CARIFONIA
JF-Expert Member
- Aug 17, 2013
- 645
- 1,549
Dah! Sina mengi ya kusema ila wewe dada tambua sisi sio milima ipo siku tutaonana tena.
Mimi sio wa kunilia hela yangu ya nauli au kwa kua nilijiongeza nikakutumi kibunda, mbaya zaidi unazima simu huku status umepost wimbo wa Diamond eti
aibu yahani haya naona mimi tumekutana leo eti kaniamini.
Mimi sina mengi one day utajaa tu kwenye mfumo labda kama kwetu sio Ukerewe.
Mimi sio wa kunilia hela yangu ya nauli au kwa kua nilijiongeza nikakutumi kibunda, mbaya zaidi unazima simu huku status umepost wimbo wa Diamond eti
aibu yahani haya naona mimi tumekutana leo eti kaniamini.
Mimi sina mengi one day utajaa tu kwenye mfumo labda kama kwetu sio Ukerewe.