya utu wake.

Video hapo chini inaonesha mtoto akienda kumuondoa mama ake aliyekuwa anabambiwa na kushikwa matako kweny party.


View: https://twitter.com/NoCapFights/status/1733616568838627580?t=GvSDcxJAihi3kk1me-Rztw&s=19

Inakuaje mtoto anamheshimu mama yake kuliko hata mama anavojiheshimu??

Mzazi ndo anajukumu la kumlinda mtoto asijiingize kweny mambo ya kumfachulia heshima, na sio mtoto ndo amlinde mzazi.

Eti mtoto ndo analinda heshima ya mama ake, stupidity!

Mbaya sana
 
Back
Top Bottom