Wewe mwana JF una taaluma gani?

Wewe mwana JF una taaluma gani?

Wakuu let me make this clear,
From beginning nilijua tu uzi huu ungeleta matatizo ya kutoelewana na ma comrade wenzangu wa hapa JF. Wengine wametoa commentz za kubeza, wengine wametukana, wengine pia wameweza kutaja taaluma/fani zao. Pengine ni lugha niliyotumia kuwasilisha swali langu ndio imetafsiriwa vibaya, I intended to ask
"Wewe mwanaJF una taaluma gani?" Na si kubeza au bagua wanajamii ambao hawana shahada. Nakubaliana kabisa na mtazamo wa wengi kwamba elimu si ujuzi, lakini fikirieni ndugu zangu, kutambua fani/taaluma ya mwenzako pia inaweza ikawa na manufaa kwako kwa mfano let's say labda kuna mwanaJF perhaps anataka kujenga nyumba unakuta kuna ma architect humu ambao wanaweza kumshauri etc. Nasisitiza, naomba nisieleweke vibaya, lengo langu lilikua nikujua taaluma mbali mbali za wanajamii na si kubeza elimu za watu. Sisi ni Great Thinkers, sidhani kama malumbano na kurushiana maneno ya kejeli vitasaidia kujenga, wala kuPM matusi sidhani kama ni uungwana. Well said then, niwatakie weekend njema nyooote!

Hapo sawa umeeleweka BSc,MBA UDSM
 
Wakuu let me make this clear,
From beginning nilijua tu uzi huu ungeleta matatizo ya kutoelewana na ma comrade wenzangu wa hapa JF. Wengine wametoa commentz za kubeza, wengine wametukana, wengine pia wameweza kutaja taaluma/fani zao. Pengine ni lugha niliyotumia kuwasilisha swali langu ndio imetafsiriwa vibaya, I intended to ask
"Wewe mwanaJF una taaluma gani?" Na si kubeza au bagua wanajamii ambao hawana shahada. Nakubaliana kabisa na mtazamo wa wengi kwamba elimu si ujuzi, lakini fikirieni ndugu zangu, kutambua fani/taaluma ya mwenzako pia inaweza ikawa na manufaa kwako kwa mfano let's say labda kuna mwanaJF perhaps anataka kujenga nyumba unakuta kuna ma architect humu ambao wanaweza kumshauri etc. Nasisitiza, naomba nisieleweke vibaya, lengo langu lilikua nikujua taaluma mbali mbali za wanajamii na si kubeza elimu za watu. Sisi ni Great Thinkers, sidhani kama malumbano na kurushiana maneno ya kejeli vitasaidia kujenga, wala kuPM matusi sidhani kama ni uungwana. Well said then, niwatakie weekend njema nyooote!

ok!hapa sasa umeeleweka,kumbe ule ulikuwa mkurupuko..
Mimi nina taaluma ya UGEMA
 
Shahada ya ualimu Bed science specialization in Mathematics. Pia ninastashahada ya ualimu katika Dini.
 
kwanini hukuulizia taaluma ukakurupukia kwenye shahada?!
Au mpka mtu utambulike una taaluma flani mpaka uwe na shahada?vipi wenye cheti?diploma?na wengineo?hawana taaluma za diploma zao au vyeti vyao?wenye masters je?
Acha sifa lengo la elimu libadilike kutoka kwenye kujitafutia sifa liende kwenye kupambana na vikwazo vya maisha!
Inaelekea wewe umegraduate juzi..
Grow up

Mweee!
 
B com (Accounting), (MBA finance ila nimeigandisha ingawa imenipa kazi nyingi); natamani ACCA, na pia nataka kubobea katika theology
 
the....tehe....twehe.....
majibu yenu yameondoa makunyanzi na hasira za wiki nzima yamenipa furha hasubuhi hii na kuondoa gas tumboni iliyotokana na kuvimbiwa wachemsho ya supu
 
unaonekana umekuja mjini sijui na mbio za mwenge au uliparamia gogo na kushindwa kuliachia mpaka kufika Pugu

Ukizaliwa mjini tayari umemaliza form 6, ukikulia mjini wewe una Bsc sasa njoo wewe wa kijijini na vyeti vyako usome vipi watu wanaishi hapa mjini
 
Back
Top Bottom