Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 3,910
- 6,706
Wanawake hasa wadada, mnapotongozwa na Wanaume na kujibu; Nipo kwenye mahusiano huku ikiwa si kweli, haupo kwenye mahusiano yoyote; Upo unasikilizia kwa Mwanaume atakayekuja, ila jibu la nipo kwenye mahusiano, uwa kama njia rahisi kwenu ya kumkataa Mwanamume yule usiyempenda kwa sababu na vigezo unavyojua wewe wenyewe; Mbaya.
Kama Mtu humpendi ni bora umwambie kweli na akitaka kujua sababu za kwa nini hutaki, humtaki au humpendi; Mpe sababu zote zilizopelekea umkatae au ukatae; Sababu zako ziwe za kweli ili iwe home work kwakeyeye kujichunguza na kuzifanyiakazi sabubu zilizo ndani ya uwezo wake, zilizopelekea wewe umkatae ili asije kukataliwa tena na mwingine kwa sababu hizohizo; Mbaya Sana. Sikutaki Sababu ni mchafu, unanuka kikwapa; Si hivyo tu' anaelewa au?
Yanini upate dhambi na kufunga milango yako ya mahusiano kwa kusema uongo. Nipo kwenye mahusiano kumbe uongo! So?
Kumbuka kinywa chako pia kinauwezo wa kujiloga ju ya Hatima yako mwenyewe!
Kama Mtu humpendi ni bora umwambie kweli na akitaka kujua sababu za kwa nini hutaki, humtaki au humpendi; Mpe sababu zote zilizopelekea umkatae au ukatae; Sababu zako ziwe za kweli ili iwe home work kwakeyeye kujichunguza na kuzifanyiakazi sabubu zilizo ndani ya uwezo wake, zilizopelekea wewe umkatae ili asije kukataliwa tena na mwingine kwa sababu hizohizo; Mbaya Sana. Sikutaki Sababu ni mchafu, unanuka kikwapa; Si hivyo tu' anaelewa au?
Yanini upate dhambi na kufunga milango yako ya mahusiano kwa kusema uongo. Nipo kwenye mahusiano kumbe uongo! So?
Kumbuka kinywa chako pia kinauwezo wa kujiloga ju ya Hatima yako mwenyewe!