Wewe mwana JF una taaluma gani?

We unauliza hela au shahada?! Waulize kwanza akina Masanja au Diamond wana shahada ya nini mpaka wanamiliki mijengo na bdo wanahela za kung'oa demu yyt wa hta wa kihindi.
 
Degree ya kwanza - UDSM
Degree ya Masters - UDSM
Phd - University of Florida at Gainesville

JF tulianza kunako zamani baada ya forum yetu ya wanaAtlanta kukosa support na website kufungwa. Tukahamia JF.
 
Samahani mkuu,
Niwie radhi kwa maana hakika kusudi langu halikua ubaguzi bali nilitaka tu kujua taaluma za wanaJF mbal mbal. Niwie radhi!

We jamaa kwel haunazo.sasa unauliza watu kama wanashahada wataka za kaz gan?au ndo umemaliza chuo mwaka huu? hapo kijijini kwenu upo peke yako mwenye shahada?au ww ni limbuken wa hyo shahada moja?? MKUU UNAWEZA KUWA UNASHAHADA 3 . ELIMU YA MITAANI BADO IKAKUSHINDA..STATEMENT YAKO NI YAKIBAGUZI HASAA KWA SIYE TULIOSHIA LA NNE.

Angalie ucje zurula na mfuko wa khaki hadi ukachanika aaaah nlsahau nowdayz wanatembea na soft copy.
 
Leo langu mbona liko wazi kupata kufahamiana taaluma mbali mbali? Ili kwa mfano labda ukaingia katika legall issues, je kupita hapa JF huwezi kupata msaada kutokana na wataalam wa sheria humu ndani? Mambo mengine tunacomplicate tu. Mbona ilikua issue easy tu mkuu au kuna kilichojificha? Tujuzane!

kwanini hukuulizia taaluma ukakurupukia kwenye shahada?!
Au mpka mtu utambulike una taaluma flani mpaka uwe na shahada?vipi wenye cheti?diploma?na wengineo?hawana taaluma za diploma zao au vyeti vyao?wenye masters je?
Acha sifa lengo la elimu libadilike kutoka kwenye kujitafutia sifa liende kwenye kupambana na vikwazo vya maisha!
Inaelekea wewe umegraduate juzi..
Grow up
 
Hapa ndo tunajua mbwembwe nying za jm kumbe wengi wao watoto wa sekondari tu wanaonuka maziwa ndo maana hata michango yao inanulka maziwa tu.masters in business management(cooperate management)
 
Back
Top Bottom