falcon Q
JF-Expert Member
- Feb 28, 2023
- 788
- 2,119
Salamu ni uungawana. Habari wanandugu niwape pole na hongera kwa Jumapili hii njema kabisa. Na kama miongoni yupo mwenye changamoto ya kiafya basi Mungu amfanyie wepesi akae sawa kwa changamoto zingize tuendelee kupambana.
Nina jambo dogo tu tuweze kujifanyia tathimni katika maisha yetu ya kila siku vipi una raha au una furaha? Furaha yako ni ya mda gani? Furaha Inadumu au ndo shwaa kama radi unarudi kushika tama tena? Unafanyaje kupata furaha yako. Achana na raha itafute furaha raha haidumu furaha hudumu milele
Muwe na jumapili njema.
Nina jambo dogo tu tuweze kujifanyia tathimni katika maisha yetu ya kila siku vipi una raha au una furaha? Furaha yako ni ya mda gani? Furaha Inadumu au ndo shwaa kama radi unarudi kushika tama tena? Unafanyaje kupata furaha yako. Achana na raha itafute furaha raha haidumu furaha hudumu milele
Muwe na jumapili njema.