Wenzangu mnawezaje kuacha?

Ameeeeeeeeeeeeeeen
 
Ilikuwa bado mkuu sijampata nimempata hivi karibunii
Basi huyo mwanamke kakufanya uache mpango wa kumuoa Emmy sio kwamba ulikua huna mpango wa kumuoa Emmy

Dogo utaja juta
 
Huyu mpenz wangu mpya mbali na kuvaa ni mzuri sana kuanzia rangi yake sioni kitu cha kunizuia nisimuoe wakati mwenyewe kanikubali hata sikutegemea siwezi poteza hii bahati wakuu huyu mtoto ni chombo haswaa
Kumbe unaoa kwa bahati

Acha kuchekesha Bwana mdogo
 
Bro..malipo n hapahapa kwa dunia. Karma will do his work.
 
Basi huyo mwanamke kakufanya uache mpango wa kumuoa Emmy sio kwamba ulikua huna mpango wa kumuoa Emmy

Dogo utaja juta
Sikua na mpango huo hata kabla ya kumpata huyu niliyenaye
 
Katika jambo ambalo ni gumu sana kwangu ni KUACHA. sijawahi kuacha zaidi ya kuachwa.

Labda siku za usoni naweza kuja kuweza kuacha.
 
Amka boy huyo unaye mpenda na kutaka kumuowa hakupendi na hana mpango na wewe
Wewe umejuaje kama hanipendi? Wakati mm ndio nipo nae na anaonyesha ananipenda tena kwa dhati
 
mkuu acha roho mbaya..oa mwanamke anaekupenda sio unaempenda utakufa mapema saanaa
Wote wananipenda mkuu ila mm nachagua ninae mpenda yaani tunakuwa tunapendana
 
Boy, remember karma is a bitch
 
Gentleman huwa hasemi its over unaishia kimyakimya huwezi jua kesho na keshokutwa atakufaa wapi
dah sidhani kama naweza man, sidhani kama nitaweza kuanza kuzurura zura kumzungiusha mtu, yani namwambia hapo hapo na nafikiri ataanza kudeal nalo mapema
 
Kuna mama mmoja aliniambia mwanamke anae kupenda ila wewe humpendi hata siku moja usimuache kwa kumwambia sikupendi/sikutaki anaachwa kwa mbinu

Itoshe tu kusema usiowe mwanamke kwa kumuonea huruma wakati we humpendi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…