Satirical Yet Awesome
JF-Expert Member
- Oct 11, 2023
- 338
- 652
Namshukuru sana mungu nimezaliwa kweny kipindi ambacho wanawake walikuwa wanajitambua na wanajiheshimu sana.
Namshukuru sana mungu kwasababu nimezaliwa na mwanamke anayejiheshimu, anayejitambua na anayejua thamani ya utu wake.
Video hapo chini inaonesha mtoto akienda kumuondoa mama ake aliyekuwa anabambiwa na kushikwa matako kweny party.
View: https://twitter.com/NoCapFights/status/1733616568838627580?t=GvSDcxJAihi3kk1me-Rztw&s=19
Inakuaje mtoto anamheshimu mama yake kuliko hata mama anavojiheshimu??
Mzazi ndo anajukumu la kumlinda mtoto asijiingize kweny mambo ya kumfachulia heshima, na sio mtoto ndo amlinde mzazi.
Eti mtoto ndo analinda heshima ya mama ake, stupidity!
Namshukuru sana mungu kwasababu nimezaliwa na mwanamke anayejiheshimu, anayejitambua na anayejua thamani ya utu wake.
Video hapo chini inaonesha mtoto akienda kumuondoa mama ake aliyekuwa anabambiwa na kushikwa matako kweny party.
View: https://twitter.com/NoCapFights/status/1733616568838627580?t=GvSDcxJAihi3kk1me-Rztw&s=19
Inakuaje mtoto anamheshimu mama yake kuliko hata mama anavojiheshimu??
Mzazi ndo anajukumu la kumlinda mtoto asijiingize kweny mambo ya kumfachulia heshima, na sio mtoto ndo amlinde mzazi.
Eti mtoto ndo analinda heshima ya mama ake, stupidity!