Hapana walikuwa wanatafakari hao, huoni wameangalia chini!
yaani kutafakari kizimbabwe kama ndio kuangalia chini hadi kufumba macho
Ndivyo Kobe anvyotunga sheria mkuu!
Nikimshitukia mtu hua sikosei na wala sirudii mara mbili... Niliyaona haya longtime....
Ati kakimbilia Ubalozi gani?... Wa - KABURU MATATA HIYAAAA!...yaani balozi zote za kiafrika hazina mpango...
.....are you this naive,seriously!
.... another BS piece of crap from one of these Mugabes idiots supporter!
mama, lakini mbona naona kama ukumbi ulikuwa mtupu?
labda ilikuwa coffee break kwi, kwi
probaby dumb ass dubya was speakin..!
kuna mwaka wakuu wa sadc kama sikosei
bw. morgan alishauriwa ahudhurie hicho kikao
ili akajenge hoja. kwa mshangao wangu huyu mkuu
alikwenda london kuonana na bw. blair na akatamka hadharani
kwamba mkutano wa sadc hautamsaidia kwani viongozi
wa kiafrika kazi yao kuteteana. naamini baada ya kauli hiyo
viongozi wengi wa sadc walimuona bomu.
binafsi baada ya hapo jamaa nilimuona kibaraka kwani niliamini
angekwenda sadc ajieleze halafu viongozi wa sadc wakijivuta ndio
awashutumu kwa kubebana. naona amerudia tena kosa lake kwa
kukimbilia ubalozi wa "wazungu".
Kwa hiyo kitendo cha Mugabe kuua watu wake sii swala la ajabu ktk nchi za kiafrika hasa ukiwa na kiongozi mbovu kama Mugabe
Jana Mandela, ametoa maneno mazito sana kumsema Mugabe kwa mara ya kwanza, lakini ninashangaa kuwa kwa nini ameenda kuyasemea majuu badala ya Afrika, tena akiwa amezungukwa na wazungu why? Wakuu naomba kueleweshwa?
Mkuu Thabo Mbeki, nasikia Muagbe anamuita ni play boy, na kwamba anamdharau sana kuwa ni kibaraka wa wazungu na ameshamwabia hivyo mara nyingi usoni kwake, na pia nasikia na sisi bongo anatuona ni a big joke hasa baada ya Joji Kichaka kuja kwetu, nasikia anatudharau sana,
Hapa ndio tunamkumbuka Mwalimu, yule mzee alikuwa na something sijui ni kile kifimbo au tunguli, maana angekwenda kwa huyu Mugabe na angemshikisha adabu, muulize Buyoya wa Burundi!
Yap, ndio ukweli iwe kwa mtazamo wowote ule...
Sasa nikuulize huyo Morgan kama alijua viongozi wa Kiafrika kila siku huwa wanateteana na kuwa sababu yake muhimu asihudhulie kikao kile, ilikuwaje yeye apiganie tena UONGOZI ambao ungemweka ktk fungu hilo hilo la viongozi wa Kiafrika! au alikuwa na maana kuwa yeye angekuwa tofauti na mtetezi mwingine, Muingereza!. maanake haileti mankiti mtu kushutumu viongozi wa Africa hali wewe mwenyewe unagombea uongozi huo huo.
Mkuu huyu jamaa nomaa!... afadhali hata yule mwanamke nimesahau jina lake lakini akikua na hoja za msingi sana. Bahati mbaya ndio mfano wa Mrema...