Wenzetu wanvyofanya (pics only)

Jamco_za,
Mkuu sio lazima tujenge uwanja kama huu ila jamani nasikia siku hizi hata ile mikonga ya abiria kuingia/kutoka ndani ya ndege pale JKN sii yote inafanya kazi..
Nchi yetu ina ndege sijui ngapi? (2) zinazoruka, lakini check hesabu ya wafanyakazi! Hivi kweli tunahitaji fedha na wataalam hata ktk maswala kama haya!

Mkuu Mkandara,

Wacha huo mkonga labda unahitaji technology, sisi tunashindwa hata kupeleka maji pale airport ndio tuanze kufikiria miradi mikubwa kama hiyo?

Hivi kweli hata kuweka mazingira ya maana tunahitaji investors? Unashangaa iweje hotel za kitalii kule mjini ziwe poa lakini kwenye airport kubwa kama ile tushindwa hata na usafi wa kwenye vyoo?
 
mchaga mi naungana na wewe 100%.sometimes nafikiri pengine wa TZ tumelogwa sijui...yaani nasikia kutapika kabisa
 
airport yetu kwa hii nadhani itakuwa ni store...

Husemi ni sehemu ya kutupia sikerepumaana hata ndege tunazouziwa huwa ni zile zilizoegeshwa na hazifai kwa kusafiri lakini Tanzania chini ya wataalamu wake wanazinunua na kuzitumia.
 
nyie mnazungumza kuhusu new airport ya beijing, wengine hapa huu mtandao itabidi uchukue wiki kuiona hiyo picha!!!!!!
 
Na hii ndio HONG KONG INTERNATIONAL AIRPORT


IMG_2170.jpg


IMG_2175.jpg


IMG_2173.jpg


IMG_2177.jpg


IMG_2176.jpg


IMG_2178.jpg


IMG_2183.jpg


IMG_2189.jpg


IMG_2186.jpg


IMG_2192.jpg


IMG_2196.jpg


IMG_2201.jpg


IMG_2202.jpg


IMG_2203.jpg


IMG_2207.jpg


IMG_2210.jpg


IMG_2204.jpg


IMG_2214.jpg


IMG_2221.jpg


IMG_2223.jpg


IMG_2228.jpg


IMG_2233.jpg


IMG_2235.jpg


IMG_2236.jpg


IMG_2238.jpg


IMG_2237.jpg


IMG_2243.jpg


IMG_2249.jpg
 
that project involved people with brains and vision. the lead engineer for this project came from middle east, the state of art technology to move and scan luggages was designed by siemens (german), projects were managed by chinese firms. I dont think our leaders are ready to make such economic sacrifices let aside the common ones which for the past four decade we havent find a clue. Imagine issue of sanitation in our cities and towns (kipindupindu), inadequate infrastructure, shule mbovu, poor health services yet we brag to embark on projects like presidential jet, 'twin towers' and give them the status of economic prosperity! really? us we have basic issues to address before jumped onto those mega structures....clean and safe water, sustainable roads, health care, schools etc
 
Duu Watanzania,

Kila kitu mwataka. La nini hili Airport??? Kwanza makelele yatakuwa 4 much.


Terminal 3 is larger than London Heathrow Airport's 5 terminals combined with another 17% to spare.

Terminal 3 of the BCIA is currently the second largest airport passenger terminal building of the world. Its title as the world's largest was surrendered to Dubai International Airport's Terminal 3 (over 1,500,000 m²) on October 14, 2008.

