Wenzetu walinzia Bengazi, Sisi tuanzie wapi? Chama kimoja kutawala nchi kwa miaka 50 nao ni udikteta

acha woga mtu wangu. mafanikio hayji kirahisi. kaulize wale wote waliofanikiwa kimaisha ama zile nchi zilizoemdelea lazima kuna historia inayoonyesha ugume wa yale mafanikio.
 


Naona una visa na beef na wachaga na Chadema!! Kwenye bluu ninakubaliana nawe kwamba mapinduzi ya kuiangusha serikali uwa yanafanikiwa kwa kiwango kikubwa kama wananchi wenyewe ndio watakua mstari wa mbele na si chama cha siasa!! Ni rahisi kwa serikali iliyo mbioni kuangushwa ku crack down the opposition parties na viongozi wake kama wakianzisha mapinduzi hayo (kumbuka kilichotokea Iran) kuliko ku crack down the public kama wakianzisha mapinduzi hayo!
 
Njia zipo nying.Si lazma tufanye kama Libya au misr, tunaweza chagua njia nyngne at the end tukafikia tunapopahitaji.
CCm ni dikteta ila haujafkia wa Gaddaf. Si nyie mlichagua CCM kwa kuhofia amani????..
 
hivi ww unajua maana ya udictator lakini..,yaani nchi ina uchaguzi kila five years ina wabunge wa upinzani kibao....., i think ww unatumia MASABURI kufikiri kama SHIBUDA
 
Popote pale siku yoyote ile , hali ya chi hii ni mbaya mno
 
Bengaz yetu ni Viwanja vya NMC-Arusha
Mwanza ni pale ofisi ya jiji walipotaka kuchakachua.
Kwa Dar ni mnazi mmoja
 
Bengaz yetu ni&nbsp; Viwanja vya NMC-Arusha <BR>Mwanza ni pale ofisi ya jiji walipotaka kuchakachua.<BR>Kwa Dar ni mnazi mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…