Hii mada ya kataa ndoa inabidi ijibiwe kwa hoja na sio mihemko, vijana wetu wanaikataa ndoa wakiwa na mantiki kubwa sana, inaitaji umakini mkubwa sana kuwaelewa na kuweza kujibu hoja zao za msingi.
Kwa mimi binafsi nadhani kuna utofauti kubwa kati ya kuoa na kufunga ndoa.
1. Naanza na kuoa.
Wazee wetu wa zamani walikuwa wanaoa siyo kufunga ndoa. Ndiyo maana familia zao ziliweza kuishi kwa amani kubwa sana na kuheshimiana tofauti na sasa. Mwanamke alikuwa ana adabu kubwa na anamtii mme wake. Hakukuwa na tamaa za mali ambazo kwa asilimia kubwa zinavunja familia. Mwanamke alijua anatoka kwao anaenda kuolewa na kuanzisha familia na siyo kuchuma mali.
2. Ndoa
Ni upgrade ya kuoa ikiwa na maana hii ifuatayo.
Tafsiri ya ndoa za kipindi hiki ni kama ajira ama taasisi ya biashara yaani startup ambayo founders wawili kila mmoja ana share ya 50% ya ownership. Ambapo anytime founder yeyote anaweza kuharibu hiyo taasisi iliyoanzishwa na kuondoka na 50% yake. Na hii imetengenezwa kwa ajili ya favour ya mwanamke, power ya mwanamme ni kama haipo kwenye ndoa. Ndoa imeegemea upande mmoja na wanawake wanatumia iyo weakness vibaya sana. Hakuna mwanamme anayeweza vumilia kukaa na mwanamke malaya, mjeuri, mwenye kiburi, asiyemsikivu e.t.c eti kisa kafunga naye ndoa.
Maoni yangu ni kwamba turudi kwenye utaratibu wa zamani yaani tuoe na tuzae ila tusifunge ndoa. Familia yenye ustawi mzuri lazima iwe ni ya baba mama na watoto. Cheti cha ndoa hakikupi guarantee ya kuwa na familia yenye amani ila kimejikita zaidi kwenye upande wa ndoa ikivunjika tugawane mali.
Ndoa zimekuwa za kitapeli.
Kwa mimi binafsi nadhani kuna utofauti kubwa kati ya kuoa na kufunga ndoa.
1. Naanza na kuoa.
Wazee wetu wa zamani walikuwa wanaoa siyo kufunga ndoa. Ndiyo maana familia zao ziliweza kuishi kwa amani kubwa sana na kuheshimiana tofauti na sasa. Mwanamke alikuwa ana adabu kubwa na anamtii mme wake. Hakukuwa na tamaa za mali ambazo kwa asilimia kubwa zinavunja familia. Mwanamke alijua anatoka kwao anaenda kuolewa na kuanzisha familia na siyo kuchuma mali.
2. Ndoa
Ni upgrade ya kuoa ikiwa na maana hii ifuatayo.
Tafsiri ya ndoa za kipindi hiki ni kama ajira ama taasisi ya biashara yaani startup ambayo founders wawili kila mmoja ana share ya 50% ya ownership. Ambapo anytime founder yeyote anaweza kuharibu hiyo taasisi iliyoanzishwa na kuondoka na 50% yake. Na hii imetengenezwa kwa ajili ya favour ya mwanamke, power ya mwanamme ni kama haipo kwenye ndoa. Ndoa imeegemea upande mmoja na wanawake wanatumia iyo weakness vibaya sana. Hakuna mwanamme anayeweza vumilia kukaa na mwanamke malaya, mjeuri, mwenye kiburi, asiyemsikivu e.t.c eti kisa kafunga naye ndoa.
Maoni yangu ni kwamba turudi kwenye utaratibu wa zamani yaani tuoe na tuzae ila tusifunge ndoa. Familia yenye ustawi mzuri lazima iwe ni ya baba mama na watoto. Cheti cha ndoa hakikupi guarantee ya kuwa na familia yenye amani ila kimejikita zaidi kwenye upande wa ndoa ikivunjika tugawane mali.
Ndoa zimekuwa za kitapeli.