Wenzetu walinzia Bengazi, Sisi tuanzie wapi? Chama kimoja kutawala nchi kwa miaka 50 nao ni udikteta

Nyota Ndogo

Senior Member
Aug 7, 2011
150
33
dunia inaposhuhudia anguko la muammar qadaffi, kwa sababu tu wananchi wa nchi yake wamechoka kuona mtu mmoja na familia yake ndiyo watu sahihi wanaopashwa kuitawala Libya.

Ni wasaa sasa kama Waafrika, kama Watanzania kutizama upya aina ya udikteta na unduli tulio nao kama Waafrika. Qaddafi amefanya mengi mazuri kwa Libya: barabara, maji, umeme, elimu, kujenga misikiti na kila aina ya maisha bora kwa ajili ya wananchi wa libya.

la muhimu kutambua hapa ni kwamba bwana qaddafi amefanya haya si kwa kutoa pesa zake mfukoni: ametumia rasilimali za libya katika kufanikisha haya, jambo ambalo mlibya yeyote mwenye mapenzi mema na uzalendo kwa nchi yake. tatizo ni kuwa bwana huyu alikuwa akiamini kuwa bila yeye libya itayumba, kama magamba wanavyojiaminisha hapa kwetu.

kwa hapa Tanzania tuko chini ya udikteta. Tofauti na libya, udikteta wa hapa unafanywa na genge la watu wanaojiita chama cha mapinduzi. hawa hawajafanya lolote kwa nchi ikilinganishwa na dikteta-mtu qaddafi. miaka hamsini hatuna umeme, hatuna barabara za maana, hatuna huduma bora za afya na elimu yetu ni bora elimu.


ccm ni dikteta kama qaddafi au hosni mubarack.

kuna haja ya kuing'oa ccm kwa njia yoyote ile ili kama taifa tuanze upya.

tupeane mawazo tufanyeje.

wenzetu walianzia Bengazi.

Sisi tuanzie wapi?
 
dunia inaposhuhudia anguko la muammar qadaffi, kwa sababu tu wananchi wa nchi yake wamechoka kuona mtu mmoja na familia yake ndiyo watu sahihi wanaopashwa kuitawala Libya.

Ni wasaa sasa kama Waafrika, kama Watanzania kutizama upya aina ya udikteta na unduli tulio nao kama Waafrika. Qaddafi amefanya mengi mazuri kwa Libya: barabara, maji, umeme, elimu, kujenga misikiti na kila aina ya maisha bora kwa ajili ya wananchi wa libya.

la muhimu kutambua hapa ni kwamba bwana qaddafi amefanya haya si kwa kutoa pesa zake mfukoni: ametumia rasilimali za libya katika kufanikisha haya, jambo ambalo mlibya yeyote mwenye mapenzi mema na uzalendo kwa nchi yake. tatizo ni kuwa bwana huyu alikuwa akiamini kuwa bila yeye libya itayumba, kama magamba wanavyojiaminisha hapa kwetu.

kwa hapa Tanzania tuko chini ya udikteta. Tofauti na libya, udikteta wa hapa unafanywa na genge la watu wanaojiita chama cha mapinduzi. hawa hawajafanya lolote kwa nchi ikilinganishwa na dikteta-mtu qaddafi. miaka hamsini hatuna umeme, hatuna barabara za maana, hatuna huduma bora za afya na elimu yetu ni bora elimu.


ccm ni dikteta kama qaddafi au hosni mubarack.

kuna haja ya kuing'oa ccm kwa njia yoyote ile ili kama taifa tuanze upya.

tupeane mawazo tufanyeje.

wenzetu walianzia Bengazi.

Sisi tuanzie wapi?

