donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,257
- 22,130
- Thread starter
- #81
BCOM, CPA na masters in finance izo ndo shahada zangu uliza swali lingine!
Hongera sana mkuu
BCOM, CPA na masters in finance izo ndo shahada zangu uliza swali lingine!
Leo unataka shahada siku ingine utaomba attachment ya vyeti sijui unataka wakuwaajili kusafisha vikombe vya babu.
Mi nina shahada ya ulezi kwa familia.
Nina ya BA Ed
Naomba nitoe somo. Shadada sio elimu. Kuna walioelimika sana lakini hawana shahada, na kuna wenye shahada lakini elimu kiduchu sana. Nadhani unataka kufahamu wana JF wameelimika kiasi gani.
Nafahamu mtu alikuwa na MA zamani lakini sasa hana elimu. Hata mtihani wa Form Six atafeli. Tena itabidi utofautishe kati ya elimu na maarifa.
Na siku hizi simu zetu za mchina zinaruhusu tu uingie JF popote pale ulipo;Kijana wangu hapo anajipigia kiroba chake then akatubandikia ujumbe hapa right away!
Tutarajie mabandiko ya ajabu zaidi ya haya maana ndiyo faida na hasara ya kukua kwa techno!
Bachelor of Business Management (Financial Management). Natafuta kazi, kama unamchongo nistue tafadhali.
kwanini hukuulizia taaluma ukakurupukia kwenye shahada?!
Au mpka mtu utambulike una taaluma flani mpaka uwe na shahada?vipi wenye cheti?diploma?na wengineo?hawana taaluma za diploma zao au vyeti vyao?wenye masters je?
Acha sifa lengo la elimu libadilike kutoka kwenye kujitafutia sifa liende kwenye kupambana na vikwazo vya maisha!
Inaelekea wewe umegraduate juzi..
Grow up
Tuambizane.
well said mkuu,hapo alipaswa kuulza taaluma,
Tuambizane.
Hapa ndo tunajua mbwembwe nying za jm kumbe wengi wao watoto wa sekondari tu wanaonuka maziwa ndo maana hata michango yao inanulka maziwa tu.masters in business management(cooperate management)
Wakuu let me make this clear,
From beginning nilijua tu uzi huu ungeleta matatizo ya kutoelewana na ma comrade wenzangu wa hapa JF. Wengine wametoa commentz za kubeza, wengine wametukana, wengine pia wameweza kutaja taaluma/fani zao. Pengine ni lugha niliyotumia kuwasilisha swali langu ndio imetafsiriwa vibaya, I intended to ask
"Wewe mwanaJF una taaluma gani?" Na si kubeza au bagua wanajamii ambao hawana shahada. Nakubaliana kabisa na mtazamo wa wengi kwamba elimu si ujuzi, lakini fikirieni ndugu zangu, kutambua fani/taaluma ya mwenzako pia inaweza ikawa na manufaa kwako kwa mfano let's say labda kuna mwanaJF perhaps anataka kujenga nyumba unakuta kuna ma architect humu ambao wanaweza kumshauri etc. Nasisitiza, naomba nisieleweke vibaya, lengo langu lilikua nikujua taaluma mbali mbali za wanajamii na si kubeza elimu za watu. Sisi ni Great Thinkers, sidhani kama malumbano na kurushiana maneno ya kejeli vitasaidia kujenga, wala kuPM matusi sidhani kama ni uungwana. Well said then, niwatakie weekend njema nyooote!
Wakuu let me make this clear,
From beginning nilijua tu uzi huu ungeleta matatizo ya kutoelewana na ma comrade wenzangu wa hapa JF. Wengine wametoa commentz za kubeza, wengine wametukana, wengine pia wameweza kutaja taaluma/fani zao. Pengine ni lugha niliyotumia kuwasilisha swali langu ndio imetafsiriwa vibaya, I intended to ask
"Wewe mwanaJF una taaluma gani?" Na si kubeza au bagua wanajamii ambao hawana shahada. Nakubaliana kabisa na mtazamo wa wengi kwamba elimu si ujuzi, lakini fikirieni ndugu zangu, kutambua fani/taaluma ya mwenzako pia inaweza ikawa na manufaa kwako kwa mfano let's say labda kuna mwanaJF perhaps anataka kujenga nyumba unakuta kuna ma architect humu ambao wanaweza kumshauri etc. Nasisitiza, naomba nisieleweke vibaya, lengo langu lilikua nikujua taaluma mbali mbali za wanajamii na si kubeza elimu za watu. Sisi ni Great Thinkers, sidhani kama malumbano na kurushiana maneno ya kejeli vitasaidia kujenga, wala kuPM matusi sidhani kama ni uungwana. Well said then, niwatakie weekend njema nyooote!
Heheheeeee shahada ya uzamili katika uzamivu uliozamivika kazamizami
Tunatumia fake identities/names kwa hiyo tegemea taaluma fake pia.