Weusi kufulia baadae sana

Weusi kufulia baadae sana

Wanapewa promo halafu na wao wanajiona wanaweza kweli.hamna kitu hao jamaa hawana kbs fleva yaani kama wanapiga story tu kijiweni
 
Ha ha ha ha, smart def`n.
Ok,kuhusu suala la kuiga democrasia na mengine siwezi sana kulikataa.Duniani kote watu wanachukua skeletoni ya idea yoyote ila smart nations huwa wanailocalize na kuifanya iwafae na kuwa kwa manufaa yao.Sasa sisi huwa tunatumia settings zilezile tulizozikuta.Hapa namaanisha kuwa kila kitu kikiundwa kinakuwa na marekebisho ya mwanzo kulingana na mteja.Mfano software programs nyingi zinakuwa na default settings ambazo huwa unaanza nazo ila baadaye inatakaiwa tuzibadili kwa manufaa yetu,kuanzia number ya siri na mengineyo.

China hawakugundua chochote,ila siku hizi wana ndege za kisasa, Nyuklia, magari na vitu vingine vingi ambavyo wanatamba navyo.Saddam mwenyewe scud alinunua silaha na missiles ila akafanyia utundu na kumfanya awe katishio fulani ktk waarabu wenziwe.

Hata magharibi nao wamechukua mengi kwa tamaduni nyingine na kuyafanya yawafae.

Pia hatuhitaji kupoteza muda na gharama kutaka tuanzie sifuri ktk kila nyanja ya maisha.Tayari wenzetu wamegharamia researches na mengineyo na km ni iformation zipo wazi ni sisi kuzitumia tuu kwa ufanisi ili kufukia huu umbali tulioachwa. China na sasa India wameweza, sasa kama sisi tunasubiri tupewe haki miliki bure km ilivyokuwa kwa hati miliki ya kuzalisha dawa za kurefusha maisha kwa waathirika wa ugonjwa wa ukimwi tumeisha. Wachina wamecheza rafu mpaka wazungu wanalia.

Sisi kinatushinda nini wakati hakuna hata mwenye haja ya kuliangalia soko letu? Hapa kazi ni moja tuchukue utaalamu tuufany kuwa wa gharama nafuu then tupige kazi. Nashangaa hao SIDO na Veta wanataka Gundua Computer, gari au mashine yoyote ya kipindi hiki. Wenzio wana makampuni yenye nguvu kuliko serikali zetu, yanaendesha tafiti na yanatengeneza vifaa tofauti ktk hiyo computer au gari, sasa kutaka fanya kazi ya zaidi ya kampuni moja ni kupoteza muda.Wwao wapige akili cha kufanya basi waunganishe vipande kazi iende mbele.

Ok, nadhani ni muda wa kutumia akili na kucheza na vilivyopo duniani kwa manufaa yetu tutafika. Sasa tukitaka kugundua kila kitu. Tutarudi miaka mingi, kwani tutakuta hata nyundo msumari hatuna haki ya kutumia na hata tukiweza buni hatutaweza pata muda wa majaribio ambao vitu vya leo vimepitia. Pistoni ya gari imegundulika miaka mingi na kufanyiwa mabadiliko kwa vizazi, na ktk mazingira ya aina nyingi na gharama kubwa.

Kuna njia kibao za kuwahadaa mataifa ili kupata haki miliki kwa manufaa ya taifa. Njia rahisi ni kudai kupewa msaada na ruhusa ya research na bidhaa za bei nafuu kwa ajili ya vijana na wanafunzi, na baadaye kujikuta kila raia anapata vitu muhimu.Hivi ndivyo wenzetu India na China wamejikuta wanaweza tengeneza computer km laptop ambazo zinauzwa bei ya simu ya mlalahoi wa bongo.

India wamevuta watu kufanya tafiti vijijini na maporini ili kuwezesha huduma muhimu kupelekwa huko kwa gharama ya wengine, leo hii kuna vituo ktk vitongoji vya porini, amabvyo vina internet kwa umma kupitia satelite na kutumia solar, kitu ambacho kimesaidia makampuni machanga ya IT india kuweza kufanya kazi kwa urahisi bila kugharamia mitandao. Pia kazi nyingine za kufunga hivi vifaa zilipewa wahindi.Sisi tunabaki na kimoja tuu ubinafsishaji.

Tunashindwa anzisha wazo na kubandika taasisi za kimataifa wajibebeshe, hatujui hii ndio njia ya kuwadai gharama za ukoloni na utumwa bila nguvu.

Ok, nisiandike mengi ila hizi ndizo njia za kuwatumia wengine watujengee nchi.

Fid anasema, kitacho niangusha sio kusukumizwa mton, ila kushndwa kuogelea na.kupotea msinione.

HILI NGOME YEYE NA YUNG WAMELITENDEA HAKI SANA......
 
wazee wa kucopy nyimbo za mbele wanafanya modeling ya beat na nyimbo za mbele
 
jamaa wanajitahidi kwa kwel. Good music family (GMF) watafika mbali. Big up weusi!!!
 
Adharusi unapenda mbinuko wewe..
Lakino ni mzuri sana....
Anaitwa Haika Marealle
 
Last edited by a moderator:
Huu wimbo nimeusikiliza zaidi ya mara mbili lakini sijaona uzuri wake

Anasema "Utanipga deki nikikudekeza maisha safari ndio kuwekeza

Mara nataka iPhone mmh nikakanunulia apple
Kakataka out nikakatoa nje kakapunga upepo nikakaimbia XO

Watoto wanapenda asali watoto awapendi ukari awapendi safari maisha kufika mbali na tena kwa msoto mkali
I love you wa ubani "
 
Kuna movie moja ya Nigeria beat ya wachoma mkaa "sisi chapa lingine" imesikika sana,sijui wachoma mkaa wameiga ile beat au wanaijeria
 
hongera sana weusi. Mtafika mbali coz mnajua kujipanga vizuri. Kama wanakopi wao si wakwanza na hawatokuwa wa mwisho. La msingi naenjoy mziki mzuri
 
Back
Top Bottom