Tehe tehe teheUnakuta kijana mdogo full of potential ana harakati zake ana mke na watoto jumamosi asubuhi anaenda jumuiya jumapili yupo kanisani pengine unakuta kanisani ana kacheo kidogo kama ni muislamu anashiriki ibada kila mara.
Hatumii kilevi chochote sio sigara, bangi, mirungi wala hajui ladha aina yoyote ya pombe. Hajawahi kununua malaya mguu wake haujawahi kuvisit madanguro wala michezo ya buza kwa mpalange haijui
Natamani sana that kind of life ila ni kama kuna force ambayo inanipiga knockout upande wangu kila kitu uwa kinaenda sawa pale ambapo pesa nakuwa sina ila mbongo mimi shimo likitema ni kama navurugwa kmmk ni mwendo wa pombe na malaya hapo ndipo nilipokwama hii kitu inanitesa sana nikiweza kuvuka huu mtego nitafika mbali sana
Mabadiriko ya kweli, yanaanza na wewe!! Piga chini marafiki mnakutana kwenye hayo mambo usioyape, Kisha tengeneza marafiki wapya wenye mlengo unaoutaka.Unakuta kijana mdogo full of potential ana harakati zake ana mke na watoto jumamosi asubuhi anaenda jumuiya jumapili yupo kanisani pengine unakuta kanisani ana kacheo kidogo kama ni muislamu anashiriki ibada kila mara.
Hatumii kilevi chochote sio sigara, bangi, mirungi wala hajui ladha aina yoyote ya pombe. Hajawahi kununua malaya mguu wake haujawahi kuvisit madanguro wala michezo ya buza kwa mpalange haijui
Natamani sana that kind of life ila ni kama kuna force ambayo inanipiga knockout upande wangu kila kitu uwa kinaenda sawa pale ambapo pesa nakuwa sina ila mbongo mimi shimo likitema ni kama navurugwa kmmk ni mwendo wa pombe na malaya hapo ndipo nilipokwama hii kitu inanitesa sana nikiweza kuvuka huu mtego nitafika mbali sana
Daaah... mwanangu upo kama mimi... Yani the moment naanza kukumbuka kidogo kadecent life flani hivi ujue hapo mfukoni nimeishiwa kabisa.. Lakini mgodi ukitema narudi kulekule dah.. Nawaonea wivu sana wanaoishi decent life,tena unakuta mda wote wana vihela vya akiba vya kutosha... mi hata hela ya akiba huwa siwezi kuweka,... wiki tu nishakausha yote.Unakuta kijana mdogo full of potential ana harakati zake ana mke na watoto jumamosi asubuhi anaenda jumuiya jumapili yupo kanisani pengine unakuta kanisani ana kacheo kidogo kama ni muislamu anashiriki ibada kila mara.
Hatumii kilevi chochote sio sigara, bangi, mirungi wala hajui ladha aina yoyote ya pombe. Hajawahi kununua malaya mguu wake haujawahi kuvisit madanguro wala michezo ya buza kwa mpalange haijui
Natamani sana that kind of life ila ni kama kuna force ambayo inanipiga knockout upande wangu kila kitu uwa kinaenda sawa pale ambapo pesa nakuwa sina ila mbongo mimi shimo likitema ni kama navurugwa kmmk ni mwendo wa pombe na malaya hapo ndipo nilipokwama hii kitu inanitesa sana nikiweza kuvuka huu mtego nitafika mbali sana
Upo sawa hapa. Mimi ni introvert huwa sijichanganyi sana na watu so watu wengi wanavyonifahamu ni kinyume asilimia 80+ na uhalisia.Decent life ni kwenye macho yako tu unavyowaona ila nyuma ya pazia wapo kama wewe
Ukute kuna mtu anakuona kama mtakatifu hapo kitaani kwenu
Hiki unachokiwaza ndio wewe HALISI, hicho unachokitenda siyo wewe , Sasa ukisikia hamu ya Malaya wakati una pesa, jisemee moyoni huyu siyo Mimi, hamu ya pombe SEMA pia huyo siyo Mimi, Mimi sinunui Malaya,Mimi sinywi pombe,taraatibu wewe utaanza kuishinda hiyo rohoUnakuta kijana mdogo full of potential ana harakati zake ana mke na watoto jumamosi asubuhi anaenda jumuiya jumapili yupo kanisani pengine unakuta kanisani ana kacheo kidogo kama ni muislamu anashiriki ibada kila mara.
Hatumii kilevi chochote sio sigara, bangi, mirungi wala hajui ladha aina yoyote ya pombe. Hajawahi kununua malaya mguu wake haujawahi kuvisit madanguro wala michezo ya buza kwa mpalange haijui
Natamani sana that kind of life ila ni kama kuna force ambayo inanipiga knockout upande wangu kila kitu uwa kinaenda sawa pale ambapo pesa nakuwa sina ila mbongo mimi shimo likitema ni kama navurugwa kmmk ni mwendo wa pombe na malaya hapo ndipo nilipokwama hii kitu inanitesa sana nikiweza kuvuka huu mtego nitafika mbali sana
Bro huyo mke atakayeoa ndo anaweza kuja kumuongezea tatizoBora umejua tatizo lilipo.
Weka nia kama huna mke oa kisha mkeo awe sehemu ya maisha yako.
Basi mtoa mada akikutana na wewe anakuona umenyooka kama rula kumbe ni bora hata yeye ana afadhaliUpo sawa hapa. Mimi ni introvert huwa sijichanganyi sana na watu so watu wengi wanavyonifahamu ni kinyume asilimia 80+ na uhalisia.
Si kweli kama ingekuwa maamuzi tu basi pasingekuwa na addiction ya pombe, bangi, drugs nkUko na total Control ya maisha yako, ukiona unaanza kusingizia 'force', 'marafiki' etc, ujue tu unatafuta visingizio visivyo na msingi wowote, Kila kitu muamuzi ni wewe, ukiamua kuanza kwenda kanisani hakuna wa kukukataza ni kama sisi wengine tulioamua kuachana na mambo ya dini kabisa, Ukiamua kuacha kunywa pombe hakuna kinachokuzuia ni kama sisi wengine tulivyoamua kuwa wanywa pombe, ukiamua kuoa/kutulia na mwanamke mmoja hakuna wa kukukataza ni kama sisi tulioamua kuwa wazee wa kununua + hit & run. Zingatia neno Kuamua/maamuzi. Mengine yote ni ramli chonganishia.
Ila mwisho wa siku inabidi utambue hautotoka katika ulimwengu huu ukiwa unapumua, itumie pumzi yako kadiri uwezavyo ilimradi upo hai haina kikomo cha matumizi