Nyimbo zao zinapigwa clouds tu?Kweli kabisa,hao kufulia mpaka labda xxl isiwepo.
Jifunze kwanza kitu kinaitwa trend kwenye music ndio uje hapa na maswali yako ya kiwaki.Nyimbo zao zinapigwa clouds tu?
"Wanampa promo ila kwenye show nammeza" by fid q
walalotaige?Wasibamota,waguma,agandi..
Huyo mchaga haika nampenda hakosei.
Sema wimbo sijausikiliza
Fid ana mistari ya moto sana halafu inazungumzia maisha halisi ya mtz
Kwenye ile nyimbo ya 13 aliyoimba na bele 9 na young killa kuna mstari huwa unaniacha hoi sana
Eti masikini nakomaa hadi naota ukungu!!