Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 17,231
- 55,476
Nieleweshe wewe!😁😁 jitahidi uelewe
Nieleweshe wewe!😁😁 jitahidi uelewe
Mimi sijaelewa ndiyo maana nmekuitaNieleweshe wewe!
Nimekuja mkuuNjoo selfika
Sikupingi nilishakua kwenye hii situation Shetani yupoSolution tafuta pisi 1, Badilisha Mazingira, marafiki, jipe majukumu zaidi ukiwa na muokoto & usibebe muokoto mrefu mfukoni.
Binafsi miaka kadhaa nyuma nilikua hiyo njia kwa mda siku moja nikachukua maamuzi ya kuchange for good!
Bro to Bro "Pombe na Malaya ni downfall ya vijana wengi kiuchumi.
Bangi haina tatizo loloteNimemwomba MUNGU.soon naacha bangi ni na naungana na yule mtoto wa kisukuma.
Uliokoka lakini??Mwaka 2019/2020 nilipigwa na maisha sana karibu kila siku nikitulia wazo kichwani linakuja "inatakiwa niokoke", since then walau sasa kiuchumi niko vizuri, nashangaa sijawahi kuwaza kuokoka toka kipindi hicho......
Nimeacha vyote ila bangi nimeshindwa. Nikivuta bangi huwa nakaa peke yangu naweza nikahesabu kurasa za Biblia au Quran kisha nacheka sana.Nimemwomba MUNGU.soon naacha bangi ni na naungana na yule mtoto wa kisukuma.
😂😂😂😂😂Sio kila mmoja ni wa Mungu, wengine ni WA shetani 🤣🤣🤣🤣🤣
Nakucheka kwa dharau!😜😜😜 sisi wengine haya ndiyo tulivyozaliwa nayo na mpaka leo ndiyo tunayaishi! Yaani watu wakituona tu wanajisemea hapa nimekutana na Binadamu! Ila yataka moyo, mitego tunayokutana nayo siyo ya kitoto!Unakuta kijana mdogo full of potential ana harakati zake ana mke na watoto jumamosi asubuhi anaenda jumuiya jumapili yupo kanisani pengine unakuta kanisani ana kacheo kidogo kama ni muislamu anashiriki ibada kila mara.
Hatumii kilevi chochote sio sigara, bangi, mirungi wala hajui ladha aina yoyote ya pombe. Hajawahi kununua malaya mguu wake haujawahi kuvisit madanguro wala michezo ya buza kwa mpalange haijui
Natamani sana that kind of life ila ni kama kuna force ambayo inanipiga knockout upande wangu kila kitu uwa kinaenda sawa pale ambapo pesa nakuwa sina ila mbongo mimi shimo likitema ni kama navurugwa kmmk ni mwendo wa pombe na malaya hapo ndipo nilipokwama hii kitu inanitesa sana nikiweza kuvuka huu mtego nitafika mbali sana
Punyenga ndo Baba laoNa ukiweza kuvi control hivyo Vitu umetoboa POMBE NA WANAWAKE bado hujasema kama unabeti maana ni balaa lingine hilo!
Mimi nipo ninaishi hivyo mpk sasa sijawahi kuzini mpk nimeoa na sijawahi kunywa pombe wala kuvuta sigaraHamna binadamu wa hivyo
Naukivuka shimo litatema dry mpk urudie mtungi na malayaUnakuta kijana mdogo full of potential ana harakati zake ana mke na watoto jumamosi asubuhi anaenda jumuiya jumapili yupo kanisani pengine unakuta kanisani ana kacheo kidogo kama ni muislamu anashiriki ibada kila mara.
Hatumii kilevi chochote sio sigara, bangi, mirungi wala hajui ladha aina yoyote ya pombe. Hajawahi kununua malaya mguu wake haujawahi kuvisit madanguro wala michezo ya buza kwa mpalange haijui
Natamani sana that kind of life ila ni kama kuna force ambayo inanipiga knockout upande wangu kila kitu uwa kinaenda sawa pale ambapo pesa nakuwa sina ila mbongo mimi shimo likitema ni kama navurugwa kmmk ni mwendo wa pombe na malaya hapo ndipo nilipokwama hii kitu inanitesa sana nikiweza kuvuka huu mtego nitafika mbali sana