Kwani ni wazo baya kujua taaluma za wana jf mbali mbali humu ndani?
ili iwaje?
Kwani ni wazo baya kujua taaluma za wana jf mbali mbali humu ndani?
wasamehe bure tu. si unajua wikiend halafu mifukoni hamna kitu labda next week watakuwa hawana tressBora umeona mkuu? Sijui kuna dhambi gani kwenye swali hili, sasa mtu kama hana shahada si anaikaushia thread?
wasamehe bure tu. si unajua wikiend halafu mifukoni hamna kitu labda next week watakuwa hawana tress
Samahani mkuu,
Niwie radhi kwa maana hakika kusudi langu halikua ubaguzi bali nilitaka tu kujua taaluma za wanaJF mbal mbal. Niwie radhi!
Mkuu JF ni ya wote waliosoma na wasiosoma,swali lako la ubaguzi haujawaona wasio na degree kwenye nyuzi za tcu? Mie nina shahada ya uzamili katika uzamivu.
PhD in animal feeding