Mwita25
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 3,831
- 1,164
<br />Sa mbona hamlianzshi?
<br />
Hao ni mavuvuzela wa kwenye mitandao ili kuendeleza kijiwe. Ni wazuri sana wa kupiga makelele na matusi humu JF lakini wakiambiwa watoke nje kila mtu anarudisha nyuma masabuli yake. Uzoefu unaonyesha waandamanaji wengi hawapo humu JF au FB.