Masaburi hayo yanafanya kazi yake
 
dunia inaposhuhudia anguko la muammar qadaffi, kwa sababu tu wananchi wa nchi yake wamechoka kuona mtu mmoja na familia yake ndiyo watu sahihi wanaopashwa kuitawala Libya. <br />
<br />
Ni wasaa sasa kama Waafrika, kama Watanzania kutizama upya aina ya udikteta na unduli tulio nao kama Waafrika. Qaddafi amefanya mengi mazuri kwa Libya: barabara, maji, umeme, elimu, kujenga misikiti na kila aina ya maisha bora kwa ajili ya wananchi wa libya.<br />
<br />
la muhimu kutambua hapa ni kwamba bwana qaddafi amefanya haya si kwa kutoa pesa zake mfukoni: ametumia rasilimali za libya katika kufanikisha haya, jambo ambalo mlibya yeyote mwenye mapenzi mema na uzalendo kwa nchi yake. tatizo ni kuwa bwana huyu alikuwa akiamini kuwa bila yeye libya itayumba, kama magamba wanavyojiaminisha hapa kwetu.<br />
<br />
kwa hapa Tanzania tuko chini ya udikteta. Tofauti na libya, udikteta wa hapa unafanywa na genge la watu wanaojiita chama cha mapinduzi. hawa hawajafanya lolote kwa nchi ikilinganishwa na dikteta-mtu qaddafi. miaka hamsini hatuna umeme, hatuna barabara za maana, hatuna huduma bora za afya na elimu yetu ni bora elimu.<br />
<br />
<br />
ccm ni dikteta kama qaddafi au hosni mubarack. <br />
<br />
kuna haja ya kuing'oa ccm kwa njia yoyote ile ili kama taifa tuanze upya.<br />
<br />
tupeane mawazo tufanyeje.<br />
<br />
wenzetu walianzia Bengazi.<br />
<br />
Sisi tuanzie wapi?
<br />
<br />
Nyota ndogo na akili yako pia ni ndogo sasa kwa unavyofikiria tukipigana si tutaharibu hata hivi vichache vinavyotubeba usitake kuiga libya watarecover soon imagine wanaproduce 1.2 mil barrels za oil per day sasa sisi tutauza gnld kufikia hivyo??
Ushauri watu wamehamasika kujiandikisha kupiga kura fanya bidii kuwashawishi wote watakaojiandikisha wapige kura
mkuu tukipigana tutazidi kuwa maskini lets find njia bora tujaribu kutumia akili zaidi!
Tafakari baada ya watu kufa kenya je Raila amefanya nini cha maana tofauti na kibaki mpaka sasa?
 
<br />
<br />
Nyota ndogo na akili yako pia ni ndogo sasa kwa unavyofikiria tukipigana si tutaharibu hata hivi vichache vinavyotubeba usitake kuiga libya watarecover soon imagine wanaproduce 1.2 mil barrels za oil per day sasa sisi tutauza gnld kufikia hivyo??
Ushauri watu wamehamasika kujiandikisha kupiga kura fanya bidii kuwashawishi wote watakaojiandikisha wapige kura
mkuu tukipigana tutazidi kuwa maskini lets find njia bora tujaribu kutumia akili zaidi!
Tafakari baada ya watu kufa kenya je Raila amefanya nini cha maana tofauti na kibaki mpaka sasa?
Wenye maslahi yao utawajua tu watakuja na mambo ya vifo, hata waziri wa habari Libya alikuwa anatumia picha za watoto na wanawake ku-win sympath ya kimataifa ila watu hawakuangalia hilo... there is a time of no return where war is inevitable.
 
This is the most codswallop remark to land JF. Its vacuousness raises suspicions on your discernment capacity. You have put forward an irrelevant debate by comparing scenarios between Libya, where democracy was a precious commodity, and Tanzania which is renowned for its copious freedom of expression and widespread democracy.
 
This is the most codswallop remark to land JF. Its vacuousness raises suspicions on your discernment capacity. You have put forward an irrelavant debate by comparing scenarios between Libya, where democracy was a precious commodity, and Tanzania which is renowned for its copious freedom of expression and widespread democracy.
If so this thread is one sign of freedom of expression....so why call it an irrelevant.
 
walio USA wanalianzisha kwa maandamo ya kumpinga matonya.
 
Lazima baada ya Qadhaffi yaanze sehemu nyingine humu Africa, tunasubiri kuona ni wapi popote lazima moto utawaka tu! Maana Qadhaffi na watoto wake pia hawakuamini kama maji yange vuka shingo na kukosa wale watoto warembo aliokuwa anazunguka nao kama Nabii Suleman.

Taarifa nilizo nazo rafiki wakubwa wa Qadhaffi nao wanawindwa kwa udi na uvumba na Tanzania ilikuwa rafiki wa karibu na Qadhaffi sasa sijui kitu gani kitatokea ingawa naona Kikwete kama vile kasoma alama za nyakati kimia kama maji ya mtungi, ana omba mungu siku zikimbie haraka sana amalize muda wake maana amechoka na lawama za kila kukicha.

Ngoja tuangalie Kenya 2012 baada ya uchaguzi kama pata pona, US an UK wana askali wao kibao hawana pa kuwapereka baada ya vita vya Iraq na release ya afghanistan na kupunguza askali katika operation za Geronimo, lazima watafute vita tu! Kwa nguvu yoyote hawata kubali africa ikae miaka miwili mitatu bila vita.
 
kikwete akicheka anahisi anatoa mwanga kwa meno yake meupe, sasa hicho ndo kinawamaliza watanzania

amkeni jamani
 
Lazima baada ya Qadhaffi yaanze sehemu nyingine humu Africa, tunasubiri kuona ni wapi popote lazima moto utawaka tu! Maana Qadhaffi na watoto wake pia hawakuamini kama maji yange vuka shingo na kukosa wale watoto warembo aliokuwa anazunguka nao kama Nabii Suleman.