The budget of the expansion is US$3.5 billion. Airport is served by the Airport Express Line of the Beijing Subway. The 28.1 km line runs from Terminal 3 to Terminal 2 and then to the city with stops at Sanyuanqiao and Dongzhimen. A one-way ticket costs Y25 and a trip takes 16-20 minutes.
 
bila kusahau wale wenzetu (sijui kama hili neno wenzetu hapa ni mahala pake) Kule BEIJING wamejenga the longest UNDERGROUND RAILWAY in the world na kuipuku London Underground


e6_b.jpg


dde8d_b.jpg


d9fd_o.jpg


yhg92.jpg


fac_b.jpg


fd2e_b.jpg
 
by the way ule mtaro pale njeya HAIDERY PLAZA juzi umezibwa lakini umezibwa kwa mchanga...hivyo mvua hizi kazi iko pale pale
 
sasa naona mlikuwa mnastaajabu ile AIPORT YAO hivi mshaiona hiyo GRAND CENTRAL au WATERLOO STATION yao?
Beijing South has just opened last year, joining the other massive termini of Beijing Central and Beijing West.

simple stats za hii


1)The glass ceiling is outfitted with 3,246 solar panels to generate electricity.

2)The structure spreads out like a ray or trilobite and covers 320,000 sq meters (3,444,450 sq. feet), more than the Beijing National Stadium's 258,000 m2.

3)Its 24 platforms have the capacity to dispatch 30,000 passengers per hour or 241,920,000 a year.

4)The 251,000 m2 (2,750,000 sq. ft) waiting area can accommodate 10,000 passengers.

BeijingSouthRailwayStation.jpg


0013729e4ad909bad5081b.jpg


u/c one of the world's largest indoor spaces:


Img214238142.jpg

beijing+south+railway+station+2.jpg


BeijingSouth01.jpg
2738109208_6bb107c92d.jpg



800px-20080802105531_-_%E5%8C%97%E4%BA%AC%E5%8D%97%E7%AB%99.jpg

800px-20080802074839_-_%E5%8C%97%E4%BA%AC%E5%8D%97%E7%AB%99.jpg



beijing_south_railway_station_farrells080908_3.jpg



beijing_south_railway_station_farrells080908_7.jpg




beijing_south_railway_station_farrells080908_6.jpg



beijing_south_railway_station_farrells080908_2.jpg



beijing_south_railway_station_farrells080908_1.jpg



beijing_south_railway_station_farrells080908_5.jpg


10180_6_beijing%20south%208big.jpg

beijing_south_railway_station_farrells080908_4.jpg
 
Nadhani its about time tukaachana na siasa za vyama vingi na kurudi kwenye udikteta au mnasemaje?
 
Nadhani its about time tukaachana na siasa za vyama vingi na kurudi kwenye udikteta au mnasemaje?

kwani tatizo letu ni Vyama Vingi? Mbona tumetawaliwa na Hicho Chama kimoja toka Uhuru? Tatizo ni kuwa ni kiongozi mwenye vision vingine vitafuata.
 
Udiktator may be waweza kusaidia kwa sasa!

Kwa kama miaka 20 kwanza..then ndo vyama vingi!

Ila siyo udictator kama wa Amini, Mobutu au Bokkasa!

Tuwe na udiktator wa Lee wa Singapore au Mahatir Muhamed wa Malasia!

Ila mbona wengi wanasema hata Mwal. alikuwa dictator? what really went wrong?
 
Hawa wachina, nani kawapa misaada ya kujenga haya madubwasha yote haya? Halafu kwa nchi za kikomunisti kama hizi ambazo hazifuati demokrasia ya kimagharibi au ubepari kama unavyofuatwa magharibi wanawezaje kufanya mambo haya yote?

Sidhani kama China ni Udikteta labda tuseme ni ule wa chama kimoja siyo wa mtu mmoja kama ilivyo Pyongyang.
 
Udiktator may be waweza kusaidia kwa sasa!

Kwa kama miaka 20 kwanza..then ndo vyama vingi!

Ila siyo udictator kama wa Amini, Mobutu au Bokkasa!

Tuwe na udiktator wa Lee wa Singapore au Mahatir Muhamed wa Malasia!

Ila mbona wengi wanasema hata Mwal. alikuwa dictator? what really went wrong?

Labda hakuwa dikteta mzuri!
 
Back
Top Bottom