Wenzie wapo Davos. Yeye kajificha

Wenzie wapo Davos. Yeye kajificha

View attachment 3532351

Ule muda wa Davos umefika.

Viongozi mbalimbali duniani wako huko.

Neno la muhimu hapo ni “viongozi”.

Sasa, huyu mtawala wetu ambaye ni haramu, naye ataenda au keshaenda?

Au ndo kajificha huko anakojifichaga?

Alipoingia kwenye utawala alikuwa anapenda sana kwenda Ulaya na Marekani kuuza sura kwa kisingizio cha kuifungua nchi.

Ila baada ya kutuonyesha rangi zake halisi [uuaji na ukatili wa hali ya juu], sasa hivi kawa pariah.

Anajificha. Anaongea mambo ya ajabu ajabu. Leo anasema hiki, keshokutwa anasema kingine kinachokinzana na alichosema juzi.

Hiyo hali ni dalili ya mtu kuchanganyikiwa kichwani.

Endapo kaenda huko Davos, atakayemwona atustue……
Currently ratiba yake Dodoma(military barracks) ambako ndipo anakuwa muda mwingi, number two Zenji kwa ajili ya kuwa anapata urojo(local and original) then Magogoni Dar kwa ajili ya picha na kuuza sura kwamba kiti cha enzi kiko chini ya ass yake.
 
View attachment 3532351

Ule muda wa Davos umefika.

Viongozi mbalimbali duniani wako huko.

Neno la muhimu hapo ni “viongozi”.

Sasa, huyu mtawala wetu ambaye ni haramu, naye ataenda au keshaenda?

Au ndo kajificha huko anakojifichaga?

Alipoingia kwenye utawala alikuwa anapenda sana kwenda Ulaya na Marekani kuuza sura kwa kisingizio cha kuifungua nchi.

Ila baada ya kutuonyesha rangi zake halisi [uuaji na ukatili wa hali ya juu], sasa hivi kawa pariah.

Anajificha. Anaongea mambo ya ajabu ajabu. Leo anasema hiki, keshokutwa anasema kingine kinachokinzana na alichosema juzi.

Hiyo hali ni dalili ya mtu kuchanganyikiwa kichwani.

Endapo kaenda huko Davos, atakayemwona atustue……
Davos ni mkusanyiko wa mabeberu na vibaraka wao.
 
Hata ningekuwa mimi nisiingeenda. Maana unaweza ukashangaa ICC wanakuja kugonga mlango na kukuambia ujiandae ili wakuchukue ukajibu mashtaka yako ya utekaji na mauaji ya raia wasio na hatia.
Ukizingatia huwa wanatoa kimya kimya hati ya kukamatwa.
 
View attachment 3532351

Ule muda wa Davos umefika.

Viongozi mbalimbali duniani wako huko.

Neno la muhimu hapo ni “viongozi”.

Sasa, huyu mtawala wetu ambaye ni haramu, naye ataenda au keshaenda?

Au ndo kajificha huko anakojifichaga?

Alipoingia kwenye utawala alikuwa anapenda sana kwenda Ulaya na Marekani kuuza sura kwa kisingizio cha kuifungua nchi.

Ila baada ya kutuonyesha rangi zake halisi [uuaji na ukatili wa hali ya juu], sasa hivi kawa pariah.

Anajificha. Anaongea mambo ya ajabu ajabu. Leo anasema hiki, keshokutwa anasema kingine kinachokinzana na alichosema juzi.

Hiyo hali ni dalili ya mtu kuchanganyikiwa kichwani.

Endapo kaenda huko Davos, atakayemwona atustue……
Akisafiri nje kelele, asiposafiri ooh kajificha. Sasa akisafiri msije hapa kusema anasafiri mno
 
Yupo Davos ya Mji wa Mtumba Dodoma hapo, nje akienda wanamla kichwa
 
View attachment 3532351

Ule muda wa Davos umefika.

Viongozi mbalimbali duniani wako huko.

Neno la muhimu hapo ni “viongozi”.

Sasa, huyu mtawala wetu ambaye ni haramu, naye ataenda au keshaenda?

Au ndo kajificha huko anakojifichaga?

Alipoingia kwenye utawala alikuwa anapenda sana kwenda Ulaya na Marekani kuuza sura kwa kisingizio cha kuifungua nchi.

Ila baada ya kutuonyesha rangi zake halisi [uuaji na ukatili wa hali ya juu], sasa hivi kawa pariah.

Anajificha. Anaongea mambo ya ajabu ajabu. Leo anasema hiki, keshokutwa anasema kingine kinachokinzana na alichosema juzi.

Hiyo hali ni dalili ya mtu kuchanganyikiwa kichwani.

Endapo kaenda huko Davos, atakayemwona atustue……
Screenshot_20260120-224356~2.png
 
Unashindwa kujua huyu ni rais au utumbo mdogo muda wote kajificha tumboni
 
View attachment 3532351

Ule muda wa Davos umefika.

Viongozi mbalimbali duniani wako huko.

Neno la muhimu hapo ni “viongozi”.

Sasa, huyu mtawala wetu ambaye ni haramu, naye ataenda au keshaenda?

Au ndo kajificha huko anakojifichaga?

Alipoingia kwenye utawala alikuwa anapenda sana kwenda Ulaya na Marekani kuuza sura kwa kisingizio cha kuifungua nchi.

Ila baada ya kutuonyesha rangi zake halisi [uuaji na ukatili wa hali ya juu], sasa hivi kawa pariah.

Anajificha. Anaongea mambo ya ajabu ajabu. Leo anasema hiki, keshokutwa anasema kingine kinachokinzana na alichosema juzi.

Hiyo hali ni dalili ya mtu kuchanganyikiwa kichwani.

Endapo kaenda huko Davos, atakayemwona atustue……
Ananuka nnya
 
Back
Top Bottom