Taarifa nilizo nazo rafiki wakubwa wa Qadhaffi nao wanawindwa kwa udi na uvumba na Tanzania ilikuwa rafiki wa karibu na Qadhaffi sasa sijui kitu gani kitatokea ingawa naona Kikwete kama vile kasoma alama za nyakati kimia kama maji ya mtungi, ana omba mungu siku zikimbie haraka sana amalize muda wake maana amechoka na lawama za kila kukicha.

Ngoja tuangalie Kenya 2012 baada ya uchaguzi kama pata pona, US an UK wana askali wao kibao hawana pa kuwapereka baada ya vita vya Iraq na release ya afghanistan na kupunguza askali katika operation za Geronimo, lazima watafute vita tu! Kwa nguvu yoyote hawata kubali africa ikae miaka miwili mitatu bila vita.
Utawala ni upofu ukishaupata huoni wala husomi historia.......watoto wao huwa hawajifunzi kwa watoto wa viongozi wengi kama wa Mubarak walifanyawaje wanaona ni ndoto kwao kuwafika.....matokeo yake juzi tu Saif Al Islam alikuwa anakula na kulala kwenye presidential palace leo yuko kwenye six by six room.

Kuhusu marafiki wa Gaddafi wanaojulikana ni Museven, Zuma, Mugabe, Kikwete kuna wa Gabon nimemsahau. Gaddafi alipopoteza marafiki wa ulaya hata baadhi ya nchi za kiaarabu akaona kilichobaki ni kununua marafiki kutoka Afrika, kwa vile alikuwa na pesa alifanikiwa sana ndio maana hadi leo hujasikia nchi yeyote ya Afrika hata AU iliyosema inawatambua waasi waliompindua.

Kwa habari za uhakika nilizonazo Gaddafi alivisaidia sana kipesa vyama vya ANC na NRA kuingia madarakani sina wasiwasi hata CCM ilikuwa inafadhiliwa ndiyo sababu Kikwete alikuwa karibu sana na huyu jamaa.
 
kwanini tusihibukie kutokea bahari ya hindi karibu na ikulu na kuzama ndani kabisa kwa mzee wa kaya
 
Why not? Tukianza Mikoani na kupanda juu, kusini na kaskazini unafiki kikwete na wahuni wake wataweza kuzuia haya ... wapo wenye shida wengi na wata-defect really soon.

It's not that hard.

Hakuna inchi inaongozwa kwa miaka 50 na chama kimoja na tukafikiri they will respect the dignity ya watanzania ... watanzania we are ready.
 
dunia inaposhuhudia anguko la muammar qadaffi, kwa sababu tu wananchi wa nchi yake wamechoka kuona mtu mmoja na familia yake ndiyo watu sahihi wanaopashwa kuitawala Libya. <br />
<br />
Ni wasaa sasa kama Waafrika, kama Watanzania kutizama upya aina ya udikteta na unduli tulio nao kama Waafrika. Qaddafi amefanya mengi mazuri kwa Libya: barabara, maji, umeme, elimu, kujenga misikiti na kila aina ya maisha bora kwa ajili ya wananchi wa libya.<br />
<br />
la muhimu kutambua hapa ni kwamba bwana qaddafi amefanya haya si kwa kutoa pesa zake mfukoni: ametumia rasilimali za libya katika kufanikisha haya, jambo ambalo mlibya yeyote mwenye mapenzi mema na uzalendo kwa nchi yake. tatizo ni kuwa bwana huyu alikuwa akiamini kuwa bila yeye libya itayumba, kama magamba wanavyojiaminisha hapa kwetu.<br />
<br />
kwa hapa Tanzania tuko chini ya udikteta. Tofauti na libya, udikteta wa hapa unafanywa na genge la watu wanaojiita chama cha mapinduzi. hawa hawajafanya lolote kwa nchi ikilinganishwa na dikteta-mtu qaddafi. miaka hamsini hatuna umeme, hatuna barabara za maana, hatuna huduma bora za afya na elimu yetu ni bora elimu.<br />
<br />
<br />
ccm ni dikteta kama qaddafi au hosni mubarack. <br />
<br />
kuna haja ya kuing'oa ccm kwa njia yoyote ile ili kama taifa tuanze upya.<br />
<br />
tupeane mawazo tufanyeje.<br />
<br />
wenzetu walianzia Bengazi.<br />
<br />
Sisi tuanzie wapi?
<br />
<br />
We wadhani Gadaffi ni bingwa eeh? Uko nyuma ya mstari wa breaking news za dunia. Unamcheka Gadaffi au unamfagilia. Mchukue mkeo na watoto wako mkalianzishe tutakuwa nyuma yenu
 
Back
Top Bottom