Wewe mwana JF una taaluma gani?

Wewe mwana JF una taaluma gani?

Leo unataka shahada siku ingine utaomba attachment ya vyeti sijui unataka wakuwaajili kusafisha vikombe vya babu.
Mi nina shahada ya ulezi kwa familia.
Nina ya BA Ed

Safi mkuu, nilitaka tu tufahamiane, maana pia connection na kusaidiana kunatokea huku huku
 
Naomba nitoe somo. Shadada sio elimu. Kuna walioelimika sana lakini hawana shahada, na kuna wenye shahada lakini elimu kiduchu sana. Nadhani unataka kufahamu wana JF wameelimika kiasi gani.

Nafahamu mtu alikuwa na MA zamani lakini sasa hana elimu. Hata mtihani wa Form Six atafeli. Tena itabidi utofautishe kati ya elimu na maarifa.

well said mkuu,nakupa ten over ten
 
Na siku hizi simu zetu za mchina zinaruhusu tu uingie JF popote pale ulipo;Kijana wangu hapo anajipigia kiroba chake then akatubandikia ujumbe hapa right away!

Tutarajie mabandiko ya ajabu zaidi ya haya maana ndiyo faida na hasara ya kukua kwa techno!

Hahah, u wish!
 
Certificate of Educatn...japo si shahada, lakini ndo taaluma yangu...
 
kwanini hukuulizia taaluma ukakurupukia kwenye shahada?!
Au mpka mtu utambulike una taaluma flani mpaka uwe na shahada?vipi wenye cheti?diploma?na wengineo?hawana taaluma za diploma zao au vyeti vyao?wenye masters je?
Acha sifa lengo la elimu libadilike kutoka kwenye kujitafutia sifa liende kwenye kupambana na vikwazo vya maisha!
Inaelekea wewe umegraduate juzi..
Grow up

well said mkuu,hapo alipaswa kuulza taaluma,
 
Wakuu let me make this clear,
From beginning nilijua tu uzi huu ungeleta matatizo ya kutoelewana na ma comrade wenzangu wa hapa JF. Wengine wametoa commentz za kubeza, wengine wametukana, wengine pia wameweza kutaja taaluma/fani zao. Pengine ni lugha niliyotumia kuwasilisha swali langu ndio imetafsiriwa vibaya, I intended to ask
"Wewe mwanaJF una taaluma gani?" Na si kubeza au bagua wanajamii ambao hawana shahada. Nakubaliana kabisa na mtazamo wa wengi kwamba elimu si ujuzi, lakini fikirieni ndugu zangu, kutambua fani/taaluma ya mwenzako pia inaweza ikawa na manufaa kwako kwa mfano let's say labda kuna mwanaJF perhaps anataka kujenga nyumba unakuta kuna ma architect humu ambao wanaweza kumshauri etc. Nasisitiza, naomba nisieleweke vibaya, lengo langu lilikua nikujua taaluma mbali mbali za wanajamii na si kubeza elimu za watu. Sisi ni Great Thinkers, sidhani kama malumbano na kurushiana maneno ya kejeli vitasaidia kujenga, wala kuPM matusi sidhani kama ni uungwana. Well said then, niwatakie weekend njema nyooote!
 
Hapa ndo tunajua mbwembwe nying za jm kumbe wengi wao watoto wa sekondari tu wanaonuka maziwa ndo maana hata michango yao inanulka maziwa tu.masters in business management(cooperate management)

Mkuu na ww ndo walewale huna hata hyo masterz wenye hvo v2 wame2lia 2.kuna wa2 wana cpa,masterz,phd za ukwel plus gpa za kufa m2 but wame2lia 2.ntakupa laki moja ukiatach hyo masterz yako hapa jf
 
Wakuu let me make this clear,
From beginning nilijua tu uzi huu ungeleta matatizo ya kutoelewana na ma comrade wenzangu wa hapa JF. Wengine wametoa commentz za kubeza, wengine wametukana, wengine pia wameweza kutaja taaluma/fani zao. Pengine ni lugha niliyotumia kuwasilisha swali langu ndio imetafsiriwa vibaya, I intended to ask
"Wewe mwanaJF una taaluma gani?" Na si kubeza au bagua wanajamii ambao hawana shahada. Nakubaliana kabisa na mtazamo wa wengi kwamba elimu si ujuzi, lakini fikirieni ndugu zangu, kutambua fani/taaluma ya mwenzako pia inaweza ikawa na manufaa kwako kwa mfano let's say labda kuna mwanaJF perhaps anataka kujenga nyumba unakuta kuna ma architect humu ambao wanaweza kumshauri etc. Nasisitiza, naomba nisieleweke vibaya, lengo langu lilikua nikujua taaluma mbali mbali za wanajamii na si kubeza elimu za watu. Sisi ni Great Thinkers, sidhani kama malumbano na kurushiana maneno ya kejeli vitasaidia kujenga, wala kuPM matusi sidhani kama ni uungwana. Well said then, niwatakie weekend njema nyooote!

Kdogo sahz umeeleweka next time ukiwa unaweka uzi kabla ya kupost uwe una ureveiw mwenyewe ili kujua jamii husika wata react vp au watakuchukulia m2 wa aina gan?
¤Viva jf ¤
 
Wakuu let me make this clear,
From beginning nilijua tu uzi huu ungeleta matatizo ya kutoelewana na ma comrade wenzangu wa hapa JF. Wengine wametoa commentz za kubeza, wengine wametukana, wengine pia wameweza kutaja taaluma/fani zao. Pengine ni lugha niliyotumia kuwasilisha swali langu ndio imetafsiriwa vibaya, I intended to ask
"Wewe mwanaJF una taaluma gani?" Na si kubeza au bagua wanajamii ambao hawana shahada. Nakubaliana kabisa na mtazamo wa wengi kwamba elimu si ujuzi, lakini fikirieni ndugu zangu, kutambua fani/taaluma ya mwenzako pia inaweza ikawa na manufaa kwako kwa mfano let's say labda kuna mwanaJF perhaps anataka kujenga nyumba unakuta kuna ma architect humu ambao wanaweza kumshauri etc. Nasisitiza, naomba nisieleweke vibaya, lengo langu lilikua nikujua taaluma mbali mbali za wanajamii na si kubeza elimu za watu. Sisi ni Great Thinkers, sidhani kama malumbano na kurushiana maneno ya kejeli vitasaidia kujenga, wala kuPM matusi sidhani kama ni uungwana. Well said then, niwatakie weekend njema nyooote!

Kdogo sahz umeeleweka next time ukiwa unaweka uzi kabla ya kupost uwe una ureveiw mwenyewe ili kujua jamii husika wata react vp au watakuchukulia m2 wa aina gan? Kumbe ulijua uzi utaleta matatizo ila ukauweka kiubishi.grow up mkuu
¤Viva jf ¤
 
Nina Bsc in HCCM(Hating CCM) from the University of Umaskinini.
 
Back
Top Bottom