Wenzetu mliepuka vipi Kikombe cha UJOBLESS ?

Man sinlazima uanze kwa kuajiriwa. Kwanza change mindset yako. Kubali kufanya kaziza kawaida. Mshahara wa chini.

Pili kupata kazi bonge ni mchanganyiko wa juhudi binafsi na connection. Trust me man, hiv huwa vinaenda pamoja. So jitahidi kuwa social na watu , haswa wenye vyeo ambao wako kwenye mashirika makubwa..
Serikalini.. then unaweza watumia kama asset kupitia wao ukatoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamfano kazi yako ya kwanza unataka mshahara shilingi ngapi????


Kazi yangu ya kwanza nilifanya kwa kulipwa 150K ya nauli tu kwa mwaka mzima.

Nilikuwa nikitoka kazini naenda kubeba viroba vya unga huko viwandani. Mzee kazi haiji kama malaika. Onyesha watu kuwa unajituma na unauthubutu. Huko utaonana na watu wengi sana. Nilifanya hivi kuongeza kipato angalau nionekane mwanaume hapa town. Otherwise ningekimbia dakika ya kwanza tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilienda mkoa ambao hawajui level of education yangu nikawa saidia fundi then nikapata mtaji wa kununua machine ya kufyatulia matofali nikafungua site then hapo hapo site nikajuana na mzee fulani mkuu jeshini akanipa mchongo leo hii nipo kitengoